Wanaume hawa wa JF wananichefuaga sana!

Wanaume hawa wa JF wananichefuaga sana!

richaabra

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
1,472
Reaction score
3,511
Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika

Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile

Lakini yote tisa kumi, Mtoto wa kike kutongozwa ni kawaida hivyo haina haja ya kupanic

Lakini panaponchefua ni pale mwanaume anamwaga maneno matam pm ohhhh sijui "nimekuzimikia, nna gari pesa na nyumba nzuri" mara ohhh " Nataka nikuowe".

Sasa nnaposikililiza maneno ya mtu ni lazima nifungue kwanza profile yake ya Jf ili nipime IQ yake na maneno yake kama yanaendana. Mara nyingi huwa naangalia Thread zake na jinsi anavyoreply katika post za wengine.

"Kiruuuuuuu" kufumba na kufumbua unakuta mwanaume mzima tena kijana mdogo anashabikia chama chakavu. Tena matusi kwa wapinzani yeye ndio bingwa

Hiviiii mwanaume ambaye bado ni mshabiki wa chama chakavu Akili yake ipo sawa kweli? Tena kwa hali ngumu ilivyo sasa. Si atakuwa chizi fresh huyo au ni msukule kabisa?

Kwa hali ngumu ilivyo sasa mwanaume aliyekamilika ni lazima atakuwa na Hisia na maono ya kuhitaji mabadiliko tu

Mnikome jamanii[emoji108] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]
 
Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika

Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile

Lakini yote tisa kumi, Mtoto wa kike kutongozwa ni kawaida hivyo haina haja ya kupanic

Lakini panaponchefua ni pale mwanaume anamwaga maneno matam pm ohhhh sijui "nimekuzimikia, nna gari pesa na nyumba nzuri" mara ohhh " Nataka nikuowe".

Sasa nnaposikililiza maneno ya mtu ni lazima nifungue kwanza profile yake ya Jf ili nipime IQ yake na maneno yake kama yanaendana. Mara nyingi huwa naangalia Thread zake na jinsi anavyoreply katika post za wengine.

"Kiruuuuuuu" kufumba na kufumbua unakuta mwanaume mzima tena kijana mdogo anashabikia chama chakavu. Tena matusi kwa wapinzani yeye ndio bingwa

Hiviiii mwanaume ambaye bado ni mshabiki wa chama chakavu Akili yake ipo sawa kweli? Tena kwa hali ngumu ilivyo sasa. Si atakuwa chizi fresh huyo au ni msukule kabisa?

Mnikome jamanii[emoji108] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]

hahhhhhhh nini chama chakavu duhnimecheka leo 😀
 
Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika

Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile

Lakini yote tisa kumi, Mtoto wa kike kutongozwa ni kawaida hivyo haina haja ya kupanic

Lakini panaponchefua ni pale mwanaume anamwaga maneno matam pm ohhhh sijui "nimekuzimikia, nna gari pesa na nyumba nzuri" mara ohhh " Nataka nikuowe".

Sasa nnaposikililiza maneno ya mtu ni lazima nifungue kwanza profile yake ya Jf ili nipime IQ yake na maneno yake kama yanaendana. Mara nyingi huwa naangalia Thread zake na jinsi anavyoreply katika post za wengine.

"Kiruuuuuuu" kufumba na kufumbua unakuta mwanaume mzima tena kijana mdogo anashabikia chama chakavu. Tena matusi kwa wapinzani yeye ndio bingwa

Hiviiii mwanaume ambaye bado ni mshabiki wa chama chakavu Akili yake ipo sawa kweli? Tena kwa hali ngumu ilivyo sasa. Si atakuwa chizi fresh huyo au ni msukule kabisa?

Mnikome jamanii[emoji108] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]
umewapa za uso!
 
Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika

Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile

Lakini yote tisa kumi, Mtoto wa kike kutongozwa ni kawaida hivyo haina haja ya kupanic

Lakini panaponchefua ni pale mwanaume anamwaga maneno matam pm ohhhh sijui "nimekuzimikia, nna gari pesa na nyumba nzuri" mara ohhh " Nataka nikuowe".

Sasa nnaposikililiza maneno ya mtu ni lazima nifungue kwanza profile yake ya Jf ili nipime IQ yake na maneno yake kama yanaendana. Mara nyingi huwa naangalia Thread zake na jinsi anavyoreply katika post za wengine.

"Kiruuuuuuu" kufumba na kufumbua unakuta mwanaume mzima tena kijana mdogo anashabikia chama chakavu. Tena matusi kwa wapinzani yeye ndio bingwa

Hiviiii mwanaume ambaye bado ni mshabiki wa chama chakavu Akili yake ipo sawa kweli? Tena kwa hali ngumu ilivyo sasa. Si atakuwa chizi fresh huyo au ni msukule kabisa?

Mnikome jamanii[emoji108] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli umeamua chama chakavu
 
Ufinyu wa kufikiri kwa wanawake ni kawaida yao. Utakuwa MTU wa kaskazini ww. kutokana na swagger zenu kufanana. Mm ni cdm lkn mkuu wetu anabore.
 
Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika

Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile

Lakini yote tisa kumi, Mtoto wa kike kutongozwa ni kawaida hivyo haina haja ya kupanic

Lakini panaponchefua ni pale mwanaume anamwaga maneno matam pm ohhhh sijui "nimekuzimikia, nna gari pesa na nyumba nzuri" mara ohhh " Nataka nikuowe".

Sasa nnaposikililiza maneno ya mtu ni lazima nifungue kwanza profile yake ya Jf ili nipime IQ yake na maneno yake kama yanaendana. Mara nyingi huwa naangalia Thread zake na jinsi anavyoreply katika post za wengine.

"Kiruuuuuuu" kufumba na kufumbua unakuta mwanaume mzima tena kijana mdogo anashabikia chama chakavu. Tena matusi kwa wapinzani yeye ndio bingwa

Hiviiii mwanaume ambaye bado ni mshabiki wa chama chakavu Akili yake ipo sawa kweli? Tena kwa hali ngumu ilivyo sasa. Si atakuwa chizi fresh huyo au ni msukule kabisa?

Kwa hali ngumu ilivyo sasa mwanaume aliyekamilika ni lazima atakuwa na Hisia na maono ya kuhitaji mabadiliko tu

Mnikome jamanii[emoji108] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]
Kwa nn usiwapee huko huko mpaka uje huko halafu kuhusu chama so lazima mtu apende unachopenda ndio mana we we ukawa wewe na yeye akawa yeye kila mtu na akili yake na ndio mana ww ukawa unakojoa umechuchumaa yy kasimama
 
Mmmh wa chama chakavu lazima ana matatizo kwenye ubongo wake no no no no kwa chama chakavu
 
Back
Top Bottom