Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Ndugu zangu habari za wakati huu
Kutokana na malalamiko mengi kuendelea juu ya hawa wanawake hizi ni mbinu na akili pekee ya kuishi na hawa viumbe
1: Kua na msimamo mkali usio na madhara na mwanamke akifanya kitu cha kukukomoa usionyeshe kama umeumia mpuuze
2: Usiweke demokrasia na mwanamke na wala usiwe muongeaji sana kwake
3: Wanaume tujipende wenyewe, tunywe maji mengi na tufanye mazoezi pia tusiwekeze amani ya mioyo yetu kwa wanawake.. amani yetu iwe ni Mungu yani kila ukihisi mwanamke anakutingisha mpuuze ila kwa imani yako mwambie Mungu wewe ndiye amani na furaha ya moyo wangu na maisha yangu na siyo huyu mwanamke , pia mwambie Mungu na jua wewe unanipenda sana alafu endelea na maisha yako na endelea kuishi na huyo mwanamke na usimuweke moyoni ila ikitokea kacheat usisamehe mwanamke . yani jiaminishe hivyo na uwe unakiri hivyo uone kama kuna mwanamke yeyote atatokea akutingisha.
4: Mwanamke wako kikunyima unyumba usionyeshe huna pa kwenda , mpuuze na usirudie tena kumuomba unyumba wala usibembeleze akupe unyumba anajua hiyo ni haki yako na lazima akupe . Anapo kunyima piga kimnya na usirudie tena kuonyesha unamtaka kwa siku kadhaa wa kadha mpaka yeye akupe mwenyewe na akikupa ichape alafu potezea tena hii itamjengea mwanamke ajione mjinga na aache upuuzi wa kukunyanyasia tamuu
5: Mwanamke akikuonyesha kila dalili za kutaka kuvunja ndoa , usimsaidie kuivunja atakugeuzia kibao. Wewe mjibu simple mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake mwenyewe kwa mikono yake . Akikuambia anaondoka usitetereke mjibu kama unaona kuondoka ndiyo solution sawa alafu tulia zako
6: Mwanaume usitegemee huyo mwanamke utaishi nae milele amini ipo siku ataondoka lakini usimwonyeshe kama unajua ipo siku ataondoka
7: mwanaume mwanamke akikucheat hata kama una watoto nae kamwe usifanye kosa kumsamehe , wanawake wapo wengi achana na huyo kahaba . Utapata mwanamke mwingine na maisha yataenda vizuri. Ukimsamehe ataendelea kukucheat achana na huyo malayer
Nb.. Mwanamke anafanya kitu huku anajua madhara yake kamwe usiamini mwanamke ni kiumbe dhaifu.
Kutokana na malalamiko mengi kuendelea juu ya hawa wanawake hizi ni mbinu na akili pekee ya kuishi na hawa viumbe
1: Kua na msimamo mkali usio na madhara na mwanamke akifanya kitu cha kukukomoa usionyeshe kama umeumia mpuuze
2: Usiweke demokrasia na mwanamke na wala usiwe muongeaji sana kwake
3: Wanaume tujipende wenyewe, tunywe maji mengi na tufanye mazoezi pia tusiwekeze amani ya mioyo yetu kwa wanawake.. amani yetu iwe ni Mungu yani kila ukihisi mwanamke anakutingisha mpuuze ila kwa imani yako mwambie Mungu wewe ndiye amani na furaha ya moyo wangu na maisha yangu na siyo huyu mwanamke , pia mwambie Mungu na jua wewe unanipenda sana alafu endelea na maisha yako na endelea kuishi na huyo mwanamke na usimuweke moyoni ila ikitokea kacheat usisamehe mwanamke . yani jiaminishe hivyo na uwe unakiri hivyo uone kama kuna mwanamke yeyote atatokea akutingisha.
4: Mwanamke wako kikunyima unyumba usionyeshe huna pa kwenda , mpuuze na usirudie tena kumuomba unyumba wala usibembeleze akupe unyumba anajua hiyo ni haki yako na lazima akupe . Anapo kunyima piga kimnya na usirudie tena kuonyesha unamtaka kwa siku kadhaa wa kadha mpaka yeye akupe mwenyewe na akikupa ichape alafu potezea tena hii itamjengea mwanamke ajione mjinga na aache upuuzi wa kukunyanyasia tamuu
5: Mwanamke akikuonyesha kila dalili za kutaka kuvunja ndoa , usimsaidie kuivunja atakugeuzia kibao. Wewe mjibu simple mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake mwenyewe kwa mikono yake . Akikuambia anaondoka usitetereke mjibu kama unaona kuondoka ndiyo solution sawa alafu tulia zako
6: Mwanaume usitegemee huyo mwanamke utaishi nae milele amini ipo siku ataondoka lakini usimwonyeshe kama unajua ipo siku ataondoka
7: mwanaume mwanamke akikucheat hata kama una watoto nae kamwe usifanye kosa kumsamehe , wanawake wapo wengi achana na huyo kahaba . Utapata mwanamke mwingine na maisha yataenda vizuri. Ukimsamehe ataendelea kukucheat achana na huyo malayer
Nb.. Mwanamke anafanya kitu huku anajua madhara yake kamwe usiamini mwanamke ni kiumbe dhaifu.