Wanaume huwa tunakuwa wababe vijiweni ila kwenye mapenzi na wanawake tunakuwa wa shule ya msingi kabisa.

Wanaume huwa tunakuwa wababe vijiweni ila kwenye mapenzi na wanawake tunakuwa wa shule ya msingi kabisa.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
■mara ooh amemkata kata hadi kumuua demu wake kisa ya kujua anatumika kwingine

■mara ooh amemuua kwa risasi mke wake na yeye kujiua kwa risasi.

■mara ooh hawala anakuja kudai sehemu ya urithi baada ya bwana kufariki.

■mara ooh amelawitiwa na baunsa kama wanne baada kufumaniwa na mke wa mtu.

■mara ooh urithi wote ameandika majina ya watoto aliozaa na nyumba ndogo huku nyumba kubwa hakuna alieambulia chochote.

■mara ooh nyumba ndogo alazimisha kwa nguvu kumzika bwana yake baada ya kukataliwa na nyumba kubwa.

■mara ooh waumizana vibaya wakigombania demu baani/klabu

MOST OF THE TIME UNAKUTA KABISA TUNAJUA HUYO MWANAMKE INASOMA RED ALERT MOYONI MWAKO KUTOKANA NA HURKA ALIYONAYO ILA NI KAMA TUNALAZAMISHA NAFSI IISHINDE ROHO INAYOKUPA WARNING.

SASA UNAENDA JELA YA KAHABA, UNALAWITIWA KISA YA MKE WA MTU, UNAJIUA KISA YA SLAY QUEEN, UNAFIRISIKA KISA YA MALAYA.
 
Mwanamume popote anaagizwa kutumia akili,akitunia hisia tu madhara yake ndio hayo.

Ukitumia akili utagundua mwanamke anayeamua kutoa nje,yuko tayari hata kukuua,so ni vyema umuepuke.
Sijasema umuache.
 
Ungewekaa neno( baadhi ya wanaume)na c kutujumlisha wanaume wt ,,wenginee hayo unayoyaita mapenzi c kipaumbele chetu kbs mkuu ktk haya maishaa... Mm km mm njoo nikulipee nikojoe nitakavyo baada ya hapo ctak hata kujuana hata tukikutana njian salamh Yako vunga ,kesho nipo na mwinginee,,,ila ndomu n muhmu kutumika
 
FB_IMG_1715757099729.jpg
 
Ungewekaa neno( baadhi ya wanaume)na c kutujumlisha wanaume wt ,,wenginee hayo unayoyaita mapenzi c kipaumbele chetu kbs mkuu ktk haya maishaa... Mm km mm njoo nikulipee nikojoe nitakavyo baada ya hapo ctak hata kujuana hata tukikutana njian salamh Yako vunga ,kesho nipo na mwinginee,,,ila ndomu n muhmu kutumika
Sasa ndugu yangu wa aiana hio tupo wawili kati ya 20
 
Back
Top Bottom