Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #101
Aroooh hiii Kali haya mwaya ukioa tualike wenzio tukale ndafuSina mpenzi, sijawahi.kiua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aroooh hiii Kali haya mwaya ukioa tualike wenzio tukale ndafuSina mpenzi, sijawahi.kiua
Si nimeulizwa jf aisee.Aroooh hiii Kali haya mwaya ukioa tualike wenzio tukale ndafu
😂😂😂View attachment 2513024
Mbona hivi hivi mzuri TU wewe.😁
Sophy 27 ila anaongeza 10.Mm sijaelewa 😂
Mimi mzee shauriyakoSophy 27 ila anaongeza 10.
Unataka kuninyima nn Mimi ?😂Mimi mzee shauriyako
Ungeweka picha badala ya maelezo ingependezaWanaume je kati ya Hawa mnapenda Kwa moyo nani.
Mrefu mwembamba ,
Mrefu mweupe mwembamba
Mweusi mrefu mwembamba
Au saizi ya kati mweupe mwembamba
Saizi ya kati mnene mwenye shepu mweupe
Au mweupe mfupi mnene au mweusi mfupi mweupe mwembamba , au mfupi mweupe mnene , ?? Ugonjwa uko wapi??
Wadada je unataka mtu mrefu mweupe mwembamba au mweusi mrefu mwembamba au mweusi mnene , au mweupe mnene , au body fighters mweusi mwembamba, ugonjwa wako uko wapi??😁
Bagia😀Unataka kuninyima nn Mimi ?😂
Bagia😀
Mengine yamechongokaKwani kuna wenye masikio ya mstatili
HayaSi nimeulizwa jf aisee.
Acha waendelee kujiongopea[emoji3059]Wametusema wanyakyusa Leo balaa