Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
unauliza au unashangaa? nani mwalim wako wa kiswahili?
lugha naijua. BAKITA ndio mwalimu wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unauliza au unashangaa? nani mwalim wako wa kiswahili?
Eti risasi zisitke????
Si atageuka hanisi
ivi mkuu unatoka kijasho kujibu hii sredi?
huyu mleta mada inaonekana hata definition ya mwanaume haelewi.Eti CPU asimamishe fank-shenalite ya prosesa yake ???????:nimekataa:nimekataa:nimekataa
Halafu libaki li-CPU lenyewe kama pambo la maua yale ya plastic sebuleni????!!!!
Labda nizaliwe na akili za kunguni
Kwahiyo hapo ndipo uanaume ulipo?
hasa haujui kwamba akoding to swahili grammar hauruhusiwi kuchanganya alama ya kuuliza na alama ya mshangao pamoja mwisho wa sentensi?lugha naijua. BAKITA ndio mwalimu wangu.
si ndio hapo. Vita bila risasi maadui watakufaje?
hehehehe si utaanzisha sredi JF doctor?, kuna wazembe waongo ajabu kwenye lile jukwaa.Kiongozi
Nimelazimika kutoa jasho baada ya kumuona waif nae anaelekea-elekea kuafiki wazo la mtoa mada. Japo kasema hashauri.
Asije akaniwekea mananiliu kwenye msosi halafu wakati wa gemu gia inagoma kuingia
Ingewezekana ningesema jaribu kuwa mwanaume japo kwa dakika 5 tu, halafu useme uanaume ni nini???
Sasa nitajiitaje CPU wakati prosesa haifanyi kazi???
Jamani!!!Huko sifiki...bora nikunyime kwenda vitani!Kiongozi
Nimelazimika kutoa jasho baada ya kumuona waif nae anaelekea-elekea kuafiki wazo la mtoa mada. Japo kasema hashauri.
Asije akaniwekea mananiliu kwenye msosi halafu wakati wa gemu gia inagoma kuingia
hehehehe si utaanzisha sredi JF doctor?, kuna wazembe waongo ajabu kwenye lile jukwaa.
hehehehe si utaanzisha sredi JF doctor?, kuna wazembe waongo ajabu kwenye lile jukwaa.
Jamani!!!Huko sifiki...bora nikunyime kwenda vitani!
hasa haujui kwamba akoding to swahili grammar hauruhusiwi kuchanganya alama ya kuuliza na alama ya mshangao pamoja mwisho wa sentensi?
Hahaha! kama ni mdada basi ule wa Mtange 'kidemu cha mizinga' ni muafaka zaidi na kama ni njemba tumuimbie 'wanaume kama mabinti' -Lady Jaydee.kama ni mdada basi nazani wimbo wa "mapepe" wa kingwendu unamfaa zaidi
khaa! yaani unamuita CPU mzembe? Lizzy banaKwahiyo nae awe mzembe muongo?
Halafu huku mi sijawahi hata kupost nukta, sijui kwa sababu siuguagi??
Yaani hata sikumbuki nilimeza panadol mara ya mwisho lini
kamanda ulikuwa DJ msumbiji nini?Hahaha! kama ni mdada basi ule wa Mtange 'kidemu cha mizinga' ni muafaka zaidi na kama ni njemba tumuimbie 'wanaume kama mabinti' -Lady Jaydee.