Wanaume hivi mkoje? Mnaomba namba kila mtu, mnakera sana

Wanaume hivi mkoje? Mnaomba namba kila mtu, mnakera sana

Yaani wanaume mnakera sana, yaani mnaomba number kila mtu, yaani unakutana na mtu online, kitu cha kwanza ni kuomba number.
Hivi Hizo phone book si zimejaa number za watu wa online tu?
Tamaa zingine acheni.
Mimi ukija PM, number sikupi ng'oo, mara Ooooh, uko whatsApp, sijui Facebook etc. Sasa kama ni urafiki si hapa panatosha tu jamani?
Yaani ukija PM kuomba number, ujue hutakaa upate, haijalishi unalugha vipi, ni vibes gani utaniambia ambayo sijawahi sikia? Labda uongee kiyunani.
MNAJIJUA WENYEWE.....
Am done, what you me to do daaaaamn!!
Mbona kuna bandiko "Jinsi ya kutongoza mwanaume" umeweka no ya Airtel Kenya +254732860896 ? Una tatizo wewe.
 
Usiofu Endelea Na Masex Toy Yako Ndo Uyape Namba Sie Wala Hatuzihitaji
 
Hebu nipe namba yako tuongee vizuri zaidi umesema jambo la maana sana
 
Unaweza kuta hujawahi ombwa namba ya simu na mwanaume tangu huu mwaka uanze kwa hiyo umekuja hapa hapa kulia lia as if unasumbuliwa vile.
 
Kwani ukitongozwa kuna ubaya gani. Si huwa mnafurahi? Isitoshe namba si ndio dili?. Uko Dar unaomba mpesa toka mwanza kwa msukuma uliyempa namba. Hujui
 
Yaani wanaume mnakera sana, yaani mnaomba number kila mtu, yaani unakutana na mtu online, kitu cha kwanza ni kuomba number.

Hivi hizo phone book si zimejaa number za watu wa online tu.Tamaa zingine acheni. Mimi ukija PM, number sikupi ng'oo, mara Ooooh, uko whatsApp, sijui Facebook etc. Sasa kama ni urafiki si hapa panatosha tu jamani?

Yaani ukija PM kuomba number, ujue hutakaa upate, haijalishi unalugha vipi, ni vibes gani utaniambia ambayo sijawahi sikia? Labda uongee kiyunani.

MNAJIJUA WENYEWE.

Am done
umevunja ungo lini? kama kuombwa no unapanic hivyo je, ungeombwa nyapu si ungeua mtu......
 
Hilo la namba wala siyo issue...siku hizi ni kuomba picha...picha ukitoka kuoga basi
 
eh teh teh naona kanielewa na namba zake hizi hapa..
Voda.. 0764703016
Tigo.. 0716105530 Changamkia dili
Hii ndo jf bhana alaaaa
 
Yaani wanaume mnakera sana, yaani mnaomba number kila mtu, yaani unakutana na mtu online, kitu cha kwanza ni kuomba number.

Hivi hizo phone book si zimejaa number za watu wa online tu.Tamaa zingine acheni. Mimi ukija PM, number sikupi ng'oo, mara Ooooh, uko whatsApp, sijui Facebook etc. Sasa kama ni urafiki si hapa panatosha tu jamani?

Yaani ukija PM kuomba number, ujue hutakaa upate, haijalishi unalugha vipi, ni vibes gani utaniambia ambayo sijawahi sikia? Labda uongee kiyunani.

MNAJIJUA WENYEWE.

Am done
mi sijaelewa somo n pm basi namba yako...
 
Back
Top Bottom