harafu na wewe Teamo nani anafua yaani haousegal afue nguo za mzee ??????????????????????????????????????????????????
Skuliment
Hivi tofauti ya House-Lady (Mary) wangu na Bar-Lady (Jose) ni ipi vile? Maana haya mambo mimi yananichanganya!!!
Huyu ananipakulia chakula - Huyu anifungulia Serengeti baridi na kupangusa glass!
Huyu ananifulia nguo na kupiga pasi - Huyu ananikumbusha kurudi nyumbani mapema!
Huyu anaangalia ustaarabu mzima wa "in the house" - Huyu anaangalia ustaarabu mzima wa "counter"!
Huyu ananiambia matukio yote yaliyotokea "in the house" wakati sipo - Huyu ananiambia "story" zote za mtaani kwetu tangia jana saa sita usiku tulipoachana!
I'm Confuzidi!!!
Niko tayari...FL1 jiandae naja. Huyo mmeo lazima alipizwe kisasi bana. Atammegaje hausigelo kirahisi hivyo wakati weye upo?
FL1 naomba nikuulize:
Tatizo na kinachokuuma hapa ni baba kummega hausigelo au baba kummega mwanamke mwingine? Asingekuwa hausigelo hamna tatizo?
sio wewe bana kasema kama Asprin lakini sio Asprin mbona umefurahi:tongue:
asee ODIEM hapo juu nimeifumania BAA kwa bahati mbaya huku unguja nimeamua nikamate valuu haraka sana ili maisha yaendelee....!
nitakupigia
''halafu ninyi ''wakina mama wenye nyumba'' wengi wenu mnakuwa na ''roho mbaya'' sana,ndo maana wanaume tunaaaaa....
MFANO:
unamfanya hg ''draiklina''
unamfanya kuwa ''gas cooker''
unamfanya ''vacuum klina'' pia
anakuangalizia mtoto (hii ndo the most sensitive part)
anakaa na mtoto for eight hrs we uko kazini (hapa ni death and life question),na
anamlisha mtoto vizuri
wewe upo ofisini unapiga store tu
halafu ukirudi ''umechoka'' wakati yeye anakuwa na ''nguvu zake 99''
HALAFU KIBAYA ZAIDI SASA,UNATAKA UMLIPE SH 25,000 KWA MWEZI.......!
EBO...!
ARE YOU PEOPLE SERIOUS?
The Following User Says Thank You to Teamo For This Useful Post:''halafu ninyi ''wakina mama wenye nyumba'' wengi wenu mnakuwa na ''roho mbaya'' sana,ndo maana wanaume tunaaaaa....
MFANO:
unamfanya hg ''draiklina''
unamfanya kuwa ''gas cooker''
unamfanya ''vacuum klina'' pia
anakuangalizia mtoto (hii ndo the most sensitive part)
anakaa na mtoto for eight hrs we uko kazini (hapa ni death and life question),na
anamlisha mtoto vizuri
wewe upo ofisini unapiga store tu
halafu ukirudi ''umechoka'' wakati yeye anakuwa na ''nguvu zake 99''
HALAFU KIBAYA ZAIDI SASA,UNATAKA UMLIPE SH 25,000 KWA MWEZI.......!
EBO...!
ARE YOU PEOPLE SERIOUS?
hahahahahah Nakupenda Teamo angalau nimecheka
Usisahau Teamo ameoa siku hizi. Ni mume wa mtu huyo.
Usisahau Teamo ameoa siku hizi. Ni mume wa mtu huyo.
Hommie ntapata wap hausigeli.....kuna ajira moja kwangu....
Usisahau Teamo ameoa siku hizi. Ni mume wa mtu huyo.
Hommie ntapata wap hausigeli.....kuna ajira moja kwangu....
Kwani Umeambiwa mie niko single natafuta ubavu wangu ,Asprin mbona mchokozi sana wewe??Mbona hivo Asprin
Una hangover za saa 2:26 PM acha babu naomba break kidogo
PM SMS yako imenichanganya
Nisamehe mpenzi, nlifikiri ulisha log out.:welcome: