Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

harafu na wewe Teamo nani anafua yaani haousegal afue nguo za mzee ??????????????????????????????????????????????????

FL1 naomba nikuulize:

Tatizo na kinachokuuma hapa ni baba kummega hausigelo au baba kummega mwanamke mwingine? Asingekuwa hausigelo hamna tatizo?
 
MSISITIZO:hukumu ya efelowani iko very biased.....!haijazungumzia upungufu wa mama mwenye nyumba (currently a wife).instead,imemlaani sana mume,na kudadavua kwa kina sana udhaifu wa hg.THAT IS NOT RIGHT

IELEWEKE KWAMBA:the three figures must match into a single profile...IRRESPONSIBILITY BEHAVIOUR of any of the three figures (AND MOSTLY A WIFE) will lead to that calamity.mimi nakufa na mama mwenye nyumba!huyu ndiye problematic unit kwenye hii trinity....labda kwa kukusaidia tu mama mwenye nyumba ni kwamba ukiona hilo limetokea ujue kuwa hiyo ni reflection ya yanayotokea ''NJE YA NYUMBA YAKO'',sasa ukiona limetokea ndani ujue mungu anakupenda sana na ameamua akupe ''ufunuo'' ili UJICHEK MARA KUMI KUMI....a smart man like teamo hawez tembea na hausgel ''jus to please you''....THINK BIG HAPO!haimanish kwamba he is not screwing!

IT'S TIME NOW WE DISCUSS PROBLEMS kuliko THE RESULTS OF PROBLEMS
 
Skuliment

Hivi tofauti ya House-Lady (Mary) wangu na Bar-Lady (Jose) ni ipi vile? Maana haya mambo mimi yananichanganya!!!

Huyu ananipakulia chakula - Huyu anifungulia Serengeti baridi na kupangusa glass!

Huyu ananifulia nguo na kupiga pasi - Huyu ananikumbusha kurudi nyumbani mapema!

Huyu anaangalia ustaarabu mzima wa "in the house" - Huyu anaangalia ustaarabu mzima wa "counter"!

Huyu ananiambia matukio yote yaliyotokea "in the house" wakati sipo - Huyu ananiambia "story" zote za mtaani kwetu tangia jana saa sita usiku tulipoachana!

I'm Confuzidi!!!

Skulimeti: Mi naona tatizo kubwa la akina mama humu ni KUSAIDIWA na hausigelo!

Wakisaidiwa na kina ELIZA naona hamna tabu.....usisahau pale King Star kuna New products. Utanikuta nimekuchagulia moja tayari.
 
asee ODIEM hapo juu nimeifumania BAA kwa bahati mbaya huku unguja nimeamua nikamate valuu haraka sana ili maisha yaendelee....!

nitakupigia
 
Niko tayari...FL1 jiandae naja. Huyo mmeo lazima alipizwe kisasi bana. Atammegaje hausigelo kirahisi hivyo wakati weye upo?

sio wewe bana kasema kama Asprin lakini sio Asprin mbona umefurahi:tongue:
 
FL1 naomba nikuulize:

Tatizo na kinachokuuma hapa ni baba kummega hausigelo au baba kummega mwanamke mwingine? Asingekuwa hausigelo hamna tatizo?

sitaki unichanganye akili yangu bana ,sitaki sitaki sitaki:smile-big:
 
sio wewe bana kasema kama Asprin lakini sio Asprin mbona umefurahi:tongue:

Nilichokifurahia mwenyewe unakijua hebu soma hiyo sms niliyokutumia. Taratibu lakini usijepata mimba isiyotarajiwa.
 
''halafu ninyi ''wakina mama wenye nyumba'' wengi wenu mnakuwa na ''roho mbaya'' sana,ndo maana wanaume tunaaaaa....

MFANO:

unamfanya hg ''draiklina''

unamfanya kuwa ''gas cooker''

unamfanya ''vacuum klina'' pia

anakuangalizia mtoto (hii ndo the most sensitive part)

anakaa na mtoto for eight hrs we uko kazini (hapa ni death and life question),na

anamlisha mtoto vizuri

wewe upo ofisini unapiga store tu

halafu ukirudi ''umechoka'' wakati yeye anakuwa na ''nguvu zake 99''

HALAFU KIBAYA ZAIDI SASA,UNATAKA UMLIPE SH 25,000 KWA MWEZI.......!

EBO...!
ARE YOU PEOPLE SERIOUS?
 
asee ODIEM hapo juu nimeifumania BAA kwa bahati mbaya huku unguja nimeamua nikamate valuu haraka sana ili maisha yaendelee....!

nitakupigia

Usisahau ngisi na pweza kwa ajili ya supu
 
''halafu ninyi ''wakina mama wenye nyumba'' wengi wenu mnakuwa na ''roho mbaya'' sana,ndo maana wanaume tunaaaaa....

MFANO:

unamfanya hg ''draiklina''

unamfanya kuwa ''gas cooker''

unamfanya ''vacuum klina'' pia

anakuangalizia mtoto (hii ndo the most sensitive part)

anakaa na mtoto for eight hrs we uko kazini (hapa ni death and life question),na

anamlisha mtoto vizuri

wewe upo ofisini unapiga store tu

halafu ukirudi ''umechoka'' wakati yeye anakuwa na ''nguvu zake 99''

HALAFU KIBAYA ZAIDI SASA,UNATAKA UMLIPE SH 25,000 KWA MWEZI.......!

EBO...!
ARE YOU PEOPLE SERIOUS?

hahahahahah Nakupenda Teamo angalau nimecheka
 
''halafu ninyi ''wakina mama wenye nyumba'' wengi wenu mnakuwa na ''roho mbaya'' sana,ndo maana wanaume tunaaaaa....

MFANO:

unamfanya hg ''draiklina''

unamfanya kuwa ''gas cooker''

unamfanya ''vacuum klina'' pia

anakuangalizia mtoto (hii ndo the most sensitive part)

anakaa na mtoto for eight hrs we uko kazini (hapa ni death and life question),na

anamlisha mtoto vizuri

wewe upo ofisini unapiga store tu

halafu ukirudi ''umechoka'' wakati yeye anakuwa na ''nguvu zake 99''

HALAFU KIBAYA ZAIDI SASA,UNATAKA UMLIPE SH 25,000 KWA MWEZI.......!

EBO...!
ARE YOU PEOPLE SERIOUS?
The Following User Says Thank You to Teamo For This Useful Post:

The Finest (Today)​




MFALME WA AMANI UKIRUDI NIDAI SUPU YA NGUMI FOR THIS USEFUL POST
 
Usisahau Teamo ameoa siku hizi. Ni mume wa mtu huyo.

Kwani Umeambiwa mie niko single natafuta ubavu wangu ,Asprin mbona mchokozi sana wewe??Mbona hivo Asprin
Una hangover za saa 2:26 PM acha babu naomba break kidogo
PM SMS yako imenichanganya
 
Kwani Umeambiwa mie niko single natafuta ubavu wangu ,Asprin mbona mchokozi sana wewe??Mbona hivo Asprin
Una hangover za saa 2:26 PM acha babu naomba break kidogo
PM SMS yako imenichanganya

Nisamehe mpenzi, nlifikiri ulisha log out.:welcome:
 
asee ninyi wakina mama kuweni na roho za kibinadamu kabla sijapasua hichi kikompyuta cha kipemba.....!

nikiripoti kutoka CHEJU.....

mimi ni TEAMO ''mfalme wa amani''


KWAHERINI YA KUONANA
 
Back
Top Bottom