Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili toto litake nn nisilipe mm makimuga 😋Totoo Lamomy si la mchezo mchezo bruh 😄🔥🔥🔥🔥
Itakuwa mnaendana kimo😅Hv sugu ni mkinga....halafu me napendaga watu kama kina sugu yaani Ana ubaba na ugentleman humohumo...taita kama taita
Na screenshot za evidence dadeq 😂😂😂Anaombwa hela ya vocha analeta uzi analiiia
Lamomy kuja huku 😄Hili toto litake nn nisilipe mm makimuga 😋
Haha acha wehu!Ebhanaeeeeeeeee embu tuone 👀👀😋
Kuna mmoja walimchapia demu kwa ujinga wake wa kuleta screenshot kudadeki 🤣🤣🤣🤣Na screenshot za evidence dadeq 😂😂😂
Wanaume wa jf wananichekesha sana!!!
Wenzao namba za simu tunapewa kupitia kwenye dollar, mwamba anaandika namba kwenye dollar 100 afu anakupa.
Huku sasa anakutumia kivocha cha afu tatu kesho unafungua jukwaa thread ya kwanza 🤣🤣🤣
Kingaboy yule 🤣🤣🤣Hv sugu ni mkinga....halafu me napendaga watu kama kina sugu yaani Ana ubaba na ugentleman humohumo...taita kama taita
Niuwe tu lamolove mamb mengine hata mbinguni yanaelezeka😂😂Ntakuchapa 😂😂😂
Inabidi nikufate mimi kama wewe hutaki, nimechoka kusikia eti versions za jf haziwezi kuwarusha mma🤣, hakikisha mlango uko wazi.Chitaki😆
Sijaongelea kimo mkuuu hiyo ni mipango ya MunguItakuwa mnaendana kimo😅
Yule ndugu ni kisturi,muda kidogo nashuka nae somewhere kwenye usafiri kakanigusa nabegi nageuka nyuma nikahisi katoto kanene flani ila utofauti ndevu.
Ushindweeeeee 😂Inabidi nikufate mimi kama wewe hutaki, nimechoka kusikia eti versions za jf haziwezi kuwarusha mma🤣, hakikisha mlango uko wazi.
Wehu wangu uko wapiHaha acha wehu!
Tawileee, Cha ajabu mashoga watu wa zuri kwao, Ila sisi tuliowazaa wabaya Kama hawajazaliwa na mwanamke., Mara kataa ndoa, lakini mzigo wanataka, hapo chacha.
We jua ni kati ya form 1 mpka 4. Yule "mbwa" hata sijui alipoWehu wangu uko wapi
Btw ulitolewa ukiwa kidato cha ngapi
Wivu huo lione 🤣🤣🤣Itakuwa mnaendana kimo😅
Yule ndugu ni kisturi,muda kidogo nashuka nae somewhere kwenye usafiri kakanigusa nabegi nageuka nyuma nikahisi katoto kanene flani ila utofauti ndevu.