Wanaume hatari kuwa nao kwenye uhusiano

Wanaume hatari kuwa nao kwenye uhusiano

Yaani kwamba mtu aniigizie ana hela na kumbe hana, na nisimjue tu siku zote nitakazo kuwa naye😃
Huja kutana n wazee wa
" kuna mchongo nausikilizia uki tick tu na kununulia...."

"Babe ongezea hela tuwekeze kwenye huu mradi naskia una return nzuri....."

"Una laki hapo ya faster kuna deal nimepata.."
" wazee wakukupiga calendar kila ukipanga kutoka out"

Ila ni bora uanze na mtu from scratch wakati bdo anajitafta kuliko kumkuta mtu ameshajipata kimaisha hujui hustle zake, hutaweza kumwambia kitu ( atakuona mme kutana ukubwani huna cha kumwambia)
Cc realMamy
 
Mwanaume anaeonekana mkamilifu anayeishi peke yake bila mchumba wale mke. Unashangaa kwanini mwanaume mkamilifu kama huyu mpaka leo hajampata mwanamke wa kuishi nae? unafurahi kupata nafasi ya kuwa nae. Mwanaume wa hivi atakufanyia mambo mengi mazuri atakupa hela, atakununulia vitu pengine hata kukutafutia kazi lakini Kuna siku mambo yatabadilika kidogo tu atakukimbia utabaki unajiuliza kumbe ndio maana nilimkuta yupo mwenyewe.
🙄🙄🙄

Kwahyo wewe unashauri mwanamke adate na Mwanaume ambaye ana mwanamke mwingine?
 
Kama wewe ni mwanaume kamili na hujaangukia katika kundi lolote katika hayo tajwa bas utakua na shida either matatizo ya kibaolojia, dini hasa itikadi kali au uchumi umekusaliti
 
😂🤣😂🤣🤣🤣🤣🤐🤐🤐🤔🤔
 
Huja kutana n wazee wa
" kuna mchongo nausikilizia uki tick tu na kununulia...."

"Babe ongezea hela tuwekeze kwenye huu mradi naskia una return nzuri....."

"Una laki hapo ya faster kuna deal nimepata.."
" wazee wakukupiga calendar kila ukipanga kutoka out"

Ila ni bora uanze na mtu from scratch wakati bdo anajitafta kuliko kumkuta mtu ameshajipata kimaisha hujui hustle zake, hutaweza kumwambia kitu ( atakuona mme kutana ukubwani huna cha kumwambia)
Cc realMamy
Bado sijakutana nao mkuu😬😄😂
 
Back
Top Bottom