Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

rafiki, huko nilikoenda hakuna sensa, ni jembe tu asubuhi mpaka jioni, msosi embe.

Aisee, umeshapima uzito? Hebu fanza maarifa kama umepungua nitafute sababu ya kukufakamisha minyama ya kurosti!
 
kama si dini na utandawazi, kungekuwa hakuna beki 3. kazi zikizidi unaongeza mke kusaidiana na bi mkubwa sasa mnaleta majaribu kwa kuongeza mke na kumwita HG. au mwataka kujua kama waume zenu wana asili ya utawa nini?

dnt try that at hme[/QUOTE
kweli kabisa
 
Asprin nasikia nimechoka ghafla ila sio beki tatu kanichosha :Cry:
Ngoja nikakamate Valuer mbili kichwa kikae fresh
 
nina hakika ushauri wangu unahitajika katika hii sredi lakini nawahi kikao kidogo, msihuzunike nitalejea. naomba mod wasije wakaipeleka hii sredi kwenye jukwaa la wakubwa sina access ya huko.

asanteni kwa ushirikiano.
klorokwini a.k.a kibaka mzoefu.

:ranger:
 
Katika hicho kikao hamkujiuliza kama hamna nyie sio kasoro ? maana haiiwezekani sie tu ndo tuwe na matatizo 95% tuwe na shida haiwezekani lazima hapa formula iwe reversed, huwezi kusema 95% tunapenda wenyewe there must be a very very strong reason ..
 
Katika hicho kikao hamkujiuliza kama hamna nyie sio kasoro ? maana haiiwezekani sie tu ndo tuwe na matatizo 95% tuwe na shida haiwezekani lazima hapa formula iwe reversed, huwezi kusema 95% tunapenda wenyewe there must be a very very strong reason ..

Ni kweli Easymutant ningependa na wewe uje na Takwimu zako my dear,hiki kilikuwa kikao kifupi cha wabeijing ,ingawa mada hii imenisaidia sana kwa baadhi ya michango ya wanaume
 
Sasa namba za simu utaandika kwenye twente sauzend?

Nijibu kwanza niwe na bidigadi?
Namba za simu fomula ni kama kawa ,unajua fomula weye?ukitoka pitia counter utazikuta:mvutaji:smoke tym
 
Nijibu kwanza niwe na bidigadi?
Namba za simu fomula ni kama kawa ,unajua fomula weye?ukitoka pitia counter utazikuta:mvutaji:smoke tym

Nimekujibu kwenye sms...sitaki watoto waone.
 
Hiyo bado si sababu ya kukufanya wewe uanze kupiga mbizi na H/G

Ma H/Gs wanakaa sana ndani na wanakuwa ni genuine au kama ni used basi ni kidogo sana...hivyo wanakuwa wananoga sana. Pia kama mlikuwa hamjui Ma H/Gs ni mke wa pili wa mwanaume na ndio maana yupo pale. Ina maana yeye shida zake atatuliwe na nani? Yaani yeye akeshe usiku kucha akisikiliza jinsi mnavyokichezesha kitanda tuuu? kweche..kweche....kweche....kweche...kweche....kweche....
 
...sababu ni nyingi, nita share nanyi hizi kwanza kila mtu atafakari linalomgusa;

