DuhInakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto.
Big up kwa akina baba ambao wanapambania kuwatunza na kuwalea watoto wao wa damu na kuwajibika kama baba na kutowatenga hawa watoto.
Kimsingi baba ni mtu muhimu sana katika maisha ya mtoto na baba anapokosekana katika maisha ya mtoto ni rahisi sana kwa mtoto kupoteza direction ya Maisha utu uzimani.
Mtoto wa kiume unakutana na mdada haujui history yake haumfahamu anaishi kwa mwenendo gani kisa tu kakuruhusu kumpelekea moto unaachia mbegu zako kwenye mji wake wa uzazi ukijua wazi matokeo yake ni yapi.
Hivi huwazii mtoto wako anapozaliwa huyo ndie atakuwa mama yake na wewe ndie baba yake na ndio mwanzo wa familia? Why sasa unaanzisha kitu kikubwa namna hiyo katika hali ya kizembe sana.
Hauoni kuwa unakuja kumpa maisha ya mateso na maumivu huyo mtoto ambaye alitakiwa kukuzwa kwenye maisha ya upendo wa baba na mama na yeye aje kuwa raia mwema?
Je, umemuwazia huyo mwanamke namna atateseka na mtoto huyo usiku pekee yake mchana pekee yake, hapo inakupa fahari gani kama mwanaume kuona damu yako ipo huko na wewe upo huku usijali inaishi maisha ya namna gani?
Kama kwako ni muhimu kuchuja nafaka, si upige hata nyeto au uzingatie ngono salama ambayo haitaleta mtoto ambaye hautakuwa hiyari kumlea kwa upendo?
Hivi unatakiwa uwe na akili ya namna gani hadi kukimbia mtoto wako mwenyewe ambaye hata ukimtazama unajiona kabisa wewe yule pale katika mwili na damu?
Hebu ifike muda tuanze kuambiana ukweli, hawa watoto tunaweza wapata katika mazingira salama na tukawalea. Kama mwanamke ni mkorofi hushindwi kuchukua mtoto wako ukapeleka kwa bibi yake yaani mama yako au ukatafuta mwanamke akusaidie kulea hata beki tatu wapo kibao ambao utamuacha pale room kwako akae na mtoto na wewe umpatie mshahara na akusaidie kuishi na mtoto wako vizuri tu hadi atakapofika umri wa kuanza kujisimamia.
Trust me, mtoto yupo salama zaidi akikua mazingira ya shida pembeni ya baba yake kulikoni akiishi maisha ya shida pembeni ya mama yake ambapo ni rahisi kuharibika tabia na kuwa tatizo ukubwani.
Siku zote linapokuja swala la kulea mtoto huwa wanaume kuna ile tabia ya kujitisha kuwa mtoto atateseka akilelewa na watu baki, huu ni upotoshaji mkubwa sana. Ipo mifano hai ya wanaume waliolea watoto wao wenyewe bila mama wa mtoto kwa msaada wa mfanyakazi na familia yake hadi mtoto kawa mtu mzima, si watoto wa kiume tu hata wa kike.
Inawezekana na nirahisi sana zaidi ya unavyofikiria. Mimi nimeshalea wajomba wawili kwa msaada wa bibi yao na dada wa kazi baada ya kuona upumbavu wa mama zao unavyowagharimu watoto. Ndio maana nauchukia sana usingle mother sababu naelewa madhara na mateso yake kwa watoto wasio na hatia.
Inaanza na wewe kuwajibika na sio kuwategemea hawa mabinti wa sasa ambao hawawajibiki na maamuzi yao. Kama wewe hautatoa mbegu zako kwa mtu ambaye hautaanza nae familia masingle mother watatokea wapi na watoto watapatikana vipi?
