Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tunawafata hukohuko😃Tutakuwa tunalala bar[emoji16]
Akikuelewa uniambie nije kumpongezaNdege wafananao huruka pamoja
Hahahhahahahha!! Jinga sana wewe
Ujengewe makumbusho mkoa gani mrembo?Sema tu ni mwanaume wako dada, hawa wa kwetu ni wasafi tu
Sa si ungemwambia moja kwa moja! Unamfungulia uzi siajabu hatoweza kuusoma.Morning
Wanaume acheni uchafu yaani unakutana na jianaume hajaoga na wiki mbili ananuka halafu anakazana kujipulizia perfume, mkikataliwa mnaaza kusema wanawake wanajishaua.
Mwanaume kuwa msafi nyoosha basi hata shati lakini shati unakuta limekunjamana kama limetoka mtumbani.
Kazi njema jirekebisheni.
Kwamba wanaume wa sagula sagula ndio wachafu? uchafu ni hulka.Unadate na washamba wenzio wanaonunua nguo wameinama mtumbani hao ndo level zako msafi humpatai ng'o