Wanaume acheni kuzaa na wanawake ambao hamtawaoa

Wanaume acheni kuzaa na wanawake ambao hamtawaoa

Hua wanajiona wao malaika kwenye swala la mimba kana kwamba hua wanaziangukia tuu zinajaa tumboni, kwa nini usiwaambie wanawake wasizae na wanaume ambao hawana malengo nao🤔🤔
 
Inakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto.

Big up kwa akina baba ambao wanapambania kuwatunza na kuwalea watoto wao wa damu na kuwajibika kama baba na kutowatenga hawa watoto.

Kimsingi baba ni mtu muhimu sana katika maisha ya mtoto na baba anapokosekana katika maisha ya mtoto ni rahisi sana kwa mtoto kupoteza direction ya Maisha utu uzimani.

Mtoto wa kiume unakutana na mdada haujui history yake haumfahamu anaishi kwa mwenendo gani kisa tu kakuruhusu kumpelekea moto unaachia mbegu zako kwenye mji wake wa uzazi ukijua wazi matokeo yake ni yapi.

Hivi huwazii mtoto wako anapozaliwa huyo ndie atakuwa mama yake na wewe ndie baba yake na ndio mwanzo wa familia? Why sasa unaanzisha kitu kikubwa namna hiyo katika hali ya kizembe sana.

Hauoni kuwa unakuja kumpa maisha ya mateso na maumivu huyo mtoto ambaye alitakiwa kukuzwa kwenye maisha ya upendo wa baba na mama na yeye aje kuwa raia mwema?

Je, umemuwazia huyo mwanamke namna atateseka na mtoto huyo usiku pekee yake mchana pekee yake, hapo inakupa fahari gani kama mwanaume kuona damu yako ipo huko na wewe upo huku usijali inaishi maisha ya namna gani?

Kama kwako ni muhimu kuchuja nafaka, si upige hata nyeto au uzingatie ngono salama ambayo haitaleta mtoto ambaye hautakuwa hiyari kumlea kwa upendo?

Hivi unatakiwa uwe na akili ya namna gani hadi kukimbia mtoto wako mwenyewe ambaye hata ukimtazama unajiona kabisa wewe yule pale katika mwili na damu?

Hebu ifike muda tuanze kuambiana ukweli, hawa watoto tunaweza wapata katika mazingira salama na tukawalea. Kama mwanamke ni mkorofi hushindwi kuchukua mtoto wako ukapeleka kwa bibi yake yaani mama yako au ukatafuta mwanamke akusaidie kulea hata beki tatu wapo kibao ambao utamuacha pale room kwako akae na mtoto na wewe umpatie mshahara na akusaidie kuishi na mtoto wako vizuri tu hadi atakapofika umri wa kuanza kujisimamia.

Trust me, mtoto yupo salama zaidi akikua mazingira ya shida pembeni ya baba yake kulikoni akiishi maisha ya shida pembeni ya mama yake ambapo ni rahisi kuharibika tabia na kuwa tatizo ukubwani.

Siku zote linapokuja swala la kulea mtoto huwa wanaume kuna ile tabia ya kujitisha kuwa mtoto atateseka akilelewa na watu baki, huu ni upotoshaji mkubwa sana. Ipo mifano hai ya wanaume waliolea watoto wao wenyewe bila mama wa mtoto kwa msaada wa mfanyakazi na familia yake hadi mtoto kawa mtu mzima, si watoto wa kiume tu hata wa kike.

Inawezekana na nirahisi sana zaidi ya unavyofikiria. Mimi nimeshalea wajomba wawili kwa msaada wa bibi yao na dada wa kazi baada ya kuona upumbavu wa mama zao unavyowagharimu watoto. Ndio maana nauchukia sana usingle mother sababu naelewa madhara na mateso yake kwa watoto wasio na hatia.

Inaanza na wewe kuwajibika na sio kuwategemea hawa mabinti wa sasa ambao hawawajibiki na maamuzi yao. Kama wewe hautatoa mbegu zako kwa mtu ambaye hautaanza nae familia masingle mother watatokea wapi na watoto watapatikana vipi?

Hebu wanaume tuchague kuwajibika na sio kuwa vilaza ambao kwa makusudi tunachagua kushirikiana na wanawake irresponsible kuleta watoto duniani na kuwatesa bila hatia. Hebu tuanze kuwa na maono ya wapi tunapeleka uzao wetu ili tusipoteze mbegu zetu zikaotea mibani.

