Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Yaani dearest mwanzo nilidhani unashabikia afadhali umebadili msimamo, sasa niaje uondoke bila kuaga asubuhi kwani tuligombana ?
Dearest Kloro amekulipa nini kunichafulia sivi yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani dearest mwanzo nilidhani unashabikia afadhali umebadili msimamo, sasa niaje uondoke bila kuaga asubuhi kwani tuligombana ?
unajua unaongea na nani? huyo CPU nimemwajiri kulinda shamba la korosho halaf unasema nimwombe msamaha? nikiamua kumfuta kazi hautopata tena hela ya cafe ujue.Embu omba huo msamaha haraka achana na mambo ya PieM!
Hiyo lugha ya mai wangu embu waachie hawa vijana wa bongo fuleva hubby!Naona Kloro ameshaanza majungu!Mwambie vitani unaenda na unapigana kisawa sawa magonjwa ya ajabu ajabu utapata wapi?
khaaaaa!
dah! kumbe mkuu upo online?Okey Sasa nimerudi kamili baada ya kuona haya mauzauza
Tafadhali jamani, nitageuka shetani sasa hivi
Na hii nguo ulioiacha(siitaji)ni kumbukumbu au ?Dearest Kloro amekulipa nini kunichafulia sivi yangu?
nyinyi leo mmemkomalia CPU kweli! yaani unakusudia kusema CPU ni mpagani?
unajua unaongea na nani? huyo CPU nimemwajiri kulinda shamba la korosho halaf unasema nimwombe msamaha? nikiamua kumfuta kazi hautopata tena hela ya cafe ujue.
tobaaa!Na hii nguo ulioiacha(siitaji)ni kumbukumbu au ?
Yaani dearest mwanzo nilidhani unashabikia afadhali umebadili msimamo, sasa niaje uondoke bila kuaga asubuhi kwani tuligombana ?
Hata kwa hiyo manati hawezi kitu na makengeza yake!Tena nikipiga bomu moja tu, nazamisha nchi nzima, kolo bado atatumia manati ya vimbegu vya ubuyu
Kabla sijasahau nenda kwenye thread ya miss judith kuna mwingine kakuzimikia tena lol!Haya ngoja niendelee....
Dearest Kloro amekulipa nini kunichafulia sivi yangu?
Uzuri ni kwamba hubby hua haamini maneno ya watu!Anajua ni wivu tu!Na hii nguo ulioiacha(siitaji)ni kumbukumbu au ?
unajua unaongea na nani? huyo CPU nimemwajiri kulinda shamba la korosho halaf unasema nimwombe msamaha? nikiamua kumfuta kazi hautopata tena hela ya cafe ujue.
ngoja aje Dena athibitishe nani Sharobaro kati yetu lol!Hivi nyie visharobaro Kloro na Upo
waifu wangu anawahusu nini?
Na hii nguo ulioiacha(siitaji)ni kumbukumbu au ?
dah!!!!!Kijana, hebu osha gari langu upesi, nataka niwahi Ikulu
Kabla sijasahau nenda kwenye thread ya miss judith kuna mwingine kakuzimikia tena lol!