Hebu wanaume tuchague kuwajibika na sio kuwa vilaza ambao kwa makusudi tunachagua kushirikiana na wanawake irresponsible kuleta watoto duniani na kuwatesa bila hatia. Hebu tuanze kuwa na maono ya wapi tunapeleka uzao wetu ili tusipoteze mbegu zetu zikaotea mibani.
Utafurahi siku unakutana na binti yako amekuwa mdangaji, kahaba, ana ma'tattoo amekuwa mtu wa hovyo kama akina Giggy money, au Amber Rutty?
Au unakutana na mtoto wako wa kiume amekuwa kituko, kasuka marasta au kaweka dreads, matattoo mwili mzima, kavaa mlegezo, anakimbiza bodaboda halafu wewe ni mtu na heshima zako unapita, unaweza kumrekebisha tena samaki aliyekauka? Ni kazi rahisi sana kujenga kizazi bora kupitia malezi bora ya watoto kuliko kurekebisha taifa na jamii iliyoharibika kwa gharama na program za kuwarekebisha watu wazima ambao wamekomaa kiakili na wameshapinda.
Acheni kuzaa watoto ambao hamna mpango wa kuwalea na kuwatunza kwa upendo kifamilia mnatutesea watoto wasio na hatia na kuleta laana ambazo hazikuwa na nafasi kwenye jamii yetu. Watoto waliopo kwa sasa iwe ni funzo tubadilike.
Sheria inasema mtoto anakaa na mama yake mpk miaka 8Hii ni kweli, sasa ikitokea kwann unamuacha na mtoto? Yaani wewe umeshaona hii ni changamoto unamuacha na mtoto, why usibebe mtoto wako ukalee huko kando? [emoji848]
Na hii ndipo shida ilipo ingawa siwezi walaumu kwann wanakataa ndoa lakini eneo la kuzaa hapo nawavua vyeo. Ukikataa ndoa na kuzaa pia ni sehemu ya Maisha ya ndoa why unazaa na mwanamke ambaye hautaishi nae?Kataa ndoa ndio wahusika, tena walivyokuwa ovyo hata kuhudumia hawataki.
Kuzaa kabla ya ndoa kwa miaka hii haijawa changamoto ya kuzuia kuingia ndoani. Kuna watu wamezaa hadi watoto saba ndio wakabariki ndoa.Nadhani ungesema hivi, tusizae kabla ya ndoa ingekaa poa zaidi.
Sawa sawa.Kuzaa kabla ya ndoa kwa miaka hii haijawa changamoto ya kuzuia kuingia ndoani. Kuna watu wamezaa hadi watoto saba ndio wakabariki ndoa.
Kitendo cha wewe kulala na mwanamke na kuzaa nae tayari mshafungamana kiakili, kiroho na kimwili.
Hakuna kitu hapo utafanya bila huyu mwanamke kukujia kichwani mtoto wenu.
Ndio maana hata wanaume tunashauriwa sana kutozaa na mwanamke ambaye tayari ana mtoto au watoto kwa miaka hii maana hata kwa miaka ya zamani ilikuwa inaleta shida ila wazee wetu especially akina baba walikuwa hawaweki mambo hadharani.
Mwanamke akishaanza na mtu anakuwa changamoto sana kwenye kujicontroll tabia.
Yote kwa yote, ukizaa na mtu make sure awe ni mtu ambaye unampenda kweli na yeye anakukubali ile ya ela yote na mnaweza kuishi pamoja kwa upendo hapo ni vema maana hata mtoto akija kwa ghafla familia itaundwa kwa urahisi tu.
Inakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto.
Big up kwa akina baba ambao wanapambania kuwatunza na kuwalea watoto wao wa damu na kuwajibika kama baba na kutowatenga hawa watoto.
Kimsingi baba ni mtu muhimu sana katika maisha ya mtoto na baba anapokosekana katika maisha ya mtoto ni rahisi sana kwa mtoto kupoteza direction ya Maisha utu uzimani.
