jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 794
- 191
mi kunammoja alikuwa anampa mtoto wa mwenyenyuma mbele na baba mwenyumba anapewa tigo alipopata mimba ndio ukweli ukajulikana mimba ni ya mtoto na akakiri alikuwa anampa tigo mzee frequently!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wamama waliokuwa wanasema madhaifu ya waume zao hadharani inaonyesha ni jinsi gani hawana heshima kwa waume zao na kwa jamii kwa ujumla. Heshima na kufichiana siri ni topic moja tu ya malezi ya familia. Ina maana kama hilo hawakufunzwa, then obviously hata la jinsi ya kumridhisha mumewe hawakufundishwa, ndo maana maH/G wakawa wanawasaidia.
Conclusion; FL usitishwe na hao wamama, kwa bahati mbaya waliosema ni wale tu wasiojua kuwaheshimu waume zao. Wengine wote (au wengi), waliobaki hakuna matatizo ya waume zao na ma h/g, so usihofu...
OMG! nimekosa neno la kuongeza inasikitisha
Chukueni ma house girl wa kutwa,anakuja kufanya kazi za ndani wakati tuko makazini jioni anarudi kwao,weekend wanakuwa off .
my dear hupasyi kukumbushwa wajibu wako,kama unajua mda gani uende saloon,nguo gani upangilie kuvaa,perfume gani nzuri upake,chakula gani kitam umekimiss hivyo hivyo unapaswa kumfanyia mumeo,unatakiwa kama mwanamke kuwa na maujanja na ubunifu!kumbuka wanaume wanaojua kujitegemea ni wachache sana as wengi wamekuwa wakilelewa na mama zao,hg so maisha ya kujitegemea kwake si sana,ofcousre kutembea na HG si solution lakini timiza wajibu wako wa kumlea mwenzio na familia kwa ujumla Mungu yupo and if u trust in him kila kifanyikacho kizani kuna siku kitakuwa mwangani just trust in him and do ur pat!
Kweli Egyps-women hili ni janga la kitaifa Mungu atunusuru tu.
wakati mwingine sisi wenyewe kina mama tunachangia sana,mama anashindwa kumwandalia mumewe chakula,kufua na kupiga basi,kusafisha viatu ,kukata kucha,kumuandalia matunda,maji ya kuoga yooooote hayo yanafanywa na msichana sasa hapo kaolewa nani/msichana au huyo mama feki?mwanaume ni kama mtoto utakavyompeti peti pamoja na udhaifu wake lkn bado atakuheshim tu maana ww ni mama yake wapili katika malezi,mwanammke kuanzia j3 mpaka j2 uko busy tu hujui hata mumeo kala nn kashindaje utasema umekuwa dei worker wa daladala?tunajua majukum tuliyonayo ni mengi lkn tunapaswa kuwa na mda na familia zetu jamani tuachane na utandawazi na uzungu mwingi tukumbuke mila zetu na kutunza familia zetu,am out!
Chukueni ma house girl wa kutwa,anakuja kufanya kazi za ndani wakati tuko makazini jioni anarudi kwao,weekend wanakuwa off .
mi kunammoja alikuwa anampa mtoto wa mwenyenyuma mbele na baba mwenyumba anapewa tigo alipopata mimba ndio ukweli ukajulikana mimba ni ya mtoto na akakiri alikuwa anampa tigo mzee frequently!
kwa hiyo hapa unataka kuhalalisha ?