Utafurahi siku unakutana na binti yako amekuwa mdangaji, kahaba, ana ma'tattoo amekuwa mtu wa hovyo kama akina Giggy money, au Amber Rutty?

Au unakutana na mtoto wako wa kiume amekuwa kituko, kasuka marasta au kaweka dreads, matattoo mwili mzima, kavaa mlegezo, anakimbiza bodaboda halafu wewe ni mtu na heshima zako unapita, unaweza kumrekebisha tena samaki aliyekauka? Ni kazi rahisi sana kujenga kizazi bora kupitia malezi bora ya watoto kuliko kurekebisha taifa na jamii iliyoharibika kwa gharama na program za kuwarekebisha watu wazima ambao wamekomaa kiakili na wameshapinda.

Acheni kuzaa watoto ambao hamna mpango wa kuwalea na kuwatunza kwa upendo kifamilia mnatutesea watoto wasio na hatia na kuleta laana ambazo hazikuwa na nafasi kwenye jamii yetu. Watoto waliopo kwa sasa iwe ni funzo tubadilike.
Duh
 
Kataa ndoa ndio wahusika, tena walivyokuwa ovyo hata kuhudumia hawataki.
Na hii ndipo shida ilipo ingawa siwezi walaumu kwann wanakataa ndoa lakini eneo la kuzaa hapo nawavua vyeo. Ukikataa ndoa na kuzaa pia ni sehemu ya Maisha ya ndoa why unazaa na mwanamke ambaye hautaishi nae?
 
Nadhani ungesema hivi, tusizae kabla ya ndoa ingekaa poa zaidi.
Kuzaa kabla ya ndoa kwa miaka hii haijawa changamoto ya kuzuia kuingia ndoani. Kuna watu wamezaa hadi watoto saba ndio wakabariki ndoa.

Kitendo cha wewe kulala na mwanamke na kuzaa nae tayari mshafungamana kiakili, kiroho na kimwili.

Hakuna kitu hapo utafanya bila huyu mwanamke kukujia kichwani mtoto wenu.

Ndio maana hata wanaume tunashauriwa sana kutozaa na mwanamke ambaye tayari ana mtoto au watoto kwa miaka hii maana hata kwa miaka ya zamani ilikuwa inaleta shida ila wazee wetu especially akina baba walikuwa hawaweki mambo hadharani.

Mwanamke akishaanza na mtu anakuwa changamoto sana kwenye kujicontroll tabia.

Yote kwa yote, ukizaa na mtu make sure awe ni mtu ambaye unampenda kweli na yeye anakukubali ile ya ela yote na mnaweza kuishi pamoja kwa upendo hapo ni vema maana hata mtoto akija kwa ghafla familia itaundwa kwa urahisi tu.
 
Mzee umeongea vizuri ila kwenye suala la dreads umezingua, dreads zinahusiana nini na tabia ya mtu? Unazingua mzee wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nsamehe bro, sijamaanisha wanaosuka dreads wote ni wahuni.
 
Kuzaa kabla ya ndoa kwa miaka hii haijawa changamoto ya kuzuia kuingia ndoani. Kuna watu wamezaa hadi watoto saba ndio wakabariki ndoa.

Kitendo cha wewe kulala na mwanamke na kuzaa nae tayari mshafungamana kiakili, kiroho na kimwili.

Hakuna kitu hapo utafanya bila huyu mwanamke kukujia kichwani mtoto wenu.

Ndio maana hata wanaume tunashauriwa sana kutozaa na mwanamke ambaye tayari ana mtoto au watoto kwa miaka hii maana hata kwa miaka ya zamani ilikuwa inaleta shida ila wazee wetu especially akina baba walikuwa hawaweki mambo hadharani.

Mwanamke akishaanza na mtu anakuwa changamoto sana kwenye kujicontroll tabia.

Yote kwa yote, ukizaa na mtu make sure awe ni mtu ambaye unampenda kweli na yeye anakukubali ile ya ela yote na mnaweza kuishi pamoja kwa upendo hapo ni vema maana hata mtoto akija kwa ghafla familia itaundwa kwa urahisi tu.
Sawa sawa.
 
