Wanaume acheni kuzaa na wanawake ambao hamtawaoa

Wanaume acheni kuzaa na wanawake ambao hamtawaoa

Kosa ni la wote.

Mwanaume kamdanganya mwanamke,

Mwanamke kazaa bila ndoa. Ni tamaduni gani hapa nchini ambayo hailaani kuzaa bila ndoa au makubaliano flani na wazazi?

Sasa mwanamke anapuuzia hayo yote eti kisa mapenzi. Fala!
Ni kweli unachosema binti anakuwa amefanya uzembe sasa swali nakurudishia wewe unaona ni sawa kuzaa na mtu ambaye hajitambui kama huyo ili awe mama watoto wako? [emoji848]
 
Ndiyo Ukweli Wenyewe
NNasema Uongo Ndugu Zangu
Hata Wewe Umkute Binti Yako Amekumbatiwa Na Lijamaa Hata Mahari Halikutoa Na Halitamuoa. Nilitaka Nitelemke Kwenye Gari Nikawazabe Makofi

Maneno Ya Mzilankende AkiwA MUST ~Mbeya
[emoji23][emoji23]
 
Wewe mwanamke una haja gani ya kufanya mapenzi siku yako ya hatari? Hukufikiria yote hayo? Hutaki kupata mimba ni marufuku kufanya mapenzi siku za hatari.
Unapolala na binti yeye hiyo siku unaita ya hatari si ya hatari kwake ni siku ya bahati. Na wewe kulala nae unakuwa ukitegemea nini just incase kashika mimba? [emoji848]
 
Hii kitu naogopa sana ila ukifatilia utajua ya kwamba mtu ambae haumpendi na hauna ndoto ya kuish nae yeye ndio huwa anakupenda.

Wanaume wengi huwa tupo kwa manzi kwa ajili ya kula mzgo tu na wala huwa hatujapend kbs wanaotupenda wapo hukoo, yan huwa hawatupend ama wanatusumbua san hvo tunatafuta pakujitulza ndio hvo unashangaa mimba hapo unaanza kuwaza unatokea wap ndio yanakuwa hayo ww unapta hv manzi nae anabak na dogo
True. Ila sasa kama mtu haujampenda, why unafanya nae kwa lengo la kuzaa, kuna namna nyingi za kuzuia ujauzito usipatikane, hilo ni jukumu la mwanaume pia sababu mtoto atakayepatikana wewe ndie utakuwa baba.
 
Tatizo ni kupishana tu kwa mitazamo, mwanamke anaweza kushika mimba kwa sababu kadhaa
1. Imani kuolewa na huyo mtu
2.kuzaa mtoto mzuri kulingana na appearence za wazazi
3.mali
4.kuvutiwa na ukoo
5.uzembe tu
6. Au plan zingine tu

Kwa mwanaume yeye sababu ni moja tu kubebesha mimba kama kuonesha umwamba hatakama hataki kulea mtoto ila kile kitendo tu cha kumzalisha mtoto wa mtu ni fahari kwao ingawa ni upuuzi tu

In short ni upuuzi tu
True mzee.
 
Mleta mada anauchungu sana na jamii yenye ignorance. Keep it up
Jamii inaenda kufeli sana hii mzee. Watoto wanateseka sana mimi napataga huzuni sana kuona watoto wanakuzwa katika kizazi cha sasa ambacho baba na mama kuishi pamoja imekuwa ni nadra watoto wanaishi kwa hisia mpasuko sana.

Ipo siku nakwambia tutakuja kuyajutia haya matendo
 
Ni kweli unachosema binti anakuwa amefanya uzembe sasa swali nakurudishia wewe unaona ni sawa kuzaa na mtu ambaye hajitambui kama huyo ili awe mama watoto wako? [emoji848]
Kwanini unamkaza na hajitambui?

Kwanza kufanya ngono bila ndoa ni kosa kubwa

Maanake we mwenyewe hujitambui

Binadamu wengi hatuangalii mbele hizi ajali hazitokaa ziishe
 
Kuna wanawake u-single mother wanautafuta kwa nguvu
1. Mtoto anazaliwa, wewe mama ndiyo unakuwa wa kwanza kumpa jina mtoto, baba akitoa jina unakataa. Hapo u-single mother unakuhusu
2. Una mwanaume zaidi ya mmoja, hapo ikitokea mimba lazima usingle mother ukuhusu.
N.B
Kuna wanawaume walikuwa na nia nzuri tu ila kutokana na ujinga wa mwanamke wamebaki pekee yao.
Mimi mfano nikigundua huyu demu hajatulia, tabia mbovu,mkorofi,anakauli mbovu, na kadhalika,then siwezi weka mbegu zangu kwenye mji wake wa uzazi maana najua hatafaa kuwa mke so hafai kuwa mama.
 
