Wanaume: Ilikuwaje mara yako ya kwanza 'kula tunda'

Wanaume: Ilikuwaje mara yako ya kwanza 'kula tunda'

The MaskmaN

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2017
Posts
350
Reaction score
764
Hello Guys

Leo ningependa tushee visa, hisia, vituko n.k

Ilikuwaje kwa mara yako ya kwanza kupata utamu/kuingiliana na mwanamke/ku do /kula tunda /kuonja papuchi?

Mie nakumbuka ilinichukua takribani Nusu Saa kusimama kwa Hofu niliyopata mpaka mdada wa watu akaanza kuingiwa na Wasi wasi lakini alikuwa hana namna maana alikuwa anaitaka kwa udi na uvumba[emoji38]

Nilivyo fanikiwa kuingia pangoni asee mpaka leo hiyo kumbu kumbu haijanitoka kichwani mwangu.

Kwa ufupi mwezi mzima nilikuwa nawaza lile tendo mpaka naenda toi kwenye kioo najitazama kama ni mie nimepata ile rahaa[emoji38]

KWAKO NA WEWE[emoji847]
 
Kwenye mechi wote tulikuwa wageni Ila nilijifanya najua😅

Nilivyokuja kuweka Ile kitu baada ya purukushani ya kukosea njia na upinzani Toka upande wa pili nilienda speed zaidi ya maglev train(Shanghai maglev)267 mph nakuja kushusha mzigo nimeloa jasho na miguu inatetemeka😅
 
Kwenye mechi wote tulikuwa wageni Ila nilijifanya najua[emoji28]

Nilivyokuja kuweka Ile kitu baada ya purukushani ya kukosea njia na upinzani Toka upande wa pili nilienda speed zaidi ya maglev train(Shanghai maglev)267 mph nakuja kushusha mzigo nimeloa jasho na miguu inatetemeka[emoji28]
[emoji28][emoji28]asee ile kitu acha kabisaa
 
Back
Top Bottom