Wanaume acheni kufanya uzembe kama huu. Hivi mnajielewa kweli??

Wanaume acheni kufanya uzembe kama huu. Hivi mnajielewa kweli??

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Leo nimepokea kesi toka kwa kidume uchwara mmoja analalamika kuwa anamhudumia msichana kwa kila kitu (kodi ya pango, mavazi, chakula, na mahitaji mengine) lkn huyu kijana hajawahi kupewa papuchi kaambiwa mpk watakapofunga ndoa.

Kilichomtisha huyu kidume mpka kuja kwangu leo ni kwamba ni mwaka wa 3 sasa tangu waanze mahusiano. Lkn kila akiomba kupeleka barua ya posa msichana anapiga danadana, mara ooh sijajipanga kuishi namume, mara kuna mambo yangu sijayakamilisha, n.k

Sasa juzi juzi dada kampa kali zaidi huyu kidume kwa kumwambia kuwa hivi sasa hana hata wazo la kuolewa. Anamsihi kidume asubiri siku feelings za kuolewa zikimjia (msichana), basi kidume ataambiwa apeleke barua.


Sasa enyi wanaume nawauliza kosa ni la nani hapa? Siyo ukilaza wa mwanaume??

Yaani kidume anahudumia kila kitu miaka 3 lkn papuchi hapewi na barua anakataliwa kupeleka na hasituki tu?? Hivi mnajielewa kweli?

Siku nyingine msije kunitaka ushauri kwa jambo la kizembe kama hili

Sexless kungwi la kitaa.
 
Leo nimepokea kesi toka kwa kidume uchwara mmoja analalamika kuwa anamhudumia msichana kwa kila kitu (kodi ya pango, mavazi, chakula, na mahitaji mengine) lkn huyu kijana hajawahi kupewa papuchi kaambiwa mpk watakapofunga ndoa.

Kilichomtisha huyu kidume mpka kuja kwangu leo ni kwamba ni mwaka wa 3 sasa tangu waanze mahusiano. Lkn kila akiomba kupeleka barua ya posa msichana anapiga danadana, mara ooh sijajipanga kuishi namume, mara kuna mambo yangu sijayakamilisha, n.k

Sasa juzi juzi dada kampa kali zaidi huyu kidume kwa kumwambia kuwa hivi sasa hana hata wazo la kuolewa. Anamsihi kidume asubiri siku feelings za kuolewa zikimjia (msichana), basi kidume ataambiwa apeleke barua.


Sasa enyi wanaume nawauliza kosa ni la nani hapa? Siyo ukilaza wa mwanaume??

Yaani kidume anahudumia kila kitu miaka 3 lkn papuchi hapewi na barua anakataliwa kupeleka na hasituki tu?? Hivi mnajielewa kweli?

Siku nyingine msije kunitaka ushauri kwa jambo la kizembe kama hili

Sexless kungwi la kitaa.
Msengerema tu huyo jamaa, mm nisipo pewa hata wiki tu tunaachana.
 
Leo nimepokea kesi toka kwa kidume uchwara mmoja analalamika kuwa anamhudumia msichana kwa kila kitu (kodi ya pango, mavazi, chakula, na mahitaji mengine) lkn huyu kijana hajawahi kupewa papuchi kaambiwa mpk watakapofunga ndoa.

Kilichomtisha huyu kidume mpka kuja kwangu leo ni kwamba ni mwaka wa 3 sasa tangu waanze mahusiano. Lkn kila akiomba kupeleka barua ya posa msichana anapiga danadana, mara ooh sijajipanga kuishi namume, mara kuna mambo yangu sijayakamilisha, n.k

Sasa juzi juzi dada kampa kali zaidi huyu kidume kwa kumwambia kuwa hivi sasa hana hata wazo la kuolewa. Anamsihi kidume asubiri siku feelings za kuolewa zikimjia (msichana), basi kidume ataambiwa apeleke barua.


Sasa enyi wanaume nawauliza kosa ni la nani hapa? Siyo ukilaza wa mwanaume??

Yaani kidume anahudumia kila kitu miaka 3 lkn papuchi hapewi na barua anakataliwa kupeleka na hasituki tu?? Hivi mnajielewa kweli?

Siku nyingine msije kunitaka ushauri kwa jambo la kizembe kama hili

Sexless kungwi la kitaa.
Huyo. Mwanaume ni mpumbavu kuliko mapumbu yangu
 
Leo nimepokea kesi toka kwa kidume uchwara mmoja analalamika kuwa anamhudumia msichana kwa kila kitu (kodi ya pango, mavazi, chakula, na mahitaji mengine) lkn huyu kijana hajawahi kupewa papuchi kaambiwa mpk watakapofunga ndoa.

Kilichomtisha huyu kidume mpka kuja kwangu leo ni kwamba ni mwaka wa 3 sasa tangu waanze mahusiano. Lkn kila akiomba kupeleka barua ya posa msichana anapiga danadana, mara ooh sijajipanga kuishi namume, mara kuna mambo yangu sijayakamilisha, n.k

Sasa juzi juzi dada kampa kali zaidi huyu kidume kwa kumwambia kuwa hivi sasa hana hata wazo la kuolewa. Anamsihi kidume asubiri siku feelings za kuolewa zikimjia (msichana), basi kidume ataambiwa apeleke barua.


Sasa enyi wanaume nawauliza kosa ni la nani hapa? Siyo ukilaza wa mwanaume??

Yaani kidume anahudumia kila kitu miaka 3 lkn papuchi hapewi na barua anakataliwa kupeleka na hasituki tu?? Hivi mnajielewa kweli?

Siku nyingine msije kunitaka ushauri kwa jambo la kizembe kama hili

Sexless kungwi la kitaa.
Kwani weye ni mwenyekiti wa mtaa hadi upokee kesi za mahusiano?Muombe akuoe.
 
Huyo jamaa atakua katoka chato
Wee%20(62).jpg
 
Kuna namna wazazi hata kaka na dada wanatakiwa kuwajenga vijana hasa watoto wakiume kimtazamo juu ya mapenz, uchumba na ndoa

Sasa mtu kama huyu, Kwa akili kama hizi, hivi hana hata rafiki, kaka? wa kumuamsha?
 
Kikaoni Me tulikubaliana hakuna kuwaonea huruma Wavulana zaidi ya kuwaombea manyayaso ya kusalitiwa na kudharauliwa sana na Ke ili wakomae kiakili wawe Wanaume.

Unapata wapi muda kuanza kusikiliza upumbavu wote huo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom