Wanaume acheni uchafu

Wawe wasafi kidogo ukutane na mtu anajasho Kali alafu mdomo pia unanuka vibaya kiasi kwamba mtu wa kawaida anashindwa kuvumilia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiih
 
Unaliwa na wasio oga.
What a sympathy 😝
 
Achana na umalaya, chagua mwanamme mmoja msafi funga ndoa, furahia maisha. Tabia yako mbovu ya udangaji ndio maana unaangukia kwenye makoroma.
 
Achana na umalaya, chagua mwanamme mmoja msafi funga ndoa, furahia maisha. Tabia yako mbovu ya udangaji ndio maana unaangukia kwenye makoroma.
Sasa katika harakati za kumpata huyo mume ndio nipo nafawanyia usahili
 
Sasa katika harakati za kumpata huyo mume ndio nipo nafawanyia usahili
Sasa usilalamike, kukutana na koroma ni jambo la kawaida katika process ya kuchagua nazi nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…