Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
we ni Malaya ?
Nimeuliza tu
Sawa uzeni.
Jamii yeyote haikosi kila aina ya watu wenye tabia fulani(nzuri/mbaya). Hata kwenye jamii forum yetu tupo tumejaa tele. Sote tunakandiana kadiri ya tupatapo nafasi ya kufanya hivyo.
Nakubaliana nawe.Sawa uzeni.
Jamii yeyote haikosi kila aina ya watu wenye tabia fulani(nzuri/mbaya). Hata kwenye jamii forum yetu tupo tumejaa tele. Sote tunakandiana kadiri ya tupatapo nafasi ya kufanya hivyo.
Imagine. Yaani umalaya wafanye watu wawili lawama kwa mmoja! What kind of thinking is that?Wapumbavuuu
Lijitu linanunua Malaya likishakojoa linaleta thread wanawake wote ma.laya🤣🤣
Tabia za mbwa dume huwa ni mchafu kwa asili
Yako radhi yakomalie jike moja afu yakishakojoa ndo akili zinarud
Nadhani ukipita kule kwa uzi wa rikiboy utaona shuhuda na uhalisia wa mambo, mzani unaweza usibalance vizuri ila kuna wanawake wanashuhudia kama haya yanayowekwa wazi na wanaume wengi kwenye michango yao humu.Nakubaliana nawe.
Humu wanaume hujiona saints! Wakijisahau tu utasikia nilimla mke wa rafiki yangu! Baadae rafiki zake wataanza ....
Mara nipo dodoma na mtoto mkali! Mke wake wa dar akitongozwa tu mnanunua mkaa gunia mbili.
Balance inahitajika
I smell vayolensi today ...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..run...Wapumbavuuu
Lijitu linanunua Malaya likishakojoa linaleta thread wanawake wote ma.laya[emoji1787][emoji1787]
Tabia za mbwa dume huwa ni mchafu kwa asili
Yako radhi yakomalie jike moja afu yakishakojoa ndo akili zinarud
Nimeupitia masihara mengine ni kama ubakaji! Na story nyingi anayeanzisha masihara ni mwanaune!Nadhani ukipita kule kwa uzi wa rikiboy utaona shuhuda na uhalisia wa mambo, mzani unaweza usibalance vizuri ila kuna wanawake wanashuhudia kama haya yanayowekwa wazi na wanaume wengi kwenye michango yao humu.
haa umetoa povu hatariiiMichango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
HahahaI smell vayolensi today ...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..run...
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo kazi tunayoWapumbavuuu
Lijitu linanunua Malaya likishakojoa linaleta thread wanawake wote ma.laya🤣🤣
Tabia za mbwa dume huwa ni mchafu kwa asili
Yako radhi yakomalie jike moja afu yakishakojoa ndo akili zinarud
YaaniYako radhi yakomalie jike moja afu yakishakojoa ndo akili zinarud😂😂😂😂
Hahahahammmmh kumekucha
Dear nikwambie kitu simu yangu imevunjika na huyuu baba mwenye nyumba anasumbua, ile gas mbona hujatuma boda boda ailete, akileta apitie nyama vitu vya kupika vimeisha na hii ni sms ya mwishoo maana kifurushi kinaisha mda si mrefu na sina vocha.Imagine. Yaani umalaya wafanye watu wawili lawama kwa mmoja! What kind of thinking is that?