Wanaume hivi mkoje? Mnaomba namba kila mtu, mnakera sana

Waaachie vijana kanamba kako kwani unajipya ww si una chiu kama ya wengine
 
Usikute huyu ni wale wanawake wanaokata nusu mwaka hawajaombwa number wala kutongozwa sasa anatafuta njia mbadala ya kuombwa number na kutongozwa.hongera kwa kutumia alternative ya kupata mabasha.
 
47pro una namba ya M-Pesa? Nataka nikutumie pongezi zako kwa njia ya M-Pesa.
 
WEWE MDADA UMEKOSEA SANA. KAMA UNAOMBWA NAMBA BASI SIFIA UUMBAJI WA MOLA
 
hawa ndio wale wakitoa namba basi na papuchu umepata, ndio maana hataki kutoa namba
 

Samahani kabla sija comment. Wewe jinsia gani? 47pro
 
Wewe unataka tu watu wakuombe namba unajipigia DEBE tumekugunduaaaa....kwanza wanaoombwa namba hawawez kulalamika ila ambao wanajiombesha namba ndo kama nyie

Hahahahahahhahahaa
Ashaliwa huyu na ukuta wa Berlin ushaangushwa tayari..
 
Daaah pole hao ni watoto wadogo wasiokua hata na hela ,achana nao
 
Taratibu wee binti ebo kwani kuna ubaya hani ukiombwa namba??tunataka wepesi wa majibu wakati nakutongoza au hujui??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…