Wanaume kuleni parachichi, ndizi mbivu, korosho, tangawizi na vitunguu swaumu. Mtakuja kunishukuru

Wanaume kuleni parachichi, ndizi mbivu, korosho, tangawizi na vitunguu swaumu. Mtakuja kunishukuru

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Wakati mwingine wake zenu wanaondoka majumbani kwenu bila kuaga,hawasikii mnapo waambia na hawa watii kwasababu kuna majukumu muhimu sana hamyatimizi ipasavyo.

Huko walikotoka wanaume wenzetu ambao ndio baba wakwe zetu,walitimiza majukumu yao,kwa maana malezi ya hawa warembo,walipata makazi na mavazi na mahitaji mengine yote ambayo walipaswa kuyafanya kama wazazi.

Lakini kuna mahitaji muhimu kama wanadamu ambayo ni jukumu la wanandoa kutimiziana, sasa bahati mbaya sana hao tuliopewa jukumu hilo ambalo tumelitaka wenyewe kwa hiari yetu, na mahari tukatoa na taratibu zote kufuatwa, bahati mbaya sana tunajikuta hatutimizi majukumu yetu vizuri.

Tatizo ni kwamba badala ya kula lishe bora na udambwi udambwi ambao utahimarisha afya yetu ya uzazi, kinyume chake tunabugia yale maji ambayo hubadilisha akili zetu na kujiona tunafurahisha nafsi zetu kumbe tunajiua taratibu, machipsi kwa kwenda mbele yenye mafuta kedekede, mazoezi hatufanyi basi mwisho wa siku tunafeli.

Ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unachangiwa sana na lishe bora,matunda kwa wingi, na mlo kamili ambao unavirutubisho vyote, na kula vitu ambavyo vinachangia sana kuboresha afya yetu ya uzazi,kunywa mchuzi wa pweza kama burudani tu lakini sio ndio tunadhani ndio dawa, maana wabongo kwa kupenda shoti kati hatujambo.

Mwanamke hatakiwi kuonewa huruma linapokuja swala la kupeana mianzi,yaani mianzi kwa kwenda mbele,ni bora aombe poo yeye lakini sio wewe kuomba poo, utafeli. Yaani inatakiwa na ni bora mwanamke ashitaki kwa mashoga zake kuwa baba fulani amezidi kunaniliu kuliko aseme mwenzenu baba fulani yaan siku ya tano leo hajanigusa, utafeli big time!

Haya maudambwi udambwi nimekwambia,kula ndizi mbivu ikiwezekana kila siku moja, parachichi kwa wingi, korosho, tangawizi ukiweza kusaga na kuchanganya na asali sawa] au kutafuna yenyewe sawa,mdalasini na asali nayo inaleta sana hamu,jaribu utanishukuru,vitunguu swaumu kula walau punje mbili au tatu kwa siku[ ukiweza kusaga na kuchanga na asali sawa]

Na mazoezi wadau basi tusisahau,tuwe kama wahispania yaani unaweza kudhani wote ni wanariadha, kukimbia kwao ni kama kula, nawapenda sana, nami alhamdulillah nafanya jogging walau mara tatu au nne kwa wiki.

Kumbuka ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unaenda sambamba na mzunguko mzuri wa damu, kwahiyo mazoezi, na hivyo nilivyotaja hapo juu huchangia sana mzunguko uwe mzuri na ufanisi uwe mzuri,kuna mengi yapo zaidi ya hayo niliyo taja.

Ni hayo tu!
 
Mkuu hapa nimetoka nunua godoro...
Ila ikabaki kama 30k hivi hapa nawaza kitu an umeongea point sana maana kuna katoto hapa kanavaa miwani nakavizia aiseeee....

Mkuu kama ni kweli hili suala lina ukweli basi jua una pongezi yako...

Japo sijasoma mpaka mwisho ila najua ni ishu ya mnazi...

images (9).jpeg
 
HIzi mentality ndio zinafanya vijana wapake mikongo. Kuoverrate ngono kila mtu anajifanya mtabe kumridhisha mwanamke. Sometime wanawake nao wanateseka wanachubuka yani ngono kama vita....
Wengine miili yetu ipo ngangari muda wote.Muda ninao amka.Mwendo ninaotembea na kazi nizifanyazo ni zoezi tosha na nguvu huji-generate moja kwa moja.
 
Wakati mwingine wake zenu wanaondoka majumbani kwenu bila kuaga,hawasikii mnapo waambia na hawa watii kwasababu kuna majukumu muhimu sana hamyatimizi ipasavyo.

Huko walikotoka wanaume wenzetu ambao ndio baba wakwe zetu,walitimiza majukumu yao,kwa maana malezi ya hawa warembo,walipata makazi na mavazi na mahitaji mengine yote ambayo walipaswa kuyafanya kama wazazi.

Lakini kuna mahitaji muhimu kama wanadamu ambayo ni jukumu la wanandoa kutimiziana,sasa bahati mbaya sana hao tuliopewa jukumu hilo ambalo tumelitaka wenyewe kwa hiari yetu,na mahari tukatoa na taratibu zote kufuatwa,bahati mbaya sana tunajikuta hatutimizi majukumu yetu vizuri.

Tatizo ni kwamba badala ya kula lishe bora na udambwi udambwi ambao utahimarisha afya yetu ya uzazi, kinyume chake tunabugia yale maji ambayo hubadilisha akili zetu na kujiona tunafurahisha nafsi zetu kumbe tunajiua taratibu,machipsi kwa kwenda mbele yenye mafuta kedekede,mazoezi hatufanyi basi mwisho wa siku tunafeli.

Ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unachangiwa sana na lishe bora,matunda kwa wingi,na mlo kamili ambao unavirutubisho vyote,na kula vitu ambavyo vinachangia sana kuboresha afya yetu ya uzazi,kunywa mchuzi wa pweza kama burudani tu lakini sio ndio tunadhani ndio dawa,maana wabongo kwa kupenda shoti kati hatujambo.

Mwanamke hatakiwi kuonewa huruma linapokuja swala la kupeana mianzi,yaani mianzi kwa kwenda mbele,ni bora aombe poo yeye lakini sio wewe kuomba poo,utafeli.

Yaani inatakiwa na ni bora mwanamke ashitaki kwa mashoga zake kuwa baba fulani amezidi kunaniliu kuliko aseme mwenzenu baba fulani yaan siku ya tano leo hajanigusa,,utafeli big time!

Haya maudambwi udambwi nimekwambia,kula ndizi mbivu ikiwezekana kila siku moja,parachichi kwa wingi,korosho,tangawizi [ukiweza kusaga na kuchanganya na asali sawa] au kutafuna yenyewe sawa,mdalasini na asali nayo inaleta sana hamu,jaribu utanishukuru,vitunguu swaumu kula walau punje mbili au tatu kwa siku[ ukiweza kusaga na kuchanga na asali sawa]


Na mazoezi wadau basi tusisahau,tuwe kama wahispania yaani unaweza kudhani wote ni wanariadha,kukimbia kwao ni kama kula,nawapenda sana,,,nami alhamdulillah nafanya jogging walau mara tatu au nne kwa wiki.

Kumbuka ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unaenda sambamba na mzunguko mzuri wa damu,kwahiyo mazoezi,na hivyo nilivyotaja hapo juu huchangia sana mzunguko uwe mzuri na ufanisi uwe mzuri,kuna mengi yapo zaidi ya hayo niliyo taja.

Ni hayo tu!
Aiiiiiiiiii uko wapi ........
 
Wakati mwingine wake zenu wanaondoka majumbani kwenu bila kuaga,hawasikii mnapo waambia na hawa watii kwasababu kuna majukumu muhimu sana hamyatimizi ipasavyo.

Huko walikotoka wanaume wenzetu ambao ndio baba wakwe zetu,walitimiza majukumu yao,kwa maana malezi ya hawa warembo,walipata makazi na mavazi na mahitaji mengine yote ambayo walipaswa kuyafanya kama wazazi.

Lakini kuna mahitaji muhimu kama wanadamu ambayo ni jukumu la wanandoa kutimiziana,sasa bahati mbaya sana hao tuliopewa jukumu hilo ambalo tumelitaka wenyewe kwa hiari yetu,na mahari tukatoa na taratibu zote kufuatwa,bahati mbaya sana tunajikuta hatutimizi majukumu yetu vizuri.

Tatizo ni kwamba badala ya kula lishe bora na udambwi udambwi ambao utahimarisha afya yetu ya uzazi, kinyume chake tunabugia yale maji ambayo hubadilisha akili zetu na kujiona tunafurahisha nafsi zetu kumbe tunajiua taratibu,machipsi kwa kwenda mbele yenye mafuta kedekede,mazoezi hatufanyi basi mwisho wa siku tunafeli.

Ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unachangiwa sana na lishe bora,matunda kwa wingi,na mlo kamili ambao unavirutubisho vyote,na kula vitu ambavyo vinachangia sana kuboresha afya yetu ya uzazi,kunywa mchuzi wa pweza kama burudani tu lakini sio ndio tunadhani ndio dawa,maana wabongo kwa kupenda shoti kati hatujambo.

Mwanamke hatakiwi kuonewa huruma linapokuja swala la kupeana mianzi,yaani mianzi kwa kwenda mbele,ni bora aombe poo yeye lakini sio wewe kuomba poo,utafeli.

Yaani inatakiwa na ni bora mwanamke ashitaki kwa mashoga zake kuwa baba fulani amezidi kunaniliu kuliko aseme mwenzenu baba fulani yaan siku ya tano leo hajanigusa,,utafeli big time!

Haya maudambwi udambwi nimekwambia,kula ndizi mbivu ikiwezekana kila siku moja,parachichi kwa wingi,korosho,tangawizi [ukiweza kusaga na kuchanganya na asali sawa] au kutafuna yenyewe sawa,mdalasini na asali nayo inaleta sana hamu,jaribu utanishukuru,vitunguu swaumu kula walau punje mbili au tatu kwa siku[ ukiweza kusaga na kuchanga na asali sawa]


Na mazoezi wadau basi tusisahau,tuwe kama wahispania yaani unaweza kudhani wote ni wanariadha,kukimbia kwao ni kama kula,nawapenda sana,,,nami alhamdulillah nafanya jogging walau mara tatu au nne kwa wiki.

Kumbuka ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unaenda sambamba na mzunguko mzuri wa damu,kwahiyo mazoezi,na hivyo nilivyotaja hapo juu huchangia sana mzunguko uwe mzuri na ufanisi uwe mzuri,kuna mengi yapo zaidi ya hayo niliyo taja.

Ni hayo tu!
Wakati wewe unakula ivyo vyote yeye anakula nini? Wakati unafanya jitihada zote izo kumridhisha yeye anafanya jitihada gani?

Women are not logical, that is why great philosophers never really kept women in serious relationships, and I have never heard of a woman philosopher. Have you ever heard of one?

Women want money, that's their number one priority. If monkies had money Women will be calling them babe there in the jungle
 
Back
Top Bottom