Wanaume hivi mkoje? Mnaomba namba kila mtu, mnakera sana

Hujaombwa namba siku nyingi na huna namna ya kutafuta waombaji. Haya mama wanakuja soon.
 
siku nyingine andika baadhi ya wanaume mmpoje? Sio kugeneralize hiv as if kila mwanaume anataka namba yako
 

sawa nimekuelewa sasa hiyo namba vipi nipe hapahapa Pm mbalii...
 
Tumekusikia ila ukigonga 40 yrs bila bila usije kutusumbua na threads za 'mwanaume muoaji anahitajika urgently' maana ulifunga milango na madirisha mwenyewe.
 
Unajifanya unasumbuliwa una uzuri gani weka picha, mademu wengine bwana!!!!ukisikia paah ujue ........
 
Uwe na kumbukumbu kuna sehemu ulibananishwa na jamaa mmoja kwamba wewe ni mwanamke ukakataa na wakati huo kwenye profile yako status ilikua male ,sasa sijui umeshtuka nini ukaona bora uwe mwanamke
Ahahaha kwa hali hii Itabid kuwe na kitufe cha sex test humu jf.. Once you sign up use your kifanyio to activate account...!
 
Ahahaha kwa hali hii Itabid kuwe na kitufe cha sex test humu jf.. Once you sign up use your kifanyio to activate account...!
Shida hutokea pale utakapo kufa halafu account inakua verified ,mtu kajinasibu ni mwanamke kumbe ni mwanaume sasa sijui ataelewekaje
 
Acha kujipiga promo mbona ww mlain tuu taarifa zako tunazo
 
Unaombwa namba kulingana na ww ulivo, kama umekaa kibiashara zaidi waomba namba hawatokuisha, kwenye profile yako weka picha ya kwaya uone kama mtu atakuomba namba yako.

Anaweka pics za ajabu ajabau kwenye hyo avtar anategemea nini......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…