Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole Mzigua90.

Hata sisi napo tunakumbana kadhia kama hizi, unakuta mtoto mzuri anaita Kaka, mwingine anasalimia Shikamoo.

Wanachoshaaaa na kuvunjaaa mitego sana mtu uliyoipanga kuitega
 
Me kiukweli nlishawahi kulaa demu wa Jamaa maana alikuja nyumba tunayoishii akawa bado ni rafiki na mshkaji sasa yule dada alikua anapenda sana watu wanaosoma ishu za Afyaa afuu jamaa alikuwa anasoma ishu gani sijui huko
...eeeh bhana jamaa kaondoka kamuach manzi ndani story nae mara tukapeana nambaa..!! Mwisho wa siku daah japo nlijisikia vibaya ilaa Ufisii mbayaa sometimes..
 
Umeanza kutoa ushuhuda ,mwanzo uenichamba weeee
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kweli ase
 
Haa ha..sasa mdada mwenyewe ndo alidataa me nifanyajee..!! So mambo ya kawaidaa ilaa hatukudumuu coz alinipenda kwa sababu fulani and pesaa pia ilikuwa mizinguo
Kuna mchizi unampendea kipaji chake,mwingine mcheshi ukiwa nae haboi,,mwingime pesa basi tafarani
 
Bila shaka utakuwa Malaya ww... Mana kwa mada hii c bure, kuna k2 utakua umemic tokea uolewe au kuingia kwny mahusiano... Mana mwanamke anaejielewa hawez post upuuz kam huu... Ataonekana haelew analotenda, pole
 
Wanawake hivi mpoje, mnaturoga sana. Kwa waganga mnatuendea sisi, mkitoka Huko mnatuendea kwa manabii, hivi mnataka tuweje sasa na nyie mnatuchanganya kama concrete mixer

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bujibuji ukishapelekwa kote huko lazima uwe zezeta chezeiya kulishwa kucha na vuzi la marehemu wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahaaa.
 
Bila shaka utakuwa Malaya ww... Mana kwa mada hii c bure, kuna k2 utakua umemic tokea uolewe au kuingia kwny mahusiano... Mana mwanamke anaejielewa hawez post upuuz kam huu... Ataonekana haelew analotenda, pole
Asante kaka ,ngoja niongee na baba sabrina ntakujibu sema Ameen
 
Ahahahahahahahah bado hajalishwa na mengine acha tu wanaume wafe mapema
 
Sasa mimi mwenye marafiki wengi walionizidi pesa si ndiyo mtaniacha kila siku.

Marafiki zangu wakubwa wengi wamenizidi umri na pesa .[sijui hata kwanini]
Lini tunaenda kuwatembelea shemeji zangu bby?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…