Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Wewe unapigwa kizinga hiyo hela ana shida nayo nyingine ameogopa kumwomba jamaa italeta mtafaruku usikute ni kitu ambacho hakipendiWanaume acheni hela ya matumizi nyumbani mtapigiwa sana. Hapa kuna ke ya mtu nafahamiana nayo inaniambia Mr katoka leo hajaacha kitu kwahiyo ni msababishe apate kula mchana. Au ni mtego huo kwani ameshindwa kumwambia Boss wake?
Sitaki mazoea kabisa na SUMU mambo ya kufahamiana yaishie hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikikuletea sura ya baba vipi huyu najua hakushawishi au muuza chapati nikuletee yupi akufundishe kuomba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niletee yule muuza chapat sababu wanamfikiria sana
Ahahaha yule utatenda zambi mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] nakujua wewe ni mchafuzi sana
Nimeshavishinda vishawishi usiniogope
Nikiona najaribiwa nitakuita [emoji23][emoji23]
Ahahaha yule utatenda zambi mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] nakujua wewe ni mchafuzi sana
Aya kwakuwa wew ndugu yangu nitakupa
Na najua woga wako kuniletea pale ni kifes alafu kishundu
Sasa me nishalijua hlo we ukimleta nampiga shetani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo tunaenda sawa sasa
Tushukuru kwa kuwa Mungu yu nas
[emoji23][emoji23][emoji23] unaweza kumpiga [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] fala sana wewe hujaokoka bado
Mwanafunzi wako si umenifundisha jins ya kumpiga shetan [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji2089]
Najua umemasta hapo
Ngoja nisepe hapa sio pakukaaa
Hapana we cha muhimu mlete…vitafuno asubuhi tusikose
[emoji3][emoji3][emoji3]Mtego huo anataka akusajili uwe wa hela za vikoba