Mtoto wa kiume unakutana na mdada haujui history yake haumfahamu anaishi kwa mwenendo gani kisa tu kakuruhusu kumpelekea moto unaachia mbegu zako kwenye mji wake wa uzazi ukijua wazi matokeo yake ni yapi.
Hivi huwazii mtoto wako anapozaliwa huyo ndie atakuwa mama yake na wewe ndie baba yake na ndio mwanzo wa familia? Why sasa unaanzisha kitu kikubwa namna hiyo katika hali ya kizembe sana.
Hauoni kuwa unakuja kumpa maisha ya mateso na maumivu huyo mtoto ambaye alitakiwa kukuzwa kwenye maisha ya upendo wa baba na mama na yeye aje kuwa raia mwema?
Je, umemuwazia huyo mwanamke namna atateseka na mtoto huyo usiku pekee yake mchana pekee yake, hapo inakupa fahari gani kama mwanaume kuona damu yako ipo huko na wewe upo huku usijali inaishi maisha ya namna gani?
Kama kwako ni muhimu kuchuja nafaka, si upige hata nyeto au uzingatie ngono salama ambayo haitaleta mtoto ambaye hautakuwa hiyari kumlea kwa upendo?
Hivi unatakiwa uwe na akili ya namna gani hadi kukimbia mtoto wako mwenyewe ambaye hata ukimtazama unajiona kabisa wewe yule pale katika mwili na damu?
Hebu ifike muda tuanze kuambiana ukweli, hawa watoto tunaweza wapata katika mazingira salama na tukawalea. Kama mwanamke ni mkorofi hushindwi kuchukua mtoto wako ukapeleka kwa bibi yake yaani mama yako au ukatafuta mwanamke akusaidie kulea hata beki tatu wapo kibao ambao utamuacha pale room kwako akae na mtoto na wewe umpatie mshahara na akusaidie kuishi na mtoto wako vizuri tu hadi atakapofika umri wa kuanza kujisimamia.
Trust me, mtoto yupo salama zaidi akikua mazingira ya shida pembeni ya baba yake kulikoni akiishi maisha ya shida pembeni ya mama yake ambapo ni rahisi kuharibika tabia na kuwa tatizo ukubwani.
Siku zote linapokuja swala la kulea mtoto huwa wanaume kuna ile tabia ya kujitisha kuwa mtoto atateseka akilelewa na watu baki, huu ni upotoshaji mkubwa sana. Ipo mifano hai ya wanaume waliolea watoto wao wenyewe bila mama wa mtoto kwa msaada wa mfanyakazi na familia yake hadi mtoto kawa mtu mzima, si watoto wa kiume tu hata wa kike.
Inawezekana na nirahisi sana zaidi ya unavyofikiria. Mimi nimeshalea wajomba wawili kwa msaada wa bibi yao na dada wa kazi baada ya kuona upumbavu wa mama zao unavyowagharimu watoto. Ndio maana nauchukia sana usingle mother sababu naelewa madhara na mateso yake kwa watoto wasio na hatia.
Inaanza na wewe kuwajibika na sio kuwategemea hawa mabinti wa sasa ambao hawawajibiki na maamuzi yao. Kama wewe hautatoa mbegu zako kwa mtu ambaye hautaanza nae familia masingle mother watatokea wapi na watoto watapatikana vipi?
Hebu wanaume tuchague kuwajibika na sio kuwa vilaza ambao kwa makusudi tunachagua kushirikiana na wanawake irresponsible kuleta watoto duniani na kuwatesa bila hatia. Hebu tuanze kuwa na maono ya wapi tunapeleka uzao wetu ili tusipoteze mbegu zetu zikaotea mibani.
Utafurahi siku unakutana na binti yako amekuwa mdangaji, kahaba, ana ma'tattoo amekuwa mtu wa hovyo kama akina Giggy money, au Amber Rutty?
