Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

FL1,.mi sikatai kwamba at times wanawake wanajisahau sana tu,.lakini taking this into a human point of view...Wanaume wangapi that wako soooo busy hata anasahau when was the last time alikua intimate na mkewe?lakini je asilimia ngapi ya wanawake wanaenda kutoka na mahouseboy?(ndogo sana right?)..if only marriage was built in a way that mwnaume atajishusha na mke nae ajishushe that akiona kuna mapungufu anaeza kumwambia mwenzake without kumnyanyasa in any way life could be better..mimi naamini it starts with the mentality kwamba i am a man and can do anything!.wanawake wengi wanavumilia all the lost attention unlike men..hivi najiuliza ukikaa na mke wako kwa ustaarabu ukamwabia what you feel,hatakuelewa kweli?na je ukimchukua hg then nae akaeka hg akajisahau pia..will you be changing hgs?..heshima kitu cha bure kwakweli,.hv imagine mtu unamvisha unamlisha,unamchukulia kama mdogo wako afu anatoka na mumeo?au ndo babaako kafanya hivyo?how will you feel?

The Following User Says Thank You to tracy For This Useful Post:

FirstLady1 (Today)​

:tongue::tongue::tongue:
 
nina hakika ushauri wangu unahitajika katika hii sredi lakini nawahi kikao kidogo, msihuzunike nitalejea. naomba mod wasije wakaipeleka hii sredi kwenye jukwaa la wakubwa sina access ya huko.

asanteni kwa ushirikiano.
klorokwini a.k.a kibaka mzoefu.
ha ha ha ha ha!
nimecheka hadi nimepaliwa na supu ya pweza

anyways HABBARR AKO BINAFSI MAMAA LA EF ELO WANI?.....

sasa ninyi mnatakaje sasa?.....

mkome kudelegeti majukumu mengi kwa hg......

haus geli anapofikia hatua ya kufua hadi nguo za ndani za mumeo unategemea nini?.....

we kila siku ukirudi kutoka kazini (tena unafanya white color jobs) unakuja na wimbo wako wa ''NIMECHOKA'' unatarajia nini sasa.....?

sasa teamo si ndo mimi sasa?.....

sasa kidume cha mbegu si ndo mimi sasa?.....

we ukija na wimbo wako wa ''nimechoka'' mimi nakuja na wimbo wangu mwingineeee wa ''adela''

sasa teamo si ndo nimemaliza sasa?.....

habarr zenyoo binafsi banaaaa
 
ha ha ha ha ha!
Nimecheka hadi nimepaliwa na supu ya pweza

anyways habbarr ako binafsi mamaa la ef elo wani?.....

sasa ninyi mnatakaje sasa?.....

mkome kudelegeti majukumu mengi kwa hg......

haus geli anapofikia hatua ya kufua hadi nguo za ndani za mumeo unategemea nini?.....

we kila siku ukirudi kutoka kazini (tena unafanya white color jobs) unakuja na wimbo wako wa ''nimechoka'' unatarajia nini sasa.....?

sasa teamo si ndo mimi sasa?.....

sasa kidume cha mbegu si ndo mimi sasa?.....

we ukija na wimbo wako wa ''nimechoka'' mimi nakuja na wimbo wangu mwingineeee wa ''adela''

sasa teamo si ndo nimemaliza sasa?.....

habarr zenyoo binafsi banaaaa

habari yake hausigeli btw hapo unakuwa umegonga halafu huyu mwingine kagongwa
 
Hebu nimpigie Simu House-Lady wangu Mary niulize kama:-
- Mtoto amekula?
- Juice ya Jioni ametengeneza?
- Maziwa ya mtoto wameenda kuchukua?
- Luku imebaki units ngapi?
- Ameenda kuangalia kama gesi ipo pale OilCom?

Mchana mwema jamani
 
Kama unamfanya aamini yeye ni 'so low' unataka iweje???
BTW: Hope kinachoongelewa hapa sio mwanaume kuteleza....ila ni mwanaume kuteleza na kwa h/g, ambayo inamdhalilisha mke...
Hapo chacha loh.........wakati mke mume akiingia weye wamwita we bwana hebu kaoge huko uje ule.........Miss. H.G yeye anapeleka maji bafuni kisha anakuja na goti chini na sauti nyororo ........Baba maji ya kuoga tayari

Wakati wewe akiingia hata kunyanyuka kwenye kochi na kumsindikiza chumbani huku ukimwuliza siku yake ilivyokuwa (kisa Forbidden Passions), Miss. H.G yee akisikia tu mngurumo wa gari keshotoka kupokea na pole nyiiiingi ......ataacha kuthaminisha?

Kingine kina mama tusijidanganye kuwa hawa kina dada tunaowachukua huwa ni wadogo kiasi hicho........wanatamanigi nafasi ulonayo weye waipate wao....so wengine wanaweka na nyavu zao ..........binti ala kungu, afukiza udi ah.

Ila wanaume wengine wamezidi, hata umbebe mgongoni kila siku atakutenda tu!
 
ha ha ha ha ha!
nimecheka hadi nimepaliwa na supu ya pweza

anyways HABBARR AKO BINAFSI MAMAA LA EF ELO WANI?.....

sasa ninyi mnatakaje sasa?.....

mkome kudelegeti majukumu mengi kwa hg......

haus geli anapofikia hatua ya kufua hadi nguo za ndani za mumeo unategemea nini?.....

we kila siku ukirudi kutoka kazini (tena unafanya white color jobs) unakuja na wimbo wako wa ''NIMECHOKA'' unatarajia nini sasa.....?

sasa teamo si ndo mimi sasa?.....

sasa kidume cha mbegu si ndo mimi sasa?.....

we ukija na wimbo wako wa ''nimechoka'' mimi nakuja na wimbo wangu mwingineeee wa ''adela''

sasa teamo si ndo nimemaliza sasa?.....

habarr zenyoo binafsi banaaaa


harafu na wewe Teamo nani anafua yaani haousegal afue nguo za mzee ??????????????????????????????????????????????????
 
Skuliment

Hivi tofauti ya House-Lady (Mary) wangu na Bar-Lady (Jose) ni ipi vile? Maana haya mambo mimi yananichanganya!!!

Huyu ananipakulia chakula - Huyu anifungulia Serengeti baridi na kupangusa glass!

Huyu ananifulia nguo na kupiga pasi - Huyu ananikumbusha kurudi nyumbani mapema!

Huyu anaangalia ustaarabu mzima wa "in the house" - Huyu anaangalia ustaarabu mzima wa "counter"!

Huyu ananiambia matukio yote yaliyotokea "in the house" wakati sipo - Huyu ananiambia "story" zote za mtaani kwetu tangia jana saa sita usiku tulipoachana!

I'm Confuzidi!!!
 
Kama unamfanya aamini yeye ni 'so low' unataka iweje???
BTW: Hope kinachoongelewa hapa sio mwanaume kuteleza....ila ni mwanaume kuteleza na kwa h/g, ambayo inamdhalilisha mke...

exaktle hommie.
nilitaka kuuliza kwamba badala ya kutelezea kwa HG, tutelezee wapi ktk mazingira hayo.

hapa ni OD safarini Dodoma
 
Back
Top Bottom