Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Wii unatutisha au kwamba tunoe vibunoππππSubiri unogewe wewe km hujaanza kuacha kuomba pesa ππππ
Kaka zangu wanajua kuchachua mpk wanagombewa si umemuona sugu Faiza kila siku anakumbuka show yake π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Alooo!! Humu jf wenzio wote wana mipesa afu maboss hawafanyi kazi kokote, wao ndio wameajiri π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Naanzia wapi japo pesa sina naishi kama 5yrs tanzanian kids
Ka simu kako creditless Vile niombe pesa ya jojo ni recharge au nitumwe dukani nibanie pesa au nipate free wifi ya jirani niwasumbue humu.
Nikimtokea mrembo nitakula knockout in a sec,umaskini mbaya
Noeni vibuno hivo πππWii unatutisha au kwamba tunoe vibunoππππ
Na kilivo kigumu πππNgoja nianze zoeziNoeni vibuno hivo πππ
Na Wana magari mazuri woteeeAlooo!! Humu jf wenzio wote wana mipesa afu maboss hawafanyi kazi kokote, wao ndio wameajiri π€£π€£π€£
Wewe ndo wa kwanza nakusikia choka mbaya ππ
Wenzio wanakula hivohivo we endelea kuwanangaπππWanawake msio na matako afu wembamba kuweni na nidhamu maana hamjui adui yenu kuwa ni miili yenu na sio wanaume.
Tumatako kama ngumi afu unataka uheshimiwe....pumbavu kabsa
Sijui hata amepotelea wapiNamshukuru Mungu afya iko sawa
Hivi umemuona mama mchungaji?
Popote alipo mfikishie salamu zangu
πππNa Wana magari mazuri woteee
Kula bamia kilainike π€£π€£π€£Na kilivo kigumu πππNgoja nianze zoezi
Kwani wanawake hawawafanyi wanaume objects? Kila mtu ni object in one way or the otherMichango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
ππNa vilivo nying sahiz fungu la miatano mzigo huo nishindwe mie tu πKula bamia kilainike π€£π€£π€£
Afu nyingi BMW na Range πππNa Wana magari mazuri woteee
πππ si wamesikia mnataka kulainisha vibunoππNa vilivo nying sahiz fungu la miatano mzigo huo nishindwe mie tu π
Umesahau na crown na subaru....ππAfu nyingi BMW na Range πππ
Ndio maana sina ubavu wa ku type hata nyuzi za kuombwa 3k sababu sinaπ€£.Alooo!! Humu jf wenzio wote wana mipesa afu maboss hawafanyi kazi kokote, wao ndio wameajiri π€£π€£π€£
Wewe ndo wa kwanza nakusikia choka mbaya ππ
Missy Gf π€πMjep Punguza likes umeanza kuwa na tabia za raraa reree
πππWanatukomoa tukianza kula Kwa wingi utasikia Bamia 4 elf 3 ππππ si wamesikia mnataka kulainisha vibuno