Au unakutana na mtoto wako wa kiume amekuwa kituko, kasuka marasta au kaweka dreads, matattoo mwili mzima, kavaa mlegezo, anakimbiza bodaboda halafu wewe ni mtu na heshima zako unapita, unaweza kumrekebisha tena samaki aliyekauka? Ni kazi rahisi sana kujenga kizazi bora kupitia malezi bora ya watoto kuliko kurekebisha taifa na jamii iliyoharibika kwa gharama na program za kuwarekebisha watu wazima ambao wamekomaa kiakili na wameshapinda.
Acheni kuzaa watoto ambao hamna mpango wa kuwalea na kuwatunza kwa upendo kifamilia mnatutesea watoto wasio na hatia na kuleta laana ambazo hazikuwa na nafasi kwenye jamii yetu. Watoto waliopo kwa sasa iwe ni funzo tubadilike.
Hapana. Huyo mahusiano yameshamshinda, hata vitabu vya Dini vinatuagiza kuachana na mwanamke ambaye anaamua kuanzisha mahusiano nje ya mwanaume wake.Kuna yule mwanamke unazaa nae, unamua kuishi nae halafu yeye anaamua kutoa utamu kwa watu wengine, huyu nae avumiliwe kwa kigezo cha kulea mtoto?
Sasa mwanaume hapo unawajibika kuangalia mbegu zako unaweka wapi. Yaani umwage mbegu kwenye uke wa mwanamke kisa umekubaliana nae kwa maneno ya mdomoni kuwa hatabeba ujauzito?Na Kuna wanawake wanabeba mimba kama chambo cha kumkamata mwanaume ili amuoe wakati kumbe mwanaume alikuwa anapita tu.
Sasa tumuweke binti pembeni tumjadili mwanaume na mtoto wake. Hivi wewe umeoa huwezi kutomba huko nje responsibly?Kuna trend ambayo inakuwa kwa kasi kwa mabinti kupenda kuzaa na waume za watu kisa wanahela na unakuta binti anajua kwamba huyu yupo kwenye ndoa na unaweza ukakuta yupo mtu anaye muhitaji na kishaonesha nia ya kumuoa,hana pesa nyingi, ila uwezo wa kumpatia MAHITAJI YAKE YA MSINGI ANAO.Ila yy anakomaa na mume wa mtu sababu tu ya LUXURY hizo ambazo baadae huja kujutia,wengine hujipa moyo na kutumia njia za kilozi ili avuruge ndoa ya mtu.
Kuna mabinti wanne wadogo kitaa,wakati wamezalishwa walikuwa below 20,wote wamezaa na waume za watu na wote sasa hivi single mother na wanaume walio wazalisha hawana time nao. Kuna mmoja alikiwa ana battle kabisa na mwenye mume,mpaka unajiuliza anajiamini nini.
Na wanaume waliopo kwenye ndoa ni wanawindwa sana na wanawake.
Sisi huku bado sana mambo hayo, tunajipigia tu. Akizaa atajijua, na hata akienda mahakamani unakuta gharama za matunzo siyo kubwa.Huko ulaya ndicho kilichopo so wanaume wanatumia akili sana kulala na
Hili ni eneo ambalo jamii inatakiwa kujikwamua sana hapa tunawazuia watoto wa kike kupewa elimu ya ndoa tukiamini tunawalinda kumbe ndio tunawapoteza kwa speed kali sana.Tatizo watoto wenu wa kike hawana maadili na akili katika ndoa mpaka wazae zen akiolewa ndio anajua thaman ya ndoa
Ndicho ninachokisema, mwanaume control mbegu zako unapozipeleka maana wanawake hawapo makini na mayai yao.Jukumu la kulinda afya ya mwili ni la kila mmoja,
Haiwezekani nilale na mwanamke tulane pekupeku then anipe ukimwi afu nimlaumu kanipa ukimwi, it makes sense? Wakat ni ujinga wangu kutokutumia kinga, [emoji57]