Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

Wanaume + Housegirl: Pepo gani limeingia mioyoni mwenu?

mi kunammoja alikuwa anampa mtoto wa mwenyenyuma mbele na baba mwenyumba anapewa tigo alipopata mimba ndio ukweli ukajulikana mimba ni ya mtoto na akakiri alikuwa anampa tigo mzee frequently!
 
Hao wamama waliokuwa wanasema madhaifu ya waume zao hadharani inaonyesha ni jinsi gani hawana heshima kwa waume zao na kwa jamii kwa ujumla. Heshima na kufichiana siri ni topic moja tu ya malezi ya familia. Ina maana kama hilo hawakufunzwa, then obviously hata la jinsi ya kumridhisha mumewe hawakufundishwa, ndo maana maH/G wakawa wanawasaidia.

Conclusion; FL usitishwe na hao wamama, kwa bahati mbaya waliosema ni wale tu wasiojua kuwaheshimu waume zao. Wengine wote (au wengi), waliobaki hakuna matatizo ya waume zao na ma h/g, so usihofu...

aii!lakini wanaume waende wakatoe udhaifu wa wake zao kwa mahg?makubwa!
 
sometimes mama yupo bize kwenye semina one week away from home, kamwacha baba na watoto wadogo under 3 yrs imagine, H/G
yupo fiti, for whole week mama angepata mkanda Pressure ingemuua, maana cha kuibia kitamu bana
 
Chukueni ma house girl wa kutwa,anakuja kufanya kazi za ndani wakati tuko makazini jioni anarudi kwao,weekend wanakuwa off .
 
Beki tatu na Mzee mwenye nyumba, ni kama UJI NA MGONJWA! Wachache sana wanaheshimu katika sekta hiyo!
 
my dear hupasyi kukumbushwa wajibu wako,kama unajua mda gani uende saloon,nguo gani upangilie kuvaa,perfume gani nzuri upake,chakula gani kitam umekimiss hivyo hivyo unapaswa kumfanyia mumeo,unatakiwa kama mwanamke kuwa na maujanja na ubunifu!kumbuka wanaume wanaojua kujitegemea ni wachache sana as wengi wamekuwa wakilelewa na mama zao,hg so maisha ya kujitegemea kwake si sana,ofcousre kutembea na HG si solution lakini timiza wajibu wako wa kumlea mwenzio na familia kwa ujumla Mungu yupo and if u trust in him kila kifanyikacho kizani kuna siku kitakuwa mwangani just trust in him and do ur pat!

Lakini Pearl, wewe si uko singo and not searching?..... Haya maushauri kama vile ya mama mwenye mji, na hausigeli, na exipiriensi za kutosha.........mmmmmhhhhh
 
Kweli Egyps-women hili ni janga la kitaifa Mungu atunusuru tu.

Matatizo mengine ni ya kujitakia....hayahitaji kumwita MUNGU.....

Mke simama katika nafasi yako kama mke, na mume pia...yote haya hayatokuwepo.... hii jamii yetu sasa..mh ..!!!!!????!!!!!!!
 
wakati mwingine sisi wenyewe kina mama tunachangia sana,mama anashindwa kumwandalia mumewe chakula,kufua na kupiga basi,kusafisha viatu ,kukata kucha,kumuandalia matunda,maji ya kuoga yooooote hayo yanafanywa na msichana sasa hapo kaolewa nani/msichana au huyo mama feki?mwanaume ni kama mtoto utakavyompeti peti pamoja na udhaifu wake lkn bado atakuheshim tu maana ww ni mama yake wapili katika malezi,mwanammke kuanzia j3 mpaka j2 uko busy tu hujui hata mumeo kala nn kashindaje utasema umekuwa dei worker wa daladala?tunajua majukum tuliyonayo ni mengi lkn tunapaswa kuwa na mda na familia zetu jamani tuachane na utandawazi na uzungu mwingi tukumbuke mila zetu na kutunza familia zetu,am out!


Ana raha huyo mumeo!
 
Chukueni ma house girl wa kutwa,anakuja kufanya kazi za ndani wakati tuko makazini jioni anarudi kwao,weekend wanakuwa off .


Umelalia upande gani weye; hapa baba naye atashinda weekend yote huko kwa house girl............haizuii!
 
mi kunammoja alikuwa anampa mtoto wa mwenyenyuma mbele na baba mwenyumba anapewa tigo alipopata mimba ndio ukweli ukajulikana mimba ni ya mtoto na akakiri alikuwa anampa tigo mzee frequently!


Da.............salalaa imagini ni binti yako kachangiwa na familia namna hii:frusty::frusty:
 
1. Ivi h/girl sio binadamu? Hana k, hisia na vingine vyote?
Tukikaa vibaya tunaweza ku-dehumanise watu!

2. Men and women view on sex if very different. Mwanaume anaweza ku*** bila kuwa na feelings zozote na huyo mtu, ilimradi anapata raha yake. La muhimu ni uhakikishe mnahudumiana unyumba vya kutosha na mumeo! Apart from that umeliwa....
 
Back
Top Bottom