mcshonde
Member
- Jul 15, 2022
- 66
- 154
Jamani, hivi karibuni nilipost instagram video tatu za vijana ambao wameshtukiwa baada ya kujifanya wanawake kisha kuwaomba pesa washkaji bar.
Mademu hao vidume huwa wanategea mtu alewe kisha wanakubaliana naye kwenda kulala na ndipo ataomba pesa ya kinywaji, mara pesa ya kumnunua..nk..ndipo wakati wa kuondoka atajifanya period imeanza ghafla.
Sasa hii tabia ingawa kwa bongo haijathibitika ila naamini kuna wana kibao tu wanaingia mkenge kwa hawa wahuni wanaojiremba kuzidi hata wanawake.
Sasa sijui tatizo ni ugumu wa maisha au ndo mazoea ya kupenda utelezi?
Mademu hao vidume huwa wanategea mtu alewe kisha wanakubaliana naye kwenda kulala na ndipo ataomba pesa ya kinywaji, mara pesa ya kumnunua..nk..ndipo wakati wa kuondoka atajifanya period imeanza ghafla.
Sasa hii tabia ingawa kwa bongo haijathibitika ila naamini kuna wana kibao tu wanaingia mkenge kwa hawa wahuni wanaojiremba kuzidi hata wanawake.
Sasa sijui tatizo ni ugumu wa maisha au ndo mazoea ya kupenda utelezi?