Wanaume acheni tabia za kutupiga makofi kwenye makalio wakati wa kufanya mapenzi

Nanamucho

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
119
Reaction score
567
Sijui nyie mmeumbwaje jamani! Khaaaaa!

Hivi aliyewapa kibali wakati wa sex kutupiga makofi makalio yetu ni nani? Aliyewaambia wakati wa sex ni wakati wa kupigana makofi nani? Unakuta jitu hata kukufikisha halikufikishi kazi kukupiga makofi tu makalioni ili lionekane linaweza mambo kumbe hamna chochote.

Porn movies zimewaathiri wengi wenu, hivyo mnaiga kila kitu!

Mwanamke anataka kuridhishwa na siyo makofi.

Nadhani mmenielewa wanaume wote.
 
Ni we peke ako sie wengine tunapenda πŸ˜€πŸ˜€
 
Mimi ni wa Kiume, ukweli uwa najiuliza sana kuna mahusiani gani kati ya makofi na tendo. Nikuulize kijiswali wewe ukipigwa makofi unajisikiaje?
 
He he e kumekucha kumekucha. No wonder tarehe za nyege hizi
 
1. Baadhi ya wanawake hamjui mkitakacho

2. Wanawake, safari ya kufika kileleni mmetukabidhi wanaume..!! Yaani nyie, ni kama hamuhusiki kwenye kufika kileleni kwenu. Yaani kama kilele kipo Arusha, badala ya wote muelekee Arusha kutokea Dar, kusaka kilele, wanawake wao wanaelekea Mtwara..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…