Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Na kubwa zaidi kuliko yote Ni tutafute pesa kwa bidii sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu kwa ushauriWakati mwingine wake zenu wanaondoka majumbani kwenu bila kuaga,hawasikii mnapo waambia na hawa watii kwasababu kuna majukumu muhimu sana hamyatimizi ipasavyo.
Huko walikotoka wanaume wenzetu ambao ndio baba wakwe zetu,walitimiza majukumu yao,kwa maana malezi ya hawa warembo,walipata makazi na mavazi na mahitaji mengine yote ambayo walipaswa kuyafanya kama wazazi.
Lakini kuna mahitaji muhimu kama wanadamu ambayo ni jukumu la wanandoa kutimiziana,sasa bahati mbaya sana hao tuliopewa jukumu hilo ambalo tumelitaka wenyewe kwa hiari yetu,na mahari tukatoa na taratibu zote kufuatwa,bahati mbaya sana tunajikuta hatutimizi majukumu yetu vizuri.
Tatizo ni kwamba badala ya kula lishe bora na udambwi udambwi ambao utahimarisha afya yetu ya uzazi, kinyume chake tunabugia yale maji ambayo hubadilisha akili zetu na kujiona tunafurahisha nafsi zetu kumbe tunajiua taratibu,machipsi kwa kwenda mbele yenye mafuta kedekede,mazoezi hatufanyi basi mwisho wa siku tunafeli.
Ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unachangiwa sana na lishe bora,matunda kwa wingi,na mlo kamili ambao unavirutubisho vyote,na kula vitu ambavyo vinachangia sana kuboresha afya yetu ya uzazi,kunywa mchuzi wa pweza kama burudani tu lakini sio ndio tunadhani ndio dawa,maana wabongo kwa kupenda shoti kati hatujambo.
Mwanamke hatakiwi kuonewa huruma linapokuja swala la kupeana mianzi,yaani mianzi kwa kwenda mbele,ni bora aombe poo yeye lakini sio wewe kuomba poo,utafeli.
Yaani inatakiwa na ni bora mwanamke ashitaki kwa mashoga zake kuwa baba fulani amezidi kunaniliu kuliko aseme mwenzenu baba fulani yaan siku ya tano leo hajanigusa,,utafeli big time!
Haya maudambwi udambwi nimekwambia,kula ndizi mbivu ikiwezekana kila siku moja,parachichi kwa wingi,korosho,tangawizi [ukiweza kusaga na kuchanganya na asali sawa] au kutafuna yenyewe sawa,mdalasini na asali nayo inaleta sana hamu,jaribu utanishukuru,vitunguu swaumu kula walau punje mbili au tatu kwa siku[ ukiweza kusaga na kuchanga na asali sawa]
Na mazoezi wadau basi tusisahau,tuwe kama wahispania yaani unaweza kudhani wote ni wanariadha,kukimbia kwao ni kama kula,nawapenda sana,,,nami alhamdulillah nafanya jogging walau mara tatu au nne kwa wiki.
Kumbuka ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unaenda sambamba na mzunguko mzuri wa damu,kwahiyo mazoezi,na hivyo nilivyotaja hapo juu huchangia sana mzunguko uwe mzuri na ufanisi uwe mzuri,kuna mengi yapo zaidi ya hayo niliyo taja.
Ni hayo tu!
Umenichekesha sana mkuuNgono is overrated mkuu. WaTz tunaendekeza sana ngono yani muda wote tuna nyege.... Huo ugali maharage nadhani una madhara kiakili...
Mkuu hii kali nami sijawahi kuona wala kumsikia Philosopher yeyote wa kike.Wakati wewe unakula ivyo vyote yeye anakula nini? Wakati unafanya jitihada zote izo kumridhisha yeye anafanya jitihada gani?
Women are not logical, that is why great philosophers never really kept women in serious relationships, and I have never heard of a woman philosopher. Have you ever heard of one?
Women want money, that's their number one priority. If monkies had money Women will be calling them babe there in the jungle
Wakati huo mwanamke anakunywa maji ya bamia na kula mlenda, ndizi na nyanyachungu kwa wingi bila kusahau kunywa maji mengi.Wakati wewe unakula ivyo vyote yeye anakula nini? Wakati unafanya jitihada zote izo kumridhisha yeye anafanya jitihada gani?
Women are not logical, that is why great philosophers never really kept women in serious relationships, and I have never heard of a woman philosopher. Have you ever heard of one?
Women want money, that's their number one priority. If monkies had money Women will be calling them babe there in the jungle
Sikutaka kabisa kuchangia chochote katika uzi wangu lkn imenibidi nichangie kwa kuweka jambo moja sawa.Wakati wewe unakula ivyo vyote yeye anakula nini? Wakati unafanya jitihada zote izo kumridhisha yeye anafanya jitihada gani?
Women are not logical, that is why great philosophers never really kept women in serious relationships, and I have never heard of a woman philosopher. Have you ever heard of one?