Kwenye suala la kubeba muamuzi ni mwanamke na consquencies zake zinajulikana. Kama mwanamke hayupo tayrai kukabiliana na consequencies za mimba na malezi basi afunge kizazi au asifanye sex akiwa kwenye siku za hatari. Binafsi huwa nawaweka wazi kabisa mademu ninaodate nao kwamba kwa sasa sitaki mtoto sasa akiamua kunitegeshea au kunibambikia iyo mimba mimi sitoitambua
 
Chanzo kikukuu ni mwanamke kutubebea Mimba wakiwa na imani kuwa tutavutiwa zaidi nao.
Siku hizi kuna P2,Condoms,Miso alafu useme zote hizo ni options za kutokuzaa.
Wanawake wengi wamekuwa na tabia mbovu ambazo zinatutisha wanaume kukaa nao wanahisi tutazidi kuwapenda zaidi kumbe vijana siku hizi hatutaki majukumu ya mitoto.
 
Inakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto.

Big up kwa akina baba ambao wanapambania kuwatunza na kuwalea watoto wao wa damu na kuwajibika kama baba na kutowatenga hawa watoto.

Kimsingi baba ni mtu muhimu sana katika maisha ya mtoto na baba anapokosekana katika maisha ya mtoto ni rahisi sana kwa mtoto kupoteza direction ya Maisha utu uzimani.

Mtoto wa kiume unakutana na mdada haujui history yake haumfahamu anaishi kwa mwenendo gani kisa tu kakuruhusu kumpelekea moto unaachia mbegu zako kwenye mji wake wa uzazi ukijua wazi matokeo yake ni yapi.

Hivi huwazii mtoto wako anapozaliwa huyo ndie atakuwa mama yake na wewe ndie baba yake na ndio mwanzo wa familia? Why sasa unaanzisha kitu kikubwa namna hiyo katika hali ya kizembe sana.

Hauoni kuwa unakuja kumpa maisha ya mateso na maumivu huyo mtoto ambaye alitakiwa kukuzwa kwenye maisha ya upendo wa baba na mama na yeye aje kuwa raia mwema?

Je, umemuwazia huyo mwanamke namna atateseka na mtoto huyo usiku pekee yake mchana pekee yake, hapo inakupa fahari gani kama mwanaume kuona damu yako ipo huko na wewe upo huku usijali inaishi maisha ya namna gani?

Kama kwako ni muhimu kuchuja nafaka, si upige hata nyeto au uzingatie ngono salama ambayo haitaleta mtoto ambaye hautakuwa hiyari kumlea kwa upendo?

Hivi unatakiwa uwe na akili ya namna gani hadi kukimbia mtoto wako mwenyewe ambaye hata ukimtazama unajiona kabisa wewe yule pale katika mwili na damu?

Hebu ifike muda tuanze kuambiana ukweli, hawa watoto tunaweza wapata katika mazingira salama na tukawalea. Kama mwanamke ni mkorofi hushindwi kuchukua mtoto wako ukapeleka kwa bibi yake yaani mama yako au ukatafuta mwanamke akusaidie kulea hata beki tatu wapo kibao ambao utamuacha pale room kwako akae na mtoto na wewe umpatie mshahara na akusaidie kuishi na mtoto wako vizuri tu hadi atakapofika umri wa kuanza kujisimamia.

Trust me, mtoto yupo salama zaidi akikua mazingira ya shida pembeni ya baba yake kulikoni akiishi maisha ya shida pembeni ya mama yake ambapo ni rahisi kuharibika tabia na kuwa tatizo ukubwani.

Siku zote linapokuja swala la kulea mtoto huwa wanaume kuna ile tabia ya kujitisha kuwa mtoto atateseka akilelewa na watu baki, huu ni upotoshaji mkubwa sana. Ipo mifano hai ya wanaume waliolea watoto wao wenyewe bila mama wa mtoto kwa msaada wa mfanyakazi na familia yake hadi mtoto kawa mtu mzima, si watoto wa kiume tu hata wa kike.

Inawezekana na nirahisi sana zaidi ya unavyofikiria. Mimi nimeshalea wajomba wawili kwa msaada wa bibi yao na dada wa kazi baada ya kuona upumbavu wa mama zao unavyowagharimu watoto. Ndio maana nauchukia sana usingle mother sababu naelewa madhara na mateso yake kwa watoto wasio na hatia.

Inaanza na wewe kuwajibika na sio kuwategemea hawa mabinti wa sasa ambao hawawajibiki na maamuzi yao. Kama wewe hautatoa mbegu zako kwa mtu ambaye hautaanza nae familia masingle mother watatokea wapi na watoto watapatikana vipi?

