Wanaume acheni uchafu

Hakuna kabisa kitu Kama hiko jaman mtu anashindwa ata kusafish p* kweli mpka zinanuka Kama uvundo wa pumba

Mdomo unatema harufu Kama chemba ya njoo cocastic toa ushahidi
😁😁Kumbe ni kweli!? umeisha fungua code unamzungumzia nani maana had kufikia hatua ya kujua ananuka p* ina maana .... au bas ngoja niishie hapo tu wasije sema namsema bwana ako
 
[emoji16][emoji16]Kumbe ni kweli umeamua kuanika uchafu wa bwana ako humu maana had kufikia hatua ya kujua ananuka p* au bas ngoja niishie hapo tu
Nipo single
 
Nimecheka sana. Lol.

Yaani watu ni wasafi lakini wanawakkka mbaya.
 
Umepiga panapouma. wavivu sana kuoga
 
umenikumbusha ule msemo unasema... ndege wafananao huruka pamoja...siku zote kunguru hawezi kuruka na njiwa, kama ulifatwa na mtu wa hivyo inaonesha muonekano wako ulikuwa ni vitu vyake na hadhi yake. NYOTE MJIREKEBISHE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…