Wanaume kuleni parachichi, ndizi mbivu, korosho, tangawizi na vitunguu swaumu. Mtakuja kunishukuru

Asante mkuu kwa ushauri
 
Mkuu hii kali nami sijawahi kuona wala kumsikia Philosopher yeyote wa kike.
 
Wakati huo mwanamke anakunywa maji ya bamia na kula mlenda, ndizi na nyanyachungu kwa wingi bila kusahau kunywa maji mengi.
 
Sikutaka kabisa kuchangia chochote katika uzi wangu lkn imenibidi nichangie kwa kuweka jambo moja sawa.

Kama unadhan wanawake wanaridhika na hela tu, basi wake wa matajir wasingekuwa wanagongwa na wahuni choka mbaya.

Kama wanawake wangekuwa wanaridhika na hela tu,basi wasinge lalamika kuwa wanaume wao hawawagusi au hawana nguvu za kiume

Naweza kuongea mengi hapa lkn niishie hapa,guys ukwel usiopingika wanawake wanapenda sana mianzi tena sana,ndio maana usipompa mianzi ya kutosha ujue atapigwa mianzi kwingine,tatizo huwa hawako huru kueleza hisia zao kwamba wanataka mianzi

Mfano wife alinipa kisa cha best yake,kuwa kuna siku moja yupo na mwamba wake,huyo demu wakiwa na mumewe sebuleni,basi mke akaenda kuchukua rimoti mezani huku ameinama lengo ni kumchokoza jