Wanaume hawa wa JF wananichefuaga sana!

Wanaume hawa wa JF wananichefuaga sana!

Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika

Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile

Lakini yote tisa kumi, Mtoto wa kike kutongozwa ni kawaida hivyo haina haja ya kupanic

Lakini panaponchefua ni pale mwanaume anamwaga maneno matam pm ohhhh sijui "nimekuzimikia, nna gari pesa na nyumba nzuri" mara ohhh " Nataka nikuowe".

Sasa nnaposikililiza maneno ya mtu ni lazima nifungue kwanza profile yake ya Jf ili nipime IQ yake na maneno yake kama yanaendana. Mara nyingi huwa naangalia Thread zake na jinsi anavyoreply katika post za wengine.

"Kiruuuuuuu" kufumba na kufumbua unakuta mwanaume mzima tena kijana mdogo anashabikia chama chakavu. Tena matusi kwa wapinzani yeye ndio bingwa

Hiviiii mwanaume ambaye bado ni mshabiki wa chama chakavu Akili yake ipo sawa kweli? Tena kwa hali ngumu ilivyo sasa. Si atakuwa chizi fresh huyo au ni msukule kabisa?

Kwa hali ngumu ilivyo sasa mwanaume aliyekamilika ni lazima atakuwa na Hisia na maono ya kuhitaji mabadiliko tu

Mnikome jamanii[emoji108] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]
Aka!mimi ni mwanaume ila kwenye hilo kundi ulosema simo maana tangu nijiunge j.f sijawahi mfuata mtu yeyote p.m na kama yupo ajitokeze namruhusu!!!hivyo hilo dongo poleni sana kwa wanaopapatikia vya dunia!!
 
Kama mtu una akili nzuri na unajitambua, huwezi "ukatongozwa" humu JF na pia huwezi "ukatongoza" humu JF. By the way wazungu wanamsemo wao, birds of a feather flock together.
 
Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika

Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile

Lakini yote tisa kumi, Mtoto wa kike kutongozwa ni kawaida hivyo haina haja ya kupanic

Lakini panaponchefua ni pale mwanaume anamwaga maneno matam pm ohhhh sijui "nimekuzimikia, nna gari pesa na nyumba nzuri" mara ohhh " Nataka nikuowe".

Sasa nnaposikililiza maneno ya mtu ni lazima nifungue kwanza profile yake ya Jf ili nipime IQ yake na maneno yake kama yanaendana. Mara nyingi huwa naangalia Thread zake na jinsi anavyoreply katika post za wengine.

"Kiruuuuuuu" kufumba na kufumbua unakuta mwanaume mzima tena kijana mdogo anashabikia chama chakavu. Tena matusi kwa wapinzani yeye ndio bingwa

Hiviiii mwanaume ambaye bado ni mshabiki wa chama chakavu Akili yake ipo sawa kweli? Tena kwa hali ngumu ilivyo sasa. Si atakuwa chizi fresh huyo au ni msukule kabisa?

Kwa hali ngumu ilivyo sasa mwanaume aliyekamilika ni lazima atakuwa na Hisia na maono ya kuhitaji mabadiliko tu

Mnikome jamanii[emoji108] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]
Kamwe usiwape nafasi team buku7, ni vimeo sana...!!
 
We unapenda MTU au chama, naona umehusisha kama unashabikia chama chakavu we utakuwa mambo yako ya zamani zamani
 
Dinazarde nae ni mwanaume kbs ana misuli km john cena kuweni makini jamani
 
Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika

Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile

Lakini yote tisa kumi, Mtoto wa kike kutongozwa ni kawaida hivyo haina haja ya kupanic

Lakini panaponchefua ni pale mwanaume anamwaga maneno matam pm ohhhh sijui "nimekuzimikia, nna gari pesa na nyumba nzuri" mara ohhh " Nataka nikuowe".

