Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kula tano[emoji109][emoji109]za mbali.Sema tu ni mwanaume wako dada, hawa wa kwetu ni wasafi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula tano[emoji109][emoji109]za mbali.Sema tu ni mwanaume wako dada, hawa wa kwetu ni wasafi tu
Bukoba land jiwe kwenye mwanga hiloSema wanaume zako ndo wapo hivyo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiihWawe wasafi kidogo ukutane na mtu anajasho Kali alafu mdomo pia unanuka vibaya kiasi kwamba mtu wa kawaida anashindwa kuvumilia
Mungu amekupa unaofanana nao. Hao ndio watu sahihi alioona wanaendana na wewe😆🤭Wewe mmoja wao wa wasio oga maji?
Unaitaka pesa yangu??Ata yako p
Achana na umalaya, chagua mwanamme mmoja msafi funga ndoa, furahia maisha. Tabia yako mbovu ya udangaji ndio maana unaangukia kwenye makoroma.Morning
Wanaume acheni uchafu yaani unakutana na jianaume hajaoga na wiki mbili ananuka halafu anakazana kujipulizia perfume, mkikataliwa mnaaza kusema wanawake wanajishaua.
Mwanaume kuwa msafi nyoosha basi hata shati lakini shati unakuta limekunjamana kama limetoka mtumbani.
Kazi njema jirekebisheni.
Sasa usilalamike, kukutana na koroma ni jambo la kawaida katika process ya kuchagua nazi nzuri.Sasa katika harakati za kumpata huyo mume ndio nipo nafawanyia usahili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni aibu sana jamani hapo bado hajavua viatu
Nimesahau kumwambia tu kuwa hawa wanaume wetu ni wasafi wa mwili na roho zao ni nzuri piaKula tano[emoji109][emoji109]za mbali.
Mimi mchafu....Kama unayo wewe nipe tu