Wanaume fungeni uzazi!

Wanaume fungeni uzazi!

Embu omba huo msamaha haraka achana na mambo ya PieM!
unajua unaongea na nani? huyo CPU nimemwajiri kulinda shamba la korosho halaf unasema nimwombe msamaha? nikiamua kumfuta kazi hautopata tena hela ya cafe ujue.
 
Hiyo lugha ya mai wangu embu waachie hawa vijana wa bongo fuleva hubby!Naona Kloro ameshaanza majungu!Mwambie vitani unaenda na unapigana kisawa sawa magonjwa ya ajabu ajabu utapata wapi?

Tena nikipiga bomu moja tu, nazamisha nchi nzima, kolo bado atatumia manati ya vimbegu vya ubuyu
 
unajua unaongea na nani? huyo CPU nimemwajiri kulinda shamba la korosho halaf unasema nimwombe msamaha? nikiamua kumfuta kazi hautopata tena hela ya cafe ujue.

Haya ngoja niendelee....
 
Yaani dearest mwanzo nilidhani unashabikia afadhali umebadili msimamo, sasa niaje uondoke bila kuaga asubuhi kwani tuligombana ?

Hivi nyie visharobaro Kloro na Upo
waifu wangu anawahusu nini?
 
Ukitaka kujua kwa kiasi gani wanaume wanavyojipenda wao zaidi kuliko wanavyowapenda wanawake zao, anzisha mada kama hii. Ndoa, uhusiano wa kimapenzi unaweza kuvunjika wakati wowote mwanamke atakapoleta na kusisitiza hii kitu.
 
unajua unaongea na nani? huyo CPU nimemwajiri kulinda shamba la korosho halaf unasema nimwombe msamaha? nikiamua kumfuta kazi hautopata tena hela ya cafe ujue.

Kijana, hebu osha gari langu upesi, nataka niwahi Ikulu
 
Na hii nguo ulioiacha(siitaji)ni kumbukumbu au ?

:mad2:
:faint2::faint2::faint2::faint2::faint2::faint2::faint2:
:rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant::rant:
 
Back
Top Bottom