Wanaume hivi mpoje nyie!!!!!mnatuudhi sana

Wewe tena? Si umesema nafaa kuwekwa ndani mara tena huwezi. Kuwa na msimamo basi mkuu. Unanitaka au unacheza na hisia zangu?
Tatizo umenipanikisha but subiri kidogo. Umri bado ngoja kwanza nyonga zitanuke maana maana Nina uchu nikikushika nitakupiga magori hayahesabiki

Au ilo kwako si tatizo.
Kama ndio naomba tunywe siku moja kikombe kimoja na wewe
 
Khah!
 
Tatizo umenipanikisha but subiri kidogo. Umri bado ngoja kwanza nyonga zitanuke maana maana Nina uchu nikikushika nitakupiga magori hayahesabiki

Au ilo kwako si tatizo.
Kama ndio naomba tunywe siku moja kikombe kimoja na wewe
Sawa mkuu niko tayari unipige hayo magori.
 
Umeongea Ukweli Mchungu sana. Wengi hua hawausemi..
 
Yaan bora akuache kabisa tu home
Yani unaona kama kaenda kukudhalilisha. Kuna mkaka mzurii wa mji huu na lazima ushamuona insta huyu kaka maana wadada wanampenda . Nikajitosa bwana bila kujua hapendagi kulipa bill. Basi tukitoka na marafiki zake tunakuunywa tunakuula ila sioni akilipa bill. Si ndo nikaja kujua hapendagi kulipa bill na pombe zikibaki ile mnahama kiwanja anazibeba anapeleka kwake. Siku nilimpigia simu nikamwambia baby it's over. Haamini mpaka leo nilimuachaje. Nilishindwa zile aibu halafu malaya mbwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…