Hebu wanaume tuchague kuwajibika na sio kuwa vilaza ambao kwa makusudi tunachagua kushirikiana na wanawake irresponsible kuleta watoto duniani na kuwatesa bila hatia. Hebu tuanze kuwa na maono ya wapi tunapeleka uzao wetu ili tusipoteze mbegu zetu zikaotea mibani.

Utafurahi siku unakutana na binti yako amekuwa mdangaji, kahaba, ana ma'tattoo amekuwa mtu wa hovyo kama akina Giggy money, au Amber Rutty?

Au unakutana na mtoto wako wa kiume amekuwa kituko, kasuka marasta au kaweka dreads, matattoo mwili mzima, kavaa mlegezo, anakimbiza bodaboda halafu wewe ni mtu na heshima zako unapita, unaweza kumrekebisha tena samaki aliyekauka? Ni kazi rahisi sana kujenga kizazi bora kupitia malezi bora ya watoto kuliko kurekebisha taifa na jamii iliyoharibika kwa gharama na program za kuwarekebisha watu wazima ambao wamekomaa kiakili na wameshapinda.

Acheni kuzaa watoto ambao hamna mpango wa kuwalea na kuwatunza kwa upendo kifamilia mnatutesea watoto wasio na hatia na kuleta laana ambazo hazikuwa na nafasi kwenye jamii yetu. Watoto waliopo kwa sasa iwe ni funzo tubadilike.

Unaakili sana wee Zemanda
Siyo kuwaoa tu, bali hata ukimuoa siyo ndiyo mnafungulia bomba ya kutiririsha watoto. Wazae watoto kilingana na uwezo wao. Kuzaa watoto wengi kwa kisingizio cha kila mtoto huja na riziki yake ni imani potofu na ushirikina. Jamii inapaswa kuondokana na mitazamo hiyo.
 
Kuna yule mwanamke unazaa nae, unamua kuishi nae halafu yeye anaamua kutoa utamu kwa watu wengine, huyu nae avumiliwe kwa kigezo cha kulea mtoto?
Hapana. Huyo mahusiano yameshamshinda, hata vitabu vya Dini vinatuagiza kuachana na mwanamke ambaye anaamua kuanzisha mahusiano nje ya mwanaume wake.

Hapo mwambie tu aende huko anakopendwa zaidi tena ikibidi mpeleke usigombane na mwanaume mwenzako, chukua mtoto kaa nae weka beki tatu mzuri mwenye uwezo sio wasiojielewa unaokota tu huko mtaani kumbe ni jambazi.

Tafuta beki tatu hata wa kigogo ambaye anajielewa sana tu weka hapo ndani muwekee dau zuri la mshahara akulelee mtoto kwa gharama nafuu bila stress.

Mtoto akishafika miaka 7 tu huyo unaishi nae mwenyewe baba bila shida na utafurahia maisha na mwanao bila stress za mapenzi sijui mke anatombwa sijui mke anakuletea fujo za kusoma sms zako na fujo zingine za mahusiano.
 
Na Kuna wanawake wanabeba mimba kama chambo cha kumkamata mwanaume ili amuoe wakati kumbe mwanaume alikuwa anapita tu.
Sasa mwanaume hapo unawajibika kuangalia mbegu zako unaweka wapi. Yaani umwage mbegu kwenye uke wa mwanamke kisa umekubaliana nae kwa maneno ya mdomoni kuwa hatabeba ujauzito?

Kama ni hivyo unaweza kwenda kuweka waleti yako pale karikakoo chini na kuondoka ukitegemea watu wataiona na kuilinda kwamba kuna usalama? Sasa kama hiyo ni ngumu kufanya kwa maana unaona wallet au simu yako ni ya thamani sana kuiacha sehemu isiyo salama kiholela why ushindwe kutunza na kuzuia kuacha mbegu zako katika mji wa uzazi wa mwanamke ambaye hakupi vibe ya usalama wa malezi au mahusiano ikitokea ameshika ujauzito?

Hivi siku serikali waweke sheria kuwa wanaume ukizaa tu na mwanamke then unawajibika kumlipa 2milion za matunzo ya mtoto kila mwezi bila kujali kipato chako na ni deni ambalo utalipa kwa lazima ama utaenda jela unadhani wanaume tutakojoa kojoa hovyo?

