Wanaume acheni matumizi nyumbani mtapigiwa

Wanaume acheni matumizi nyumbani mtapigiwa

Wanaume acheni hela ya matumizi nyumbani mtapigiwa sana. Hapa kuna ke ya mtu nafahamiana nayo inaniambia Mr katoka leo hajaacha kitu kwahiyo ni msababishe apate kula mchana. Au ni mtego huo kwani ameshindwa kumwambia Boss wake?

Sitaki mazoea kabisa na SUMU mambo ya kufahamiana yaishie hapo.
Wewe unapigwa kizinga hiyo hela ana shida nayo nyingine ameogopa kumwomba jamaa italeta mtafaruku usikute ni kitu ambacho hakipendi
 
We huwajui wanawake wewe.

Kuna msemo ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya. Hata angeachiwa bado angeweza kusema hajachiwa, kumbuka hela hazijawahi na hazitawahi kutosha
 
Ahahaha yule utatenda zambi mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] nakujua wewe ni mchafuzi sana

Na najua woga wako kuniletea pale ni kifes alafu kishundu
Sasa me nishalijua hlo we ukimleta nampiga shetani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na najua woga wako kuniletea pale ni kifes alafu kishundu
Sasa me nishalijua hlo we ukimleta nampiga shetani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23] unaweza kumpiga [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja nisepe hapa sio pakukaaa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🫡
 
Msiwaone wanaume wenzenu malofa kwa kuwaamini sana wanawake mnaokutana nao huko kitaaa.

Wanawake ni viumbe tuna rangi nyingi sana ngumu kutuelewa. Anaweza kuwa anasema ukweli au anadanganya kwa maslahi yake
 
Back
Top Bottom