Wanaume karibuni tutengeneze na kunywa juice ya mchanganyiko huu

Wanaume karibuni tutengeneze na kunywa juice ya mchanganyiko huu

Mahitaji:
Vitunguu swaumu kadri uwezavyo
Tangawizi kadri uwezavyo
Asali mbichi kwa ajili ya ladha.

Andaa viungo vyako (vitunguu na tangawizi), weka kwenye blender na maji ya kutosha. Saga hadi itengeneze juice/uji fulani hivi.

Chuja kwa kutumia chujio upate juice. Weka asali kwa kiwango ambacho ladha ya juice itakaa poa.

Umemaliza.

Advantages: Vitunguu swaumu na tangawizi zina active ingredients allicin na gingerol respectively.

Zinasaidia msukumo wa damu kuwa mzuri, mishipa ya damu kurelax (vasodilatation). Hii ni kwenye peripheral blood vessels including hapo chini kwa jamaa.

Zinasaidia wale wenye kisukari kupata glycemic control nzuri na inastabilize blood pressure. (Inapunguza Total Peripheral Resistance)

Ni antioxidants hivyo zinasaidia kuscavenge harmful free radicals, reactive oxygen species. Inapunguza hatari ya kupata cancer kwa kiasi chake.

Na faida nyingine nyingi

Kwa watakaokuwa interested mnaweza mkaingia scholar.google.com mkacheki articles kuhusu tangawizi na vitunguu swaumu.

Karibuni
View attachment 1351108

Sent using Jamii Forums mobile app
Je maji yanakua ya moto ??
 
Karanga zinaongeza nyege zinafanya mtu awahi kukojoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Safuher, mnanichanganya sana, niliwahi kuambia niwe nakula karanga zinasaidia kuboresha afya ya Uzazi ya mwanaume, sasa unaposema zinafanya mtu awahi kukojoa maana yake ni kwamba hazifai !!, hebu maelezo kidogo labda sijaelewa mimi.
 
K

Khantwe, sasa wewe unataka nini ?, mbona mnapenda sana kushindana wanawake wa zama hizi ?, nyinyi na mambo yenu nani huwa anawafuatilia ?, na isitoshe nyinyi mko vizuri hamnaga shida na mambo haya, wewe ukilala tu umemeliza kazi yako, waacheni wababa watafute ahueni
Mbona povu.
 
Back
Top Bottom