Wanaume kujifanya wanawake Bar

Wanaume kujifanya wanawake Bar

mcshonde

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
66
Reaction score
154
Jamani, hivi karibuni nilipost instagram video tatu za vijana ambao wameshtukiwa baada ya kujifanya wanawake kisha kuwaomba pesa washkaji bar.

Mademu hao vidume huwa wanategea mtu alewe kisha wanakubaliana naye kwenda kulala na ndipo ataomba pesa ya kinywaji, mara pesa ya kumnunua..nk..ndipo wakati wa kuondoka atajifanya period imeanza ghafla.

Sasa hii tabia ingawa kwa bongo haijathibitika ila naamini kuna wana kibao tu wanaingia mkenge kwa hawa wahuni wanaojiremba kuzidi hata wanawake.

Sasa sijui tatizo ni ugumu wa maisha au ndo mazoea ya kupenda utelezi?


images (1).jpeg
 
Jamani, hivi karibuni nilipost instagram video tatu za vijana ambao wameshtukiwa baada ya kujifanya wanawake kisha kuwaomba pesa washkaji bar. Mademu hao vidume huwa wanategea mtu alewe kisha wanakubaliana naye kwenda kulala na ndipo ataomba pesa ya kinywaji, mara pesa ya kumnunua..nk..ndipo wakati wa kuondoka atajifanya period imeanza ghafla. Sasa hii tabia ingawa kwa bongo haijathibitika ila naamini kuna wana kibao tu wanaingia mkenge kwa hawa wahuni wanaojiremba kuzidi hata wanawake. Sasa sijui tatizo ni ugumu wa maisha au ndo mazoea ya kupenda utelezi?
View attachment 2406499
Acha ufala huyo jamaa ni raia wa Uganda issue imetokea juzi,unaleta Habari za uongo JF
 
Ni kujiendekeza tu kwani, haya maisha Kuna ambaye ni mepesi kwake??
 
Kizazi cha sasa wanapenda sana muonekano mzuri kuanzia mavazi, nywele, ngozi.. Hilo linapunguza testosterone
 
Acha ufala huyo jamaa ni raia wa Uganda issue imetokea juzi,unaleta Habari za uongo JF
Kweli mkuu umempa Red Flag,

Huyo jamaa issue imetokea UG amefanya kazi km mwanamke kwa miaka 3 bila kugunduliwa, amegunduliwa mwaka huu kua yeye sio mwanamke ila ni mwanaume

Alipohojiwa sababu za kufanya hivyo alidai ni ugumu wa maisha na kukosa ajira ikabidi ajifanye mwanamke ili apate kazi,
 
Jamani, hivi karibuni nilipost instagram video tatu za vijana ambao wameshtukiwa baada ya kujifanya wanawake kisha kuwaomba pesa washkaji bar.

Mademu hao vidume huwa wanategea mtu alewe kisha wanakubaliana naye kwenda kulala na ndipo ataomba pesa ya kinywaji, mara pesa ya kumnunua..nk..ndipo wakati wa kuondoka atajifanya period imeanza ghafla.

Sasa hii tabia ingawa kwa bongo haijathibitika ila naamini kuna wana kibao tu wanaingia mkenge kwa hawa wahuni wanaojiremba kuzidi hata wanawake.

Sasa sijui tatizo ni ugumu wa maisha au ndo mazoea ya kupenda utelezi?


View attachment 2406499
Yani huyo ni mrembo 🤣🤣
 
Back
Top Bottom