Sasa nnaposikililiza maneno ya mtu ni lazima nifungue kwanza profile yake ya Jf ili nipime IQ yake na maneno yake kama yanaendana. Mara nyingi huwa naangalia Thread zake na jinsi anavyoreply katika post za wengine.

"Kiruuuuuuu" kufumba na kufumbua unakuta mwanaume mzima tena kijana mdogo anashabikia chama chakavu. Tena matusi kwa wapinzani yeye ndio bingwa

Hiviiii mwanaume ambaye bado ni mshabiki wa chama chakavu Akili yake ipo sawa kweli? Tena kwa hali ngumu ilivyo sasa. Si atakuwa chizi fresh huyo au ni msukule kabisa?

Kwa hali ngumu ilivyo sasa mwanaume aliyekamilika ni lazima atakuwa na Hisia na maono ya kuhitaji mabadiliko tu

Mnikome jamanii[emoji108] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]
Kama wewe sio mwanamume, basi nakupongeza kwa andika lako mtoto wa kike
 
mi nilifikiri unaongea point kumbe pumba
afu umesahau ngombe pia wala pumba na wanaweza kukuzidi kufikiria
pole sisi hatushibikii upumbavu wa kijinga kuunga mkono chama kinachotaka maslahi binafsi ni afadhali aendelee kula aloshiba maana hata kula sana ila mwenye njaa atamaliza na kulamba sahani kabisa!
 
Mtoa thread uwe na huruma, umenifanya nicheke mbele za watu ndani ya daladala.
 
Ufinyu wa kufikiri kwa wanawake ni kawaida yao. Utakuwa MTU wa kaskazini ww. kutokana na swagger zenu kufanana. Mm ni cdm lkn mkuu wetu anabore.
Tumewabeba miezi tisa , tukawazaa, tukawalea ukome kututukana... Mtu mmoja kuandika anachojisikia kwa maslah yake sio kutukashfu wanawake wote
 
Leo nipo upande wako kwa mara ya kwanza!
Inasikitisha sana kama bado kuna mwanaume rijali ni CCM
 
Unakuta mtoto wa kike umeumbika kila kona then mtu kaangalia dip pic moja kwa moja kazimika

Direct atakuja Pm kama kawaida yenu wanaume wa jf kwa Udungadunga kama mmesomea vile

Lakini yote tisa kumi, Mtoto wa kike kutongozwa ni kawaida hivyo haina haja ya kupanic

Lakini panaponchefua ni pale mwanaume anamwaga maneno matam pm ohhhh sijui "nimekuzimikia, nna gari pesa na nyumba nzuri" mara ohhh " Nataka nikuowe".

Sasa nnaposikililiza maneno ya mtu ni lazima nifungue kwanza profile yake ya Jf ili nipime IQ yake na maneno yake kama yanaendana. Mara nyingi huwa naangalia Thread zake na jinsi anavyoreply katika post za wengine.

"Kiruuuuuuu" kufumba na kufumbua unakuta mwanaume mzima tena kijana mdogo anashabikia chama chakavu. Tena matusi kwa wapinzani yeye ndio bingwa

Hiviiii mwanaume ambaye bado ni mshabiki wa chama chakavu Akili yake ipo sawa kweli? Tena kwa hali ngumu ilivyo sasa. Si atakuwa chizi fresh huyo au ni msukule kabisa?

Kwa hali ngumu ilivyo sasa mwanaume aliyekamilika ni lazima atakuwa na Hisia na maono ya kuhitaji mabadiliko tu

Mnikome jamanii[emoji108] [emoji92] [emoji92] [emoji92] [emoji92]
ukiwagundua wako hivyo usiwape papuchi yako wacha waisome namba
 
Ishu ni chama chakavu au Sera chakavu, halafu ulishatongozwa na wangapi kwa mfano
 
Sidhani kama jf ni sehem sahihi ya kupata mtu sahihi, akija PM ujue kaja kucheza na akili yako,
 
Back
Top Bottom