Wanaume kitu gani kinawafanya muogope mnapokua kwenye mahusiano Na mwanamke aliyekuzidi kipato

Wanaume kitu gani kinawafanya muogope mnapokua kwenye mahusiano Na mwanamke aliyekuzidi kipato

Miss_Mariaah

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
2,176
Reaction score
4,979
Hello JF,

Wanaume kwanini mnakuwa hamjiamini ukiwa kwenye mahusiano Na mwanamke au ukioa mke aliyekuzidi kipato ingawa unakuta anakuheshim vizurii.

inferiority inampelekea mpaka mwanaume kuanza kumnyanyasa mwanamke kimwili,kiakili Na kihisia....why ebu mtusanue
 
Hello JF,

Wanaume kwanini mnakuwa hamjiamini ukiwa kwenye mahusiano Na mwanamke au ukioa mke aliyekuzidi kipato ingawa unakuta anakuheshim vizurii.

inferiority inampelekea mpaka mwanaume kuanza kumnyanyasa mwanamke kimwili,kiakili Na kihisia....why ebu mtusanue
Wengi mnakimbilia kwenye weak inferiority, sijui nani kawadanganya!

Iko hivi, kwa asili mwanaume anapenda mwanamke mwenye haiba za kike(tabia za asili za kike).
Heshima, kujishusha, utii hivi ni vitu vya kawaida kwa wenye haiba za kike. (haitaji semina toka kwa chris mauki)
Hata mashoga wako more romantic kuliko wanawake sijui walio soma, au wenye pesa.

Ni ngumu kwa mwanaume kuishi na mwanamke mwenye sifa za kiume, hiyo ni ngumu mnoooo,
Bila kujali una pesa, elimu au uzuri, cheo.
Hata kama utakuwa naye ni suala la muda tu, lazima atafute mwenye ukike kike zaidi.
Atakwenda kule uanaume wake unako kamilishwa.
Kukosa haiba za kike, ni kukosa kuwa na radha kitandani pia.

Sasa ya nin kuhangaika kufukuzia mtu ambaya najua hata utamu hana?
Wewe ongea yako ni kama kamanda wa jeshi na makuruta wake,
Unapenda kukasirika ovyo,
kupenda ugomvi kila wakati
kusababisha kelele za kila wakati,
wewe ndio mtungaji na mtoaji wa sheria, na mwanaume ni mtekelezaji
yaani mwanamke mflame mwanaume mtumwa!

Wakati huo huo kuna mtoto;
anaongea kwa sauti nyororo
Ana aibu zile za kike kike,
yuko natural
Ana lugha rafiki(hakuna ubabe)
mvumilivu wa mambo
Ni chanzo kikuuu cha faraja.
hata kulalamika ana lalamika kwa mahaba!!!




Pesa haitaki kelele!
 
Akikuzidi kipato ni asilimia chache sana utaishi kwa amani

Mifano ipo kibao
Mke asiye na pesa siku akizingua anaumiza moyo wa mume zaidi kuliko mwenye pesa. Mume hufikilia jinsi alivyomvumilia pamoja na umaskini wake , halafu anazingua!!

Ndo unasikia mke kachomwa na gunia la mkaa au kakatwa mikono yote 2.
 
Kiasili ni mme ndio muhudumia familia, so Mwanamke kuwa na kipato zaidi ya mme inashusha hadhi ya mwanaume, seems like a man doesn't take his role seriously, hapa mwanamke anazaa, anatafuta hela zaidi na kulea familia, she bears a great burden, hivyo dharau inamuangukia mwanaume. Unakufa ndani kwa ndani mazima.
 
Hello JF,

Wanaume kwanini mnakuwa hamjiamini ukiwa kwenye mahusiano Na mwanamke au ukioa mke aliyekuzidi kipato ingawa unakuta anakuheshim vizurii.

inferiority inampelekea mpaka mwanaume kuanza kumnyanyasa mwanamke kimwili,kiakili Na kihisia....why ebu mtusanue
Mm napenda mwanamke mwenye pesa, kazi ni moja tu, kujituma on bed, bills zote settled
 
Back
Top Bottom