Wanaume huwa tunasema hatuongozwi na hisia tunafata logic, sasa hasira na maumivu kwenye mapenzi yanatoka wapi?

Wanaume huwa tunasema hatuongozwi na hisia tunafata logic, sasa hasira na maumivu kwenye mapenzi yanatoka wapi?

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
233
Reaction score
298
Huu ni wimbo wetu wanaume, kwamba sisi hatuongozwi na hisia, kwenye kuangalia kitu na kufanya maamuzi tunafata logic na kuwaambia wanawake ni viumbe wanaoongozwa na hisia.

Sasa hasira na maumivu kwenye mapenzi yanatoka wapi? Maumivu hayo si ni matokeo ya hisia? Pisi kali ikikupiga tukio mwanaume unavurugwa, unatoa chozi, wengine wanachukua maamuzi magumu ya kujeruhi au kukatisha uhai wa mtu, hapo sijaongelea baadhi kukodi kundi la watu kwenda na mafuta mradi ulipize kwa maumivu ambayo umehisi.

Kama tunaongozwa na logic, si ni kuangalia logic ya hilo tukio tu na kupotezea ukaendelea na shughuli nyingine za ujenzi wa taifa?
 
Huu ni wimbo wetu wanaume, kwamba sisi hatuongozwi na hisia, kwenye kuangalia kitu na kufanya maamuzi tunafata logic na kuwaambia wanawake ni viumbe wanaoongozwa na hisia.

Sasa hasira na maumivu kwenye mapenzi yanatoka wapi? Maumivu hayo si ni matokeo ya hisia? Pisi kali ikikupiga tukio mwanaume unavurugwa, unatoa chozi, wengine wanachukua maamuzi magumu ya kujeruhi au kukatisha uhai wa mtu, hapo sijaongelea baadhi kukodi kundi la watu kwenda na mafuta mradi ulipize kwa maumivu ambayo umehisi.

Kama tunaongozwa na logic, si ni kuangalia logic ya hilo tukio tu na kupotezea ukaendelea na shughuli nyingine za ujenzi wa taifa?
Kweli kabisa ni wanaume wachache sana tunatumia logic. Sasa mwanaume unayetumia logic kweli unakasirika mkeo kugegedwa nje? Haiwezekani bwana. Hapo simple logic ni kwamba mwezangu anataka kubalisha ladha so no need to panick. Kaa nae chini muulize umejifunza lipi jipya tuongeze kwenye repertoire ya mnyanduano
 
Kweli kabisa ni wanaume wachache sana tunatumia logic. Sasa mwanaume unayetumia logic kweli unakasirika mkeo kugegedwa nje? Haiwezekani bwana. Hapo simple logic ni kwamba mwezangu anataka kubalisha ladha so no need to panick. Kaa nae chini muulize umejifunza lipi jipya tuongeze kwenye repertoire ya mnyanduano
acha basi mwanangu logic ndo inakupelekea mpaka unapenda michezo ya tigo?? 😂
 
Huu ni wimbo wetu wanaume, kwamba sisi hatuongozwi na hisia, kwenye kuangalia kitu na kufanya maamuzi tunafata logic na kuwaambia wanawake ni viumbe wanaoongozwa na hisia.

Sasa hasira na maumivu kwenye mapenzi yanatoka wapi? Maumivu hayo si ni matokeo ya hisia? Pisi kali ikikupiga tukio mwanaume unavurugwa, unatoa chozi, wengine wanachukua maamuzi magumu ya kujeruhi au kukatisha uhai wa mtu, hapo sijaongelea baadhi kukodi kundi la watu kwenda na mafuta mradi ulipize kwa maumivu ambayo umehisi.

Kama tunaongozwa na logic, si ni kuangalia logic ya hilo tukio tu na kupotezea ukaendelea na shughuli nyingine za ujenzi wa taifa?
Labda kwenye kufanya maamuzi
 
Shule ya hisia ukapeleke hesabu.
Wanafaulu wanaweza kufupisha refractory period ya hisia husika kutawala Fikra.
 
Huu ni wimbo wetu wanaume, kwamba sisi hatuongozwi na hisia, kwenye kuangalia kitu na kufanya maamuzi tunafata logic na kuwaambia wanawake ni viumbe wanaoongozwa na hisia.

Sasa hasira na maumivu kwenye mapenzi yanatoka wapi? Maumivu hayo si ni matokeo ya hisia? Pisi kali ikikupiga tukio mwanaume unavurugwa, unatoa chozi, wengine wanachukua maamuzi magumu ya kujeruhi au kukatisha uhai wa mtu, hapo sijaongelea baadhi kukodi kundi la watu kwenda na mafuta mradi ulipize kwa maumivu ambayo umehisi.

Kama tunaongozwa na logic, si ni kuangalia logic ya hilo tukio tu na kupotezea ukaendelea na shughuli nyingine za ujenzi wa taifa?
Deppends on the situation at hand , it is the logical thing to do.
 
Back
Top Bottom