20. It's in His Genes – This one is low on the list because many men aren't brave enough to use it as an excuse. However, many psychiatrists do believe that there is something to the genetic makeup of men that instills the want or need to cheat. Sadly, the only preventative step for this reason is to make sure you are doing everything you can to meet his needs.
19. Peer pressure – This is seen primarily in married men that have bachelor friends. They see their friends going out and hooking up all of the time and they miss that life. This could also apply to any man that has witnessed a friend get away with having an affair.
18. They were raised around it – Most men that cheat have grown up watching their fathers do it. Again, the only surefire prevention for this is to make sure your relationship is healthy and honest.
17. He has a "Seize the Day" Mentality – When presented with the opportunity to cheat, it is hard for most men to turn away; this is especially true of older men. Those that believe the prime of their life is slipping away will often think "I may never get this chance again." To keep these opportunities away, try being the sort of partner that would be out with your man in any situations where such an opportunity may present itself ..
A%20S-frusty2.gif
.
16. Emotional Disconnect – Believe it or not, it's not all about sex. Be sure to at least show an interest in your man's feelings and interests. If you don't, chances are good that he will seek it elsewhere.
15. He's a sex addict – This is another excuse that, while it sounds lame, has some biological merit to it. If you or your man believes that he may be a sex addict, it's a good idea to seek medical or psychological help before his addiction causes him to stray.
14. To feel appreciated – Many men, particularly those that have been married for a while, may start to feel that their partner no longer appreciates them and what they do for the relationship/family. When he needs to feel appreciation, he may seek it in another woman. It is important to let your man know that he is appreciated…if you need to use the bedroom as a means to show this, that's even better!
13. To end a relationship – Sadly, there's not much you can do to prevent this. If a man wants out and his rudeness or arguments against you aren't doing the trick, they may go to this drastic measure to end things.
12. It's a challenge – To some men, it's all about the sport. Can they still lure another woman? And can they do so without you finding out? To keep his thoughts away from this, try to incorporate a commanding yet sexy persona in the bedroom…this is often enough of a challenge for some men.
11. It Makes Him Feel Younger
A%20S-frusty2.gif
– If his sex life is getting plain and boring, he may seek another partner who is more promiscuous and experimental. Again-and this is usually the most common answer for preventing an affair-you may want to spice things up in the bedroom to keep this from happening. While you can't do much to make him feel younger, you can make him relive his glory days with an amazing romp in the sack.
10. A nagging partner – If a man has a wife that nags and complains all of the time, many men will use sex with others as their "medication" for the headache at home
A%20S-frusty2.gif
. Prevention for this one is simple: choose your battles and don't complain about everything.
9. To feel attractive – Once you stop paying your man's body and appearance compliments, he will notice. And he will often look for someone else that will be full of those compliments. Simply take a moment every now and then to comment on your man's body in a flattering way.
8. It's exciting – Anything new sexually is going to appeal to your man, especially if a new woman is involved. Keep him seeking that excitement at home and you shouldn't have this problem.
7. He's falling out of love – It doesn't matter how tough a guy may seem…falling in love is still an amazing feeling. If he finds himself "falling out of love" with you, he may look for that feeling in the pursuit of another woman. If you ever sense that things are different in the love department, offer to talk about it and come to a conclusion and solution together before he decided to look somewhere else.
6. Revenge – If he's been cheated upon, the chances are very good that he will return the favor.
5. Ego boost – If he starts feeling inadequate in his current relationship, he may enter into another sexual relationship where he can once again be seen as master of the bedroom. To prevent this, try to make him feel stellar in the bedroom-deep down, men are just as sexually insecure as most women.
4. He knows you'll forgive him – If he's been caught before and you forgave him, he will take advantage of your forgiveness. Simply state that there is zero tolerance for cheating in your relationship before things get serious.
3 . His partner doesn't put out – If his sexual needs aren't being met, he may find an urge to have the met somewhere else. To turn him down every once in a while is okay but don't make a habit out of it.
2. Current sex life is boring
A%20S-frusty2.gif
-if your sex life has become a "hurry up and get it over" 1-or-2 position routine, he will likely get very bored. Try to keep your sex life fresh and exciting. Use books, new positions and maybe even take lessons from pornography if it suits you.
1. His partner doesn't turn him on anymore – We're all going to age. And as we age, our looks are going to slowly go downhill. Still, it is important that you try to maintain the attractive qualities that won him over in the first place. If you simply let yourself go and give in to age and weight issues, he'll go out looking for an upgrade. :A S-frusty2:
 
Ma H/Gs wanakaa sana ndani na wanakuwa ni genuine au kama ni used basi ni kidogo sana...hivyo wanakuwa wananoga sana. Pia kama mlikuwa hamjui Ma H/Gs ni mke wa pili wa mwanaume na ndio maana yupo pale. Ina maana yeye shida zake atatuliwe na nani? Yaani yeye akeshe usiku kucha akisikiliza jinsi mnavyokichezesha kitanda tuuu? kweche..kweche....kweche....kweche...kweche....kweche....

That low?
 
Rose1980 siku ya semina mie nilibaki mdomo wazi kwa mshangao sikuamini kila mama anayesimama analalamika na ilikuwa ni semina ya kikanisa
Ok wanaweza sema mambo mengine tunasababisha wenyewe lakini hili napingana nalo
Heshima kwa mke inasitahili kuwepo palepale no matter hajui kupika mfundishe
Mvivu -mwelekeze
N.k N.k
FL1 , kumbuka Wengine hawafundishiki , ukisema linapitia sikio moja na kutokea jingine , brain haina pa ku store hayo mafundisho..
 
Rose1980 siku ya semina mie nilibaki mdomo wazi kwa mshangao sikuamini kila mama anayesimama analalamika na ilikuwa ni semina ya kikanisa
Ok wanaweza sema mambo mengine tunasababisha wenyewe lakini hili napingana nalo
Heshima kwa mke inasitahili kuwepo palepale no matter hajui kupika mfundishe
Mvivu -mwelekeze
N.k N.k

Hao wamama waliokuwa wanasema madhaifu ya waume zao hadharani inaonyesha ni jinsi gani hawana heshima kwa waume zao na kwa jamii kwa ujumla. Heshima na kufichiana siri ni topic moja tu ya malezi ya familia. Ina maana kama hilo hawakufunzwa, then obviously hata la jinsi ya kumridhisha mumewe hawakufundishwa, ndo maana maH/G wakawa wanawasaidia.

Conclusion; FL usitishwe na hao wamama, kwa bahati mbaya waliosema ni wale tu wasiojua kuwaheshimu waume zao. Wengine wote (au wengi), waliobaki hakuna matatizo ya waume zao na ma h/g, so usihofu...
 
Hao wamama waliokuwa wanasema madhaifu ya waume zao hadharani inaonyesha ni jinsi gani hawana heshima kwa waume zao na kwa jamii kwa ujumla. Heshima na kufichiana siri ni topic moja tu ya malezi ya familia. Ina maana kama hilo hawakufunzwa, then obviously hata la jinsi ya kumridhisha mumewe hawakufundishwa, ndo maana maH/G wakawa wanawasaidia.

Conclusion; FL usitishwe na hao wamama, kwa bahati mbaya waliosema ni wale tu wasiojua kuwaheshimu waume zao. Wengine wote (au wengi), waliobaki hakuna matatizo ya waume zao na ma h/g, so usihofu...

...ha ha ha!...
Tuko, "...maadili kama kisu, yanakata pande zote!"

Wafiche maradhi kilio kiwaumbue sio? :focus:
 
Back
Top Bottom