Wanaume acheni kupenda pm sms wakati huna hela

Wahanga wa pm.lazima watapinga hii hoja.
Ngoja waje tuone watakavyotiririka
 
Halafu sijui tabia yako ya kutokunipa like utaacha lini....ukiniona gonga like nijue umepita hata kama ni pumba
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwani sijatoa? Itakuwa ushaambukizwa uzee.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81] Daby ulienda pm kwa nani ukatimuliwa na kizinga cha elfu 10?
 
Oh naomba pm sms ukimpm nitoe 10000 atakujibu mie unajua hela yote nimeaacha bank, mara mie dume suruali sasa nifanyeje unapenda kukupetipeti with no money
Naomba nikuPM ntakupa hela unayotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…