Women want money, that's their number one priority. If monkies had money Women will be calling them babe there in the jungle
Umenidindisha KIMAKUUH wewe Bibiee!😋😋Ili mtu t0mb€ vi kvma vyetu vilie nyamwi...nyamwi..nyamwii😌
Umenidindisha KIMAKUUH wewe Bibiee!😋😋
Mkuu mimi nimekuelewa na nakwenda kufanyia kazi haraka sana. Ubarikiwe kwa madini adimu kiasi hiki.Sikutaka kabisa kuchangia chochote katika uzi wangu lkn imenibidi nichangie kwa kuweka jambo moja sawa.
Kama unadhan wanawake wanaridhika na hela tu, basi wake wa matajir wasingekuwa wanagongwa na wahuni choka mbaya.
Kama wanawake wangekuwa wanaridhika na hela tu,basi wasinge lalamika kuwa wanaume wao hawawagusi au hawana nguvu za kiume
Naweza kuongea mengi hapa lkn niishie hapa,guys ukwel usiopingika wanawake wanapenda sana mianzi tena sana,ndio maana usipompa mianzi ya kutosha ujue atapigwa mianzi kwingine,tatizo huwa hawako huru kueleza hisia zao kwamba wanataka mianzi
Mfano wife alinipa kisa cha best yake,kuwa kuna siku moja yupo na mwamba wake,huyo demu wakiwa na mumewe sebuleni,basi mke akaenda kuchukua rimoti mezani huku ameinama lengo ni kumchokoza jamaa apige mianzi huo usiku,so huyo mwanamke akawa analalamika kwa wife kuwa "yaani nimebong'oa kumtega mume kuwa nataka mianzi lkn yeye hajaelewa,yaan kanikera kweli" mwisho wa kunukuu,unaona hayo mazingira,kwahiyo mke anaweza taka sex lkn asikwambie moja kwa moja,haya just imagine leo huelewi kesho huelewi unadhan kesho kutwa mhuni ampi mianzi mkeo?
Mimi wife ni best yangu so hunaiambia mambo mengi,hata huko kwenye magroup yao ya whatsup,wanaelezea changamoto zao mbali mbali katika ndoa na mahusiano yao,kiufupi wanapenda sana mianzi.
Siku moja nilikuwa kariakoo kwenye duka moja la nguo za ndani za kike,nikasikia wadada wawili,mmoja anasema "hii nguo nzur kweli kwa kumtega mume" mwisho wa kunukuu,hapo wanatafuta nguo za kukutega,kwa maana wanatumia code uwapige mianzi,je ni wangapi wanaelewa hizo code?
Ndio maana kwakuwa huwa wana aibu kuomba sex,basi wewe piga mianzi mwanzo mwisho.
Mwisho tembelea youtube katika chanel za mahusiano kisha soma comment za wanawake uone jinsi wanavyolalamika kuhusu kutoguswa na waume zao
Sito comment tena chochote,nitabakia kuwa msomaji
Asante
Ahsante Mamii!!Hahahaha polee
Haujaelewa nilichomaanisha., nimeuliza wakati wewe unafanya jitihada zote yeye anafanya jitihada gani? Sex ni kitendo cha kushirikiana. Umekula miogo mibichi, maparachichi, karanga n.k yeye kala nini?Sikutaka kabisa kuchangia chochote katika uzi wangu lkn imenibidi nichangie kwa kuweka jambo moja sawa.
Kama unadhan wanawake wanaridhika na hela tu, basi wake wa matajir wasingekuwa wanagongwa na wahuni choka mbaya.
Kama wanawake wangekuwa wanaridhika na hela tu,basi wasinge lalamika kuwa wanaume wao hawawagusi au hawana nguvu za kiume
Naweza kuongea mengi hapa lkn niishie hapa,guys ukwel usiopingika wanawake wanapenda sana mianzi tena sana,ndio maana usipompa mianzi ya kutosha ujue atapigwa mianzi kwingine,tatizo huwa hawako huru kueleza hisia zao kwamba wanataka mianzi
Mfano wife alinipa kisa cha best yake,kuwa kuna siku moja yupo na mwamba wake,huyo demu wakiwa na mumewe sebuleni,basi mke akaenda kuchukua rimoti mezani huku ameinama lengo ni kumchokoza jamaa apige mianzi huo usiku,so huyo mwanamke akawa analalamika kwa wife kuwa "yaani nimebong'oa kumtega mume kuwa nataka mianzi lkn yeye hajaelewa,yaan kanikera kweli" mwisho wa kunukuu,unaona hayo mazingira,kwahiyo mke anaweza taka sex lkn asikwambie moja kwa moja,haya just imagine leo huelewi kesho huelewi unadhan kesho kutwa mhuni ampi mianzi mkeo?
Mimi wife ni best yangu so hunaiambia mambo mengi,hata huko kwenye magroup yao ya whatsup,wanaelezea changamoto zao mbali mbali katika ndoa na mahusiano yao,kiufupi wanapenda sana mianzi.
