WANAUME HIVI MMEJUAJE LAKINI?

WANAUME HIVI MMEJUAJE LAKINI?

CARIFONIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
616
Reaction score
1,453
Dah! Kweli mambo yanakwenda kasi sana yahani wanaume wa hiki kizazi hawana tofauti na wanawake.

Wanaume hamujiamini kabisa, sijui tatizo ni nini?

Yahani mtu unaona mpenzi wako amesimama tu na mwanaume mwingine we unapaniki, then hata bila ya kujua kasimama na Nani wewe ushakumbilia jamii forum kuanzisha ka uzi full kulalamika, kama vile wamekuibia figo

Baba zenu walikua na busara na walikua wanajua kufanya maamuzi ndio maana walikua hawalalamiki kama nyie, unashindwa kujua wapi ni pakupata ushauri na jinsi ya kutatua changamoto za mahusiano yako unadhani ndoa ndio utaiweza.

Wanaume badilikeni sio kila kitu ni chakukimbilia kwenye mitandao kuomba ushauri.
 
Hiyo yote imesababishwa na malezi yenu mabovu kwa watoto, wanawake mmekua kizuizi kikubwa katika kushape maadili ya watoto kunapotokea utovu wa nidhamu, maswala yenu ya haki sawa na kumpandisha mtoto wa kike yamefanya watoto wa kiume watamani kuishi kama dada zao hali iliyopelekea muda wote wawe upande wenu.
 
Mwanamke hulia lia kuficha uwovu. Kama ni mumeo alikulipia mahali ana haki zote za kujua unaeongea nae ni nani. Ni nyinyi hawahawa, mnawaaminisha michepuko yenu kuwa “aah mume wangu hana shida” kisa tu hakufatilii.

Wanaume tukazeni hapohapo.
 
Dah! Kweli mambo yanakwenda kasi sana yahani wanaume wa hiki kizazi hawana tofauti na wanawake.

Wanaume hamujiamini kabisa, sijui tatizo ni nini?

Yahani mtu unaona mpenzi wako amesimama tu na mwanaume mwingine we unapaniki, then hata bila ya kujua kasimama na Nani wewe ushakumbilia jamii forum kuanzisha ka uzi full kulalamika, kama vile wamekuibia figo

Baba zenu walikua na busara na walikua wanajua kufanya maamuzi ndio maana walikua hawalalamiki kama nyie, unashindwa kujua wapi ni pakupata ushauri na jinsi ya kutatua changamoto za mahusiano yako unadhani ndoa ndio utaiweza.

Wanaume badilikeni sio kila kitu ni chakukimbilia kwenye mitandao kuomba ushauri.
Rubbish tupu
 
Yahani ❎️
Yaani ✅️

Ushakumbilia❎️
Ushakimbilia ✅️

Mwisho mimi nimeyajua hayo yote kwa kusoma uzi wako wa kipuuzi.
 
Dah! Kweli mambo yanakwenda kasi sana yahani wanaume wa hiki kizazi hawana tofauti na wanawake.

Wanaume hamujiamini kabisa, sijui tatizo ni nini?

Yahani mtu unaona mpenzi wako amesimama tu na mwanaume mwingine we unapaniki, then hata bila ya kujua kasimama na Nani wewe ushakumbilia jamii forum kuanzisha ka uzi full kulalamika, kama vile wamekuibia figo

Baba zenu walikua na busara na walikua wanajua kufanya maamuzi ndio maana walikua hawalalamiki kama nyie, unashindwa kujua wapi ni pakupata ushauri na jinsi ya kutatua changamoto za mahusiano yako unadhani ndoa ndio utaiweza.

Wanaume badilikeni sio kila kitu ni chakukimbilia kwenye mitandao kuomba ushauri.
Na wewe punguza kusimama na kila mwanaume hadi uje kushtakiwa huku tulia na mmoja. Ili mashtaka yakizidi usi simame na kila mwanaume.
 
Yahani ❎️
Yaani ✅️

Ushakumbilia❎️
Ushakimbilia ✅️

Mwisho mimi nimeyajua hayo yote kwa kusoma uzi wako wa kipuuzi.
Sawa kabisa mwalimu wa Kiswahili
 
We ushawahi kuona mama yako anasimama na wanaume hovyo barabarani. ??
Unasimamishwa, unaombwa namba na kuigawa kama njugu hapo kuna mtu sasa, lazima mwamba ashtuke na kikaoni aulize kama ni sawa, na wajumbe tutampa ushauri tukuka.
 
Back
Top Bottom