WANAUME HIVI MMEJUAJE LAKINI?

WANAUME HIVI MMEJUAJE LAKINI?

Dah! Kweli mambo yanakwenda kasi sana yahani wanaume wa hiki kizazi hawana tofauti na wanawake.

Wanaume hamujiamini kabisa, sijui tatizo ni nini?

Yahani mtu unaona mpenzi wako amesimama tu na mwanaume mwingine we unapaniki, then hata bila ya kujua kasimama na Nani wewe ushakumbilia jamii forum kuanzisha ka uzi full kulalamika, kama vile wamekuibia figo

Baba zenu walikua na busara na walikua wanajua kufanya maamuzi ndio maana walikua hawalalamiki kama nyie, unashindwa kujua wapi ni pakupata ushauri na jinsi ya kutatua changamoto za mahusiano yako unadhani ndoa ndio utaiweza.

Wanaume badilikeni sio kila kitu ni chakukimbilia kwenye mitandao kuomba ushauri.
Mtumie inbox huu ujumbe
 
Dah! Kweli mambo yanakwenda kasi sana yahani wanaume wa hiki kizazi hawana tofauti na wanawake.

Wanaume hamujiamini kabisa, sijui tatizo ni nini?

Yahani mtu unaona mpenzi wako amesimama tu na mwanaume mwingine we unapaniki, then hata bila ya kujua kasimama na Nani wewe ushakumbilia jamii forum kuanzisha ka uzi full kulalamika, kama vile wamekuibia figo

Baba zenu walikua na busara na walikua wanajua kufanya maamuzi ndio maana walikua hawalalamiki kama nyie, unashindwa kujua wapi ni pakupata ushauri na jinsi ya kutatua changamoto za mahusiano yako unadhani ndoa ndio utaiweza.

Wanaume badilikeni sio kila kitu ni chakukimbilia kwenye mitandao kuomba ushauri.
Sasa mbona na wewe unakuja kulalamika hapa JF?
 
Wewe binti rudi basi shule ujue namna nzuri ya kuandika kiswahili... Idiot
 
Mods please reakibisha hiyo heading ni WANAUME HIVI MMEKUAJE LAKINI
Wivu unatafsiriwaje?

Wewe ukiwa kwenye mahusiano na mtu, unaona ni jambo la kawaida kuendelea kusimama na wanaume na kucheka nao ovyo ovyo barabarani?

Tena huyo mwenye kulalamika ana nyongo nyepesi.

Kuna wengine hapo ni ugomvii na kudhalilishana.
 
Jitu zima na akili zake timamu badala linyonyeshe watoto wake na maziwa yake kama ndara mbio mbio kuandika mada za kipuuzi jamiiforums.
 
Dah! Kweli mambo yanakwenda kasi sana yahani wanaume wa hiki kizazi hawana tofauti na wanawake.

Wanaume hamujiamini kabisa, sijui tatizo ni nini?

Yahani mtu unaona mpenzi wako amesimama tu na mwanaume mwingine we unapaniki, then hata bila ya kujua kasimama na Nani wewe ushakumbilia jamii forum kuanzisha ka uzi full kulalamika, kama vile wamekuibia figo

Baba zenu walikua na busara na walikua wanajua kufanya maamuzi ndio maana walikua hawalalamiki kama nyie, unashindwa kujua wapi ni pakupata ushauri na jinsi ya kutatua changamoto za mahusiano yako unadhani ndoa ndio utaiweza.

Wanaume badilikeni sio kila kitu ni chakukimbilia kwenye mitandao kuomba ushauri.
Na nyie wanawake muache umalaya wa rejareja unapata wapi ujasiri wa kusimama na mwanaume mwingine huku unajua kabisa unamume/mpenzi wako eneo hilohilo.
Hayo mambo zamani hayakuwepo kabisa.
 
Dah! Kweli mambo yanakwenda kasi sana yahani wanaume wa hiki kizazi hawana tofauti na wanawake.

Wanaume hamujiamini kabisa, sijui tatizo ni nini?

Yahani mtu unaona mpenzi wako amesimama tu na mwanaume mwingine we unapaniki, then hata bila ya kujua kasimama na Nani wewe ushakumbilia jamii forum kuanzisha ka uzi full kulalamika, kama vile wamekuibia figo

Baba zenu walikua na busara na walikua wanajua kufanya maamuzi ndio maana walikua hawalalamiki kama nyie, unashindwa kujua wapi ni pakupata ushauri na jinsi ya kutatua changamoto za mahusiano yako unadhani ndoa ndio utaiweza.

Wanaume badilikeni sio kila kitu ni chakukimbilia kwenye mitandao kuomba ushauri.
unazan kwa kipindi hicho cha wazee we2 kungekuw na socialmedia kam hii wasinge kimbilia kulalamik JF hum?????
 
Kwamba nikikuta mwanaume mwingine amekukamatia kiuno nikimbilie instagram..

Nisubiri weee mpaka akupeleke kitandani akupelekee moto ndo nije JF?

Kumbuka ushakula vyangu hapo?.. mwanaume mwenye uvumilivu huu hayupo labda urudi kwenye sayari yako ya Zuhura..
 
Dah! Kweli mambo yanakwenda kasi sana yahani wanaume wa hiki kizazi hawana tofauti na wanawake.

Wanaume hamujiamini kabisa, sijui tatizo ni nini?

Yahani mtu unaona mpenzi wako amesimama tu na mwanaume mwingine we unapaniki, then hata bila ya kujua kasimama na Nani wewe ushakumbilia jamii forum kuanzisha ka uzi full kulalamika, kama vile wamekuibia figo

Baba zenu walikua na busara na walikua wanajua kufanya maamuzi ndio maana walikua hawalalamiki kama nyie, unashindwa kujua wapi ni pakupata ushauri na jinsi ya kutatua changamoto za mahusiano yako unadhani ndoa ndio utaiweza.

Wanaume badilikeni sio kila kitu ni chakukimbilia kwenye mitandao kuomba ushauri.
Ni wote au hao wanaolalamika?
 
Dah! Kweli mambo yanakwenda kasi sana yahani wanaume wa hiki kizazi hawana tofauti na wanawake.

Wanaume hamujiamini kabisa, sijui tatizo ni nini?

Yahani mtu unaona mpenzi wako amesimama tu na mwanaume mwingine we unapaniki, then hata bila ya kujua kasimama na Nani wewe ushakumbilia jamii forum kuanzisha ka uzi full kulalamika, kama vile wamekuibia figo

Baba zenu walikua na busara na walikua wanajua kufanya maamuzi ndio maana walikua hawalalamiki kama nyie, unashindwa kujua wapi ni pakupata ushauri na jinsi ya kutatua changamoto za mahusiano yako unadhani ndoa ndio utaiweza.

Wanaume badilikeni sio kila kitu ni chakukimbilia kwenye mitandao kuomba ushauri.
Yahani wewe ni bwege kabisa nenda kajifunze kuandika kwanza
 
Back
Top Bottom