Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati sisi wanaume tunafanyaje, sijasema tusitombe mademu ila sasa tuwe makini na wapi tunaweka mbegu. We unagonga demu kama Giggy money, unamkojolea ndani kwenye mji wa uzazi mzee? [emoji848]Hilo siyo jukumu letu ni jukumu la wanawake kujichunga wenyewe
Mwenye maamuzi ya kushika ujauzito ni Binti sio mwanaume.Kuna kikundi kinakuja kupingana na mtoa mada,
Kudos mtoa mada sms sent
Kwaiyo gigy money haistaili kuwa na mtoto?Wakati sisi wanaume tunafanyaje, sijasema tusitombe mademu ila sasa tuwe makini na wapi tunaweka mbegu. We unagonga demu kama Giggy money, unamkojolea ndani kwenye mji wa uzazi mzee? [emoji848]
Mtoto anatengenezeka mtu anabeba ujauzito. Humuonei huruma huyu malaika? [emoji848]
1. Hapa sijaongelea wanaume kwa kuwalinganisha na wanawake bali nimeongea na sisi wanaume specifically bila kuwahusisha wanawake maana kila siku mbona huwa tunawapa makavu hapa. Ila kuna upande wa wanaume pia ambao wanatia hawa wanawake irresponsible why sasa umkojolee ndani na unajua anaweza beba mimba?1. Kwanini lawama abebe mwanaume peke yake, mwanamke hajui madhara ya ngono zembe?
2. Mwanamke kuzaa na mwanaume asiye na malengo naye ndiyo sababu pekee ya usingle mother?
Yaani unawadekeza wanawake, unawaonea huruma, unawachukulia kama wajinga wakati na wao wanajitambua vizuri tu.
Eti bwanaHapana bhna mapenzi yana nguvu
Kumbuka mwanaume anaweza mtamani mwanamke na mwanamke akazama kwenye penzi akiamini kuwa ndiye mume kumbe mwanaume yupo kutimiza haja zake
Na kuna wanaume wana wadanganya wanawake wakibeba mimba atamuoa akibeba tu anachimba zake
Hapo kosa la nan?
Hii ni kweli, sasa ikitokea kwann unamuacha na mtoto? Yaani wewe umeshaona hii ni changamoto unamuacha na mtoto, why usibebe mtoto wako ukalee huko kando? [emoji848]Kuna mwanamke ukiwa naye kwenye kwenye mahusiano/uchumba unajisemea "huyu mke kabisa."
OA ujionee, hakuna rangi utaacha ona.
Utanisamehe ila huu ni usenge.Wanawake tukubaliane tu hawana uwezo wa kujisimamia na upuuzi wao tunauona kwenye maamuzi yao kila siku.