Siku moja nilikuwa kariakoo kwenye duka moja la nguo za ndani za kike,nikasikia wadada wawili,mmoja anasema "hii nguo nzur kweli kwa kumtega mume" mwisho wa kunukuu,hapo wanatafuta nguo za kukutega,kwa maana wanatumia code uwapige mianzi,je ni wangapi wanaelewa hizo code?
Ndio maana kwakuwa huwa wana aibu kuomba sex,basi wewe piga mianzi mwanzo mwisho.
Mwisho tembelea youtube katika chanel za mahusiano kisha soma comment za wanawake uone jinsi wanavyolalamika kuhusu kutoguswa na waume zao
Sito comment tena chochote,nitabakia kuwa msomaji
Asante
Aaah wapi., wanawake wanafakamia chipsi, piza, sodaWakati huo mwanamke anakunywa maji ya bamia na kula mlenda, ndizi na nyanyachungu kwa wingi bila kusahau kunywa maji mengi.
Tafuta mbingu yako we mshenzi😂😂😂😂 nisikukute kuleIli mtu t0mb€ vi kvma vyetu vilie nyamwi...nyamwi..nyamwii😌
Na usije motoni kwetu kuomba moto wa ku chomea mahindi😅Tafuta mbingu yako we mshenzi😂😂😂😂 nisikukute kule
Hatukuli Chakula kwa BabaNa usije motoni kwetu kuomba moto wa ku chomea mahindi😅
Viongozi wana amua ujinga na wanapiga pesa kirahisi kwasababu wananchi wao wako bize kupambana kuridhisha viumbe vinavyo jichomekea matango yani kubwa zima una amka badala ya kufanya innovation ya jambo la maana wewe unagundua kuchanganya matangawizi ama kweli TZ kichwa cha mwenda wazimuWakati mwingine wake zenu wanaondoka majumbani kwenu bila kuaga,hawasikii mnapo waambia na hawa watii kwasababu kuna majukumu muhimu sana hamyatimizi ipasavyo.
Huko walikotoka wanaume wenzetu ambao ndio baba wakwe zetu,walitimiza majukumu yao,kwa maana malezi ya hawa warembo,walipata makazi na mavazi na mahitaji mengine yote ambayo walipaswa kuyafanya kama wazazi.
Lakini kuna mahitaji muhimu kama wanadamu ambayo ni jukumu la wanandoa kutimiziana,sasa bahati mbaya sana hao tuliopewa jukumu hilo ambalo tumelitaka wenyewe kwa hiari yetu,na mahari tukatoa na taratibu zote kufuatwa,bahati mbaya sana tunajikuta hatutimizi majukumu yetu vizuri.
Tatizo ni kwamba badala ya kula lishe bora na udambwi udambwi ambao utahimarisha afya yetu ya uzazi, kinyume chake tunabugia yale maji ambayo hubadilisha akili zetu na kujiona tunafurahisha nafsi zetu kumbe tunajiua taratibu,machipsi kwa kwenda mbele yenye mafuta kedekede,mazoezi hatufanyi basi mwisho wa siku tunafeli.
Ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unachangiwa sana na lishe bora,matunda kwa wingi,na mlo kamili ambao unavirutubisho vyote,na kula vitu ambavyo vinachangia sana kuboresha afya yetu ya uzazi,kunywa mchuzi wa pweza kama burudani tu lakini sio ndio tunadhani ndio dawa,maana wabongo kwa kupenda shoti kati hatujambo.
Mwanamke hatakiwi kuonewa huruma linapokuja swala la kupeana mianzi,yaani mianzi kwa kwenda mbele,ni bora aombe poo yeye lakini sio wewe kuomba poo,utafeli.
Yaani inatakiwa na ni bora mwanamke ashitaki kwa mashoga zake kuwa baba fulani amezidi kunaniliu kuliko aseme mwenzenu baba fulani yaan siku ya tano leo hajanigusa,,utafeli big time!
Haya maudambwi udambwi nimekwambia,kula ndizi mbivu ikiwezekana kila siku moja,parachichi kwa wingi,korosho,tangawizi [ukiweza kusaga na kuchanganya na asali sawa] au kutafuna yenyewe sawa,mdalasini na asali nayo inaleta sana hamu,jaribu utanishukuru,vitunguu swaumu kula walau punje mbili au tatu kwa siku[ ukiweza kusaga na kuchanga na asali sawa]
Na mazoezi wadau basi tusisahau,tuwe kama wahispania yaani unaweza kudhani wote ni wanariadha,kukimbia kwao ni kama kula,nawapenda sana,,,nami alhamdulillah nafanya jogging walau mara tatu au nne kwa wiki.
Kumbuka ufanisi mzuri wa tendo la ndoa unaenda sambamba na mzunguko mzuri wa damu,kwahiyo mazoezi,na hivyo nilivyotaja hapo juu huchangia sana mzunguko uwe mzuri na ufanisi uwe mzuri,kuna mengi yapo zaidi ya hayo niliyo taja.
Ni hayo tu!
🤣🤣🤣🤣🤣Ili mtu t0mb€ vi kvma vyetu vilie nyamwi...nyamwi..nyamwii😌