Huko ulaya ndicho kilichopo so wanaume wanatumia akili sana kulala na mwanamke na wanawake wa huko ni wajanja anaweza hata chukua bao lako kwenye condom akajikamulia ukeni ile tu umetoka kupiga mzigo ukaingia bafuni yeye anafanya yake unashangaa baada ya miaka mitatu unaitwa mahakamani unadaiwa matunzo ya mtoto kwa miaka mitatu na unatakiwa kulipa haraka ama uende jela.

So wanaume umalaya wao wanafanya na makahaba tu huwezi kuta anajipigia demu hovyo sababu anamtaka maana wanajua balaa lake. Ukizaa nae tu anakuchenjia mapenzi hakuna anataka matunzo ya mtoto tena mahakamani.
 
Kuna trend ambayo inakuwa kwa kasi kwa mabinti kupenda kuzaa na waume za watu kisa wanahela na unakuta binti anajua kwamba huyu yupo kwenye ndoa na unaweza ukakuta yupo mtu anaye muhitaji na kishaonesha nia ya kumuoa,hana pesa nyingi, ila uwezo wa kumpatia MAHITAJI YAKE YA MSINGI ANAO.Ila yy anakomaa na mume wa mtu sababu tu ya LUXURY hizo ambazo baadae huja kujutia,wengine hujipa moyo na kutumia njia za kilozi ili avuruge ndoa ya mtu.

Kuna mabinti wanne wadogo kitaa,wakati wamezalishwa walikuwa below 20,wote wamezaa na waume za watu na wote sasa hivi single mother na wanaume walio wazalisha hawana time nao. Kuna mmoja alikiwa ana battle kabisa na mwenye mume,mpaka unajiuliza anajiamini nini.

Na wanaume waliopo kwenye ndoa ni wanawindwa sana na wanawake.
Sasa tumuweke binti pembeni tumjadili mwanaume na mtoto wake. Hivi wewe umeoa huwezi kutomba huko nje responsibly?

Unaingia chumbani na demu unamtomba kwanza hakikisha unakuwa fundi bao likija uwe umeimaster ile technique ya "Kuruka nje ya gari isiyo na break ikiwa speed ya 120km/h kwenye mteremko mkali huku unavuta cigar mdomoni na umefunga macho na kitambaa cheusi" a.k.a kupaisha mpira.

Mimi mbona hii style nimeimudu kwa muda mrefu naweza tomba demu hapa yupo siku nzuri za kubeba ujauzito ila sitasababisha mimba kwasababu simwagii ndani.

Why nyie ukifika wakati wa kupiga bao unalegeza kiuno unamwagia ndani huo si ufala na unajua una mke na hutaweza mudu kulea watoto wa nje, why ufanye huo ufala?

Huoni unakuja tesa hicho kimalaika ambacho kilitaka baba na mama yake waishi nyumba moja.
 
Huko ulaya ndicho kilichopo so wanaume wanatumia akili sana kulala na
Sisi huku bado sana mambo hayo, tunajipigia tu. Akizaa atajijua, na hata akienda mahakamani unakuta gharama za matunzo siyo kubwa.

Diamond alipelekwa mahakamani alivyomkataa mtoto wa Mobeto. Diamond akaamuliwa aanze kutoa matunzo ya mtoto. Huwezi amini, Diamond na mihela yake yote aliiambia mahakama kuwa uwezo.wake ni kutoa sh 200k kwa mwezi. Ndiyo maana Mobeto akaamua kujikataa kwa Diamond mazima akasema yule siyo mtoto wa Diamond
 
Tatizo watoto wenu wa kike hawana maadili na akili katika ndoa mpaka wazae zen akiolewa ndio anajua thaman ya ndoa
Hili ni eneo ambalo jamii inatakiwa kujikwamua sana hapa tunawazuia watoto wa kike kupewa elimu ya ndoa tukiamini tunawalinda kumbe ndio tunawapoteza kwa speed kali sana.
 
Jukumu la kulinda afya ya mwili ni la kila mmoja,

Haiwezekani nilale na mwanamke tulane pekupeku then anipe ukimwi afu nimlaumu kanipa ukimwi, it makes sense? Wakat ni ujinga wangu kutokutumia kinga, [emoji57]
Ndicho ninachokisema, mwanaume control mbegu zako unapozipeleka maana wanawake hawapo makini na mayai yao.

Mambo ya kuzaa irresponsibly yanazorotesha ustawi wa jamii.
 
Back
Top Bottom