Wanaume jueni ukweli huu ya wanawake utawasaidia

Hakuna kujikataa hapa, ni kisasi tyuuh tit 4 tat

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kwanza umemchambua mwanamke mmoja in detail kuliko mwingine, jaribu kubalance story
 
Hakuna kujikataa hapa, ni kisasi tyuuh tit 4 tat

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Duuuh...haya mambo haya, ule usemi, NDOA ndio vita pekee unalala na adui kitanda kimoja inatimilika na kisasi ujue. Hii mambo za kufia usingizi hazitaisha....waombolezaji huwa wanasema, jamaa kafa kifo safi kabisa bila tabu, kumbe kisasi😭
 
Ukweli kinachofiata ni kisasi,wanaume mkubali mkatae saikolojia ndio inanyoosha maelezo
Inagopesha pale maandiko yanapo tanapotanabahisha kua wanawake watuheshimu tu na siyo kutupenda hapo pananiogopesha
Halafu tunaenda hovyohovyo. Wanawake ndio wanapenda wanaume hawafanyi lolote wanasubiri kupendwa na kuheshimiwa. Hatutapata amani mpk tutakapofuata maandiko.
 
Good point my brother
 

Poleee.

Jifanyie namna ya kufurahia maisha hapohapo ulipo, uliyonayo ni leo tuu iishi. Ukiipata kesho nayo unaitengeneza kiasi ulale na tabasamu.

Alamsiki.
 
Dah! Pole sana mkuu
 
Tuliambiwa tuishi nawo kwa akili wale ambao unawakuta hawajatumika,
Ila Hawa waliyotumika inahitaji nguvu ya ziada sana!
Sure, mwanamke bikra nahisi ukimuoa utaishi nae muda mrefu ila sio ambayo ni used ni wachache sanaa, kwa uzoefu wangu kwa wanawake bikra niliokutana nao mpaka leo tunaheshimiana sana, naona kuna ukweli sana kwenye kuoa bikra
 
Mwanamke hakupewa kupenda, ndio maana si kawaida atoke kuposa ama kuoa mwanamume "ampendaye."

Sio kila mwanamke afaa kuwa mke, hivyo hizo ngonjera za mwanamke anayependa kutembea na wanaume mbalimbali hazina uhusiano na mke wa ndoa.

Umeanza na nukuu ya maandiko lakini sidhani hata kama unaelewa maana ya hiyo nukuu. Ingawa watu wote wanapenda kuitumia nukuu hiyo, lakini ukweli ni kuwa imenenwa kwa ajili ya wale wanaoijua kweli tu. Tafakari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…