Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kkadogo sana
Jr[emoji769]
Kwa tundu linalotoa mkojo
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa tundu linalotoa mkojo
Madai yenu mnalenga kwenye kile kitundu kidogo cha kwenye sink, mnaumwa kweli
Nimekuelewa mpendwaMama hao usiwalazimishe kutawaza utakuwa unatwanga maji kwenye kinu bure, we tuendelee tu kushikilia hapo kwenye kumwaga maji chooni basi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli corona imesaidia kidogo, maana tunashika vingi jamani.Hahaha umenikumbusha rafiki yangu huwa anasema hivyo pia
Hii Corona imesaidia kiasi hamna kushikana mkono [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekudanganya kuwa mkojo unanuka ukiwa juu ya sink tu ni nani? Hata unapokuwa ndani ya tundu lakini haujaflushiwa napo unanuka sana tu!Nalenga Tundu!
na wengine hata hawanawagi mikono baada ya kujisaidia haja ndogo
UTI unapataje kwa namna hii??Word kwa kweli nahisi hata UTI tunatoa kwao muda mwingine
Usikutane na mtu ambar hajajisaidia haja ndogo muda mrefu, au mlevi hajasafisha utajuta
Hahaha pia no hugging[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli corona imesaidia kidogo, maana tunashika vingi jamani.
Kama hamna maji si heri nijikojolee[emoji23][emoji23] maana wipes majangaSure thing
Ubaya zaidi ukute hamna maji
Ndoo zenyewe zinatia kichefu chefu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa daktariUTI unapataje kwa namna hii??
✓UTI unapata wewe mwenyewe kwa kushindwa kujisafisha vizuri baada ya haja kubwa..inabidi iwe front back na sio back front
✓UTI utapata kwa kutumia/kushika kitu kilichoshikwa na kuacha chembechembe za haja na wewe kwenda kushika sehemu zako
Mimi siwezi kuzitumia wipes yaani at least toilet paperKama hamna maji si heri nijikojolee[emoji23][emoji23] maana wipes majanga
[emoji23]hizo ndo zaidi maana hua nahisi inaacha midude vyake vikeee waiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi tukisha temea hapo mate imetoka hiyo
Kwa hiyo hukunijua siku zote[emoji23]hizo ndo zaidi maana hua nahisi inaacha midude vyake vikeee waiii
Kwann umebadili jina mm napata tabu kukupata kule lindoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mate tunatema kwa ajili ya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikukufahamu kabisa jana kuna mtu kakutaja kule as rory nikaona nitulie isije kua kajichanganyaKwa hiyo hukunijua siku zote
Kuna mtu jina lilikuwa linaendana herufi za mwanzoni
Hahaha maji ndo yanafaa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app