Wanaume acheni kupenda pm sms wakati huna hela

Wanaume acheni kupenda pm sms wakati huna hela

Oh naomba pm sms ukimpm nitoe 10000 atakujibu mie unajua hela yote nimeaacha bank, mara mie dume suruali sasa nifanyeje unapenda kukupetipeti with no money
Hii thread ako cjaipndaa,,,maaan ucdhani kila anaekufata pm leng lake nikukutongoza,,,,acha fikra potovu wew,,,lin lakin watanzania tutabadilika????
 
[emoji16][emoji16]
Mimi siogopagi vizinga bwana labda yale ma b57 ya huyu jamaa
c2cdb788e4209303796223cb7c25c819.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Labda msa....ji.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]

Labda.

Hebu tuachane naye tujadili mambo yetu, vipi siku ya wafanyakazi utakuwa wapi, nataka tutoke lunch na dina kabisa.
 
Duuuh! kama Mwenyekiti wama Domo zenge nchi nawasii wanachama wangu waliangaliie hili swala kwa taadhari kubwa.
 
Back
Top Bottom