Wanaume fungeni uzazi!

Wanaume fungeni uzazi!

ivi mkuu unatoka kijasho kujibu hii sredi?

Kiongozi

Nimelazimika kutoa jasho baada ya kumuona waif nae anaelekea-elekea kuafiki wazo la mtoa mada. Japo kasema hashauri.
Asije akaniwekea mananiliu kwenye msosi halafu wakati wa gemu gia inagoma kuingia
 
Haya mawazo ya Kimagharibi, yakuogopa uzazi na watoto kuwa wanawanyima starehe, yatawatokea puani.
 
Eti CPU asimamishe fank-shenalite ya prosesa yake ???????:nimekataa:nimekataa:nimekataa
Halafu libaki li-CPU lenyewe kama pambo la maua yale ya plastic sebuleni????!!!!

Labda nizaliwe na akili za kunguni
huyu mleta mada inaonekana hata definition ya mwanaume haelewi.
 
Kwahiyo hapo ndipo uanaume ulipo?

Ingewezekana ningesema jaribu kuwa mwanaume japo kwa dakika 5 tu, halafu useme uanaume ni nini???
Sasa nitajiitaje CPU wakati prosesa haifanyi kazi???
 
Kiongozi

Nimelazimika kutoa jasho baada ya kumuona waif nae anaelekea-elekea kuafiki wazo la mtoa mada. Japo kasema hashauri.
Asije akaniwekea mananiliu kwenye msosi halafu wakati wa gemu gia inagoma kuingia
hehehehe si utaanzisha sredi JF doctor?, kuna wazembe waongo ajabu kwenye lile jukwaa.
 
Ingewezekana ningesema jaribu kuwa mwanaume japo kwa dakika 5 tu, halafu useme uanaume ni nini???
Sasa nitajiitaje CPU wakati prosesa haifanyi kazi???

Orait orait!Kweli hata mimi heshima inaweza ikapungua!Kwahiyo hamna kufunga hapa!
 
Kiongozi

Nimelazimika kutoa jasho baada ya kumuona waif nae anaelekea-elekea kuafiki wazo la mtoa mada. Japo kasema hashauri.
Asije akaniwekea mananiliu kwenye msosi halafu wakati wa gemu gia inagoma kuingia
Jamani!!!Huko sifiki...bora nikunyime kwenda vitani!
 
hehehehe si utaanzisha sredi JF doctor?, kuna wazembe waongo ajabu kwenye lile jukwaa.

Halafu huku mi sijawahi hata kupost nukta, sijui kwa sababu siuguagi??
Yaani hata sikumbuki nilimeza panadol mara ya mwisho lini
 
Jamani!!!Huko sifiki...bora nikunyime kwenda vitani!

The Following User Says Thank You to Lizzy For This Useful Post:

CPU (Today)

Sasa upo kwenye mstari mai waifu wangu
 
hasa haujui kwamba akoding to swahili grammar hauruhusiwi kuchanganya alama ya kuuliza na alama ya mshangao pamoja mwisho wa sentensi?

wenzio tushaingia karne ya 42.
We baki na old stoni eji yako.
 
We kloro na uporoto acheni kumponda mwenzenu.
Mfunge vizazi. Kuzaa sasa basiii.
 
Halafu huku mi sijawahi hata kupost nukta, sijui kwa sababu siuguagi??
Yaani hata sikumbuki nilimeza panadol mara ya mwisho lini

mkuu naona umeona ujipaishe kwavile lizzy yupo around. hivi kule loliondo ulienda honeymoon?
 
Back
Top Bottom