Hapa sijarushia wanaume lawama bali nimewakanya na kukemea tabia ya kujiachia na kutoa mbegu zako kumpa ujauzito mwanamke as if hizo mbegu hazina maana au uzito katika akili yako.Basi hapa lawama ni pande zote mbili. Kwenye migogoro ya masuala ya mahusiano lawama zote tunarushiwa wanaume kama vile wanawake ni wajinga wasiojua consequencies za maamuzi yao.
Hapa unakuta hujamdanganya ila baada tu ya kuzaa mkaishi kidogo mwanamke anabadilika apo unagundua ni bomu unachimba.Hapana bhna mapenzi yana nguvu
Kumbuka mwanaume anaweza mtamani mwanamke na mwanamke akazama kwenye penzi akiamini kuwa ndiye mume kumbe mwanaume yupo kutimiza haja zake
Na kuna wanaume wana wadanganya wanawake wakibeba mimba atamuoa akibeba tu anachimba zake
Hapo kosa la nan?
Wewe na mimi tuko pamoja katija ili ,usimmpe mimba kama unapita tuHapa sijarushia wanaume lawama bali nimewakanya na kukemea tabia ya kujiachia na kutoa mbegu zako kumpa ujauzito mwanamke as if hizo mbegu hazina maana au uzito katika akili yako.
Point ya msingi ni hapo kujicontroll. Tomba kama unatomba huko nje ila usipande mbegu yako katika shamba ambalo hauna mpango wa kulimiliki.Kucontrol hata wanaume tunaweza,ila ukizisoma mentality za wanawake wengi wanaotoka na waume za watu target ya kwanza kumkamata huyo mume,ili tu afaidike nae financial atamkamata vip atatafuta way ya kumzalia na kuna wengine hutumia njia za kishirikina kabisa.
Huoni trend za slay Queens wengi kuzaa na waume za watu, hawazai kwa bahati mbaya baada ya hapo wanaamini hawakosi mtaji na mtoto atakuwa kwenye mgao na ndio maana wengi wao huishia kumposti mtoto ila baba mwenye mtoto hawathubutu.
Hiyo akili ya mtoto kuishi kwenye familia hawana kabisa wao ni hela, hizi biashara za wadada wengi wa mjini ukichunguza walio nyuma ni wanaume za watu na haziendeshwi kwa faida bali kwa nguvu ya huyo mume wa mtu.
Mimi kundi single mother ninao walaumu ni wale tu waliozaa na waume za watu wakijua wana ndoa zao, yaani hawakwepi lawama.
Paragraph yangu ya kwanza umeisoma? Omba sana kwenye maisha yako hata ukichepuka husikutane na mwanamke mlozi (sijui kama unaamini vitu kama hivi,ila vipo na watu wanafanyiwa hasa wanaume walio kwenye ndoa).Point ya msingi ni hapo kujicontroll. Tomba kama unatomba huko nje ila usipande mbegu yako katika shamba ambalo hauna mpango wa kulimiliki.
Why ufanye mapenzi na kuzaa na mwanamke ambaye mwisho wa siku huyo mwanamke hautaweza kuishi nae na mtoto utashindwa kumlea?
Nakubaliana na wewePia ata mwanaume anabadilika
Kwahiyo ni swala la kuelewana na kuchukulianaNakubaliana na wewe
Nipo mkali am backMwachiluwi upo?
Kitambo sana
Ulikuwa unatembea na I'd zingine ukaikimbia hiiNipo mkali am back
Ni kweli ni maamuzi ya mwanamke kwa asilimia kubwa. Kupenda pesa ni matokeo ya malezi ya hovyo na kiholela plus wazazi kutowapatia watoto mahitaji ya msingi. Usimpofundisha binti yako kuwa kuheshimu mwili wake na kuzingatia mafunzo ya ibada ni muhimu kuliko kuheshimu na kwenda na trends za usichana ambazo baada ya miaka kumi zitamuacha then unamuandaa kwaajiri ya hii mikosi.Wanawake wa siku hizi macho yao yapo juu Kwenye pesa yaani akishaona pesa anachanganyikiwa mazima anajikuta ameukwaa uja uzito wa mtu ambaye hata hamfahamu vizuri.
Kuna member hapo juu kasema suala la kubeba mimba Ni maamuzi ya mwanamke.
Vijana wa siku hizi hamjapelekwa jandoni la kiumeni kujifunza uanaume na kuwa mwanaume mwenye mbinu za kumudu hila za mwanamke na kuweza kumcontrol matendo na akili yake.Embu funguka zaidi hapa
Amezaa na bint wakazi wake rejea kichwa cha threadKafanyaje tena Julius Malema.
Duh malema si yule wa S.A?Amezaa na bint wakazi wake rejea kichwa cha thread
Yaani upuuzi wa siku moja au muda mfupi utampa na kumletea majuto na maumivu ya hisia maisha yake yote.Mo jay lazma anajuta kuzaa na gigy mara aone connection ya mzazi mwenzie,pia yule mtoto wake wa kike atakuwa kwenye malez mabaya..
Mkuu nimejifunza kitu kikubwa tuweke mbegu zetu sehemu sahihi.
Ni kweli mzee. Ila tuwe makini na haya yanayotokea huwa si mapenzi.Sawa mkuu. Ila sasa utamu wa mapenzi ni kama tuseme ni ka Drug. Ulishawahi kuwaona drug addicts?. Ukiwapa mfano wako huu ambao kiukweli ni very logical na inamake sense ila sasa kampe drug addict huo mfano tuone kama utamtoa humo kwenye drug addiction japo akiwa na mind status ambayo inaweza kupita na hiyo chance atapita, ila majority huwez mtoa mtu kwenye drug addctn kisa umetoa mfano ambao ni logial una make sense. Utaingia kichwani kwake sawa ila unaweza ukatoweka humo kichwani mwake after a short time or after sometime.
Sasa mapenzi yanaweza kufeel kama Drug pia. Utapiga utaua ila wenzako wanaendelea hivyo hivyo. Binadamu ndo wako hivyo sasa..
mambo ni mengi muda ndo mchache.
[emoji23][emoji23]Sasa mbona KE unawapiga kavu bila ndom na wapo kimya. Na hata ukimjulisha kuwa naelekea kukojoa sasa hachukui hatua yoyote zaidi ya kuongeza miguna ya utamu na unamkojolea ndan kabisa na anajua tena anafurahia. Sasa unataka kuwarekebisha wanaume? utakojolewa ndan na wadau wanakula kona na namba ya simu wanabadilisha.
Utajua hujui.