Unafikiri hawajui? Basi tu wadau wanaamua kupotezea. Mfano kwa njia ya kalenda, ME hamuulizi ke kuhusu hiyo kalenda, anapeleka moto mzima mzimaa, na KE muda huo hajali tena liwalo na liwe acha apelekewe moto mzima mzima aenjoy the moment... Matokeo yake ndo hayo sasa. Mtego ni utamu. Na unakuta muda huo wadau hawako tayari kuingia kwenye ndoa. Jambo zito hili watu wa jinsia zote mbili hizo elimu wanazo mkuu. Na njia nyingine za uzazi wa mpango watu wa jinsia zote wanazijua vizuri tu.

Mtego ni utamu na kuwa irresponsible kwa pande zote mbili. Hata uwachape viboko mkuu utaumiza mikono yako tu. Kuna mdau humu huwa anasema "Tatizo binadamu ni wabisi sana".

Watu wamepinda mkuu...
Mwanamke anapokupa ruhusa ya kulala nae kitandani maana yake kwa asilimia 50% amekupa kibali cha kuzaa nae sasa wewe kama mwanaume na kiongozi wa maisha yako na maisha ya mwanamke na huyo mtoto ambaye bado haujamtengeneza, unawajibika kuyajenga maamuzi yako kwa maslahi ya wote.
 
Sasa unamkuta mtu anamiliki kadi zaidi ya moja za kliniki,unadhani uyu usingle maza anakosaje
Kama mtoto ni wako mchukue aisee usiache damu yako mikononi mwa malaya. Kila mwanaume akiwa serious hivi wanawake wataanza kuwa makini wataogopa kunyang'anywa watoto.
 
Ho

Hao wanawake mara nyingi huwa wanataka wenyewe. Si tulishakubaliana kuwa wanawake huzaa pale wanapotaka na hakuna mtoto wa bahati mbaya kwa kizazi cha kidijitali. Wanawake wengi wanazaa na wanaume wakiwa wanajua kabisa kuwa Hakuna future ila wanazaa kwa sababu
1. Mwanaume handsome
2. Akizaa atapata maokoto zaidi
3. Anataka mwenyewe kuwa single maza (Rejea clip ya kondakta wa taifa)
4. Umri umeenda
5. Akimzalia atakuoa. Nk

Mkuu dunia ya leo siamini tena kama kuna mwanamke anapata mimba bahati mbaya. Labda wale wa vijijini watumia viswaswadu ambao hata JF hawapo
Sawa tumeshawaona wanawake na hizi tabia, je wewe kama mwanaume haujapewa utashi na uwezo wa kuwabaini wanawake wa hovyo na wenye sifa?
 
N wanawake waache kubeba mimba za wanaume ambao hawatawaoa
Wanawake kubeba mimba ni swala la kimaumbile zaidi na wapo ndani ya borrowed time, kuchelewa zaidi kupata mtoto ni kurisk kutopata kabisa.

Wanaume tuna advantage ya kuchagua nani awe mama wa mtoto wangu, kwann hatuwi serious eneo hilo? [emoji848]
 
Mimi mfano nikigundua huyu demu hajatulia, tabia mbovu,mkorofi,anakauli mbovu, na kadhalika,then siwezi weka mbegu zangu kwenye mji wake wa uzazi maana najua hatafaa kuwa mke so hafai kuwa mama.

Sasa ikitokea wewe umemuona kuwa anafaa si utapambana usababishe!! Vipi kuhusu yeye ikiwa hana mitazamo kama yako?
 
Uko sahihi mleta Uzi........ila Wanawake wenyewe wanataka kuwa single mother,japo si wote.Binafsi kuna binti niliwahi kuwa naye kwenye mahudiano, nikaona hapa sasa ngoja nioe, kwasababu tulikuwa tumefahamiana vema,baada ya kumwambia nataka kuja kwenu, akasema yeye kwenye maisha hajawahi kuwaza kuolewa,atazaa na kulea watoto mwenyewe hataki kubanwa banwa,nikapiga chini......akazaa na mume wa mtu iringa huko, ghafla akaanza kunipigia na kuomba ushauri kwangu na kukiri hakuwa na maamuzi sahihi kwasababu ni ngumu sana, mtoto alipokuwa kuna mwamba akaingia line akampeleka kwao,jamaa amemzalisha tena na hana habari naye tena japo alitarajia amuoe......kila siku anapiga Simu nimshauri [emoji3][emoji3].

Pamoja nasisi kuacha mbegu ovyo,ila dada zetu nao baadhi hawaelewi nini wanataka
Ndio maana nikasema wanaume sasa tuanze kuwa makini maana wanaokwenda kuteseka ni watoto zetu ambao ni damu zetu.

Mtoto wako ni bao lako. Labda kama mwanamke alikuficha juu ya ujauzito ila kama alikwambia na kukufahamisha then unawajibika kuchukua mtoto wako na kumlea usimtelekeze na mwanamke asiyeeleweka.

Watoto wanateseka sana kulelewa mazingira mbali na baba. Hawa wanawake wengi wao hawana uwezo wa kulea wanatutesea watoto wetu. So tuna option mbili, usizae na Mwanamke ambaye umeshaona dalili za kushindwana nae au kama alikuwa anakuigizia tabia then wajibika kwa kuchukua mtoto wako ulee wewe chini ya uangalizi wako na msaada wa beki tatu.
 
Back
Top Bottom