Wanaume Hawana Dogo. Wampachika Mimba Rapper Chemical na kumkimbia

Wanaume Hawana Dogo. Wampachika Mimba Rapper Chemical na kumkimbia

Kila la kheri kwenye umama..no one should change how you look...God created you for purpose..and he has chosen you to bear his children,kuna watu kibao waremboooo na hawazai….wala usiwe hurt na maneno yao..utoto unawasumbua
 
Rapa wa kike nchini mwenye muonekano wa kiume Chemical akiongea na Times Fm amekiri kuwa ana mimba ya miezi saba ya mwanaume ambaye sio wa Dar ndio maana amekuwa kimya kimuziki na pia hapost picha mpya instagram.

Chemical amesema Mwanaume huyo aliyempa mimba amemkimbia ndio sababu kila siku amekuwa akisema atajioa kwa sababu ndiye mwanaume aliyekuwa anamtegemea kuwa angemuoa.

Chemical amesema kuolewa muda ukifika ni lazima. Lakini amesema yeye Hana time kabisa na mwanaume anayemjia na sound za kumbadilisha kimuonekano.

Chemical amesema anajikubali alivyo Hana muda wa kusubiri wa kumbadilisha ikitokea ni maamuzi yake Kama alivyoamua sasa.

Chemical ameongeza kuwa hapendi wanaume wenye miili ya wabeba vyuma wala wanaume wanene au wenye furushi la kitambi, yeye anataka mwanaume mwenye mwili simple tu wa kawaida
sijui anakwama wapi
 
Mambo yanabadilika sana miaka ya sabini mwishoni wakati wa kuchunga kondoo na mbuzi ndio mademu zetu siku hizi mbunye mnazipata kirahisi na bado mnazikimbia not fair mabaharia
 
Rapa wa kike nchini mwenye muonekano wa kiume Chemical akiongea na Times Fm amekiri kuwa ana mimba ya miezi saba ya mwanaume ambaye sio wa Dar ndio maana amekuwa kimya kimuziki na pia hapost picha mpya instagram.

Chemical amesema Mwanaume huyo aliyempa mimba amemkimbia ndio sababu kila siku amekuwa akisema atajioa kwa sababu ndiye mwanaume aliyekuwa anamtegemea kuwa angemuoa.

Chemical amesema kuolewa muda ukifika ni lazima. Lakini amesema yeye Hana time kabisa na mwanaume anayemjia na sound za kumbadilisha kimuonekano.

Chemical amesema anajikubali alivyo Hana muda wa kusubiri wa kumbadilisha ikitokea ni maamuzi yake Kama alivyoamua sasa.

Chemical ameongeza kuwa hapendi wanaume wenye miili ya wabeba vyuma wala wanaume wanene au wenye furushi la kitambi, yeye anataka mwanaume mwenye mwili simple tu wa kawaida
Baharia wa Mkoani kaenda Dar kumsaidia Chemical aliyesema atajioa.

Sasa wana Dsm malizieni kwa Wema.
 
Dah! Kumbe kuna mwanaume anasimamisha akimuona Chemical! Mimi hata unifungie wiki nzima kwenye ka sero kadogo na chemical, hakuna cha maana kitakachoendelea...
hahahahahhaha kabisa aisee, kuna watu wana mb oo za ajabu
 
Aisee kuna watu wabaya huyu binti alijifanya mgumuu watu wamepita nae [emoji16][emoji1787][emoji23]
 
Demu mwenyewe ana sura ya baba ake halafu anajikuta Beyonce masharti kibao kama witch doctor
 
Wanaume ni watu wenye huruma sana ndio maana huwa wanawapa mimba hata wanawake vichaa hawana roho mbaya kama wanawake ya kuwatenga wanaune vichaa kwa kuwanyima unyumba. Kwa wanaune ubaya ni usoni na ukichaa ni kichwani huku kwingine hakuna shida yoyote shyghuli lazima ziendelee. Mungu atulinde na kutubariki wanaume kutokana na roho kubwa ya huruma tuliyo nayo
 
[emoji16][emoji16] jamaa anajitapa kabisa mbele ya umma hatodinda wiki nzima akifungiwa na Chemical,watu wanakula hadi vichaa itakua huyo mtoto mlaini kabisa tena anaita
Fala sana huyo jamaa yani Chemical mtoto safi kabisa yule analika vizuri sanaaaa
 
Kuna msemo unasema ujana maji ya moto fainali uzeeni. Huyu binti baadae atajilaumu sana kwa kujifanya anakataa wanaume sfor the cheap reason eti "hasinibadilishe muonekano wangu". Baadae ndio wanashinda kwa waganga wakitafute mme wa kumuoa. Kipindi watu wanakuja mpka wanagonga kavu yeye anawakataa. Time will tell
 
Kemikali mrembo tu sema anajiweka kiume, mimi akinisogezea mbunye namkojoza vizuri sana
 
Rapa wa kike nchini mwenye muonekano wa kiume Chemical akiongea na Times Fm amekiri kuwa ana mimba ya miezi saba ya mwanaume ambaye sio wa Dar ndio maana amekuwa kimya kimuziki na pia hapost picha mpya instagram.

Chemical amesema Mwanaume huyo aliyempa mimba amemkimbia ndio sababu kila siku amekuwa akisema atajioa kwa sababu ndiye mwanaume aliyekuwa anamtegemea kuwa angemuoa.

Chemical amesema kuolewa muda ukifika ni lazima. Lakini amesema yeye Hana time kabisa na mwanaume anayemjia na sound za kumbadilisha kimuonekano.

Chemical amesema anajikubali alivyo Hana muda wa kusubiri wa kumbadilisha ikitokea ni maamuzi yake Kama alivyoamua sasa.

Chemical ameongeza kuwa hapendi wanaume wenye miili ya wabeba vyuma wala wanaume wanene au wenye furushi la kitambi, yeye anataka mwanaume mwenye mwili simple tu wa kawaida
weka picha ya kemikali
 
Eti wanaume hawana dogo Kwa chemical du mbona huo udhalilishaji,mhariri wa hilo gazete inatakiwa ajitathimini upya.
 
Huyu mwanamke chizi kweli kweli, alisema bikra yake amekaa nayo muda mrefu sana, ilikuja kutolewa na wanaume wawili, yaani wa kwanza alijaribu lakini hakufanikiwa akaja mwingine wakati huo huo akafanikiwa kuitoa, sijui aliwapanga foleni hao mabwana? Hawa wana hip hop wa bongo ni shida.
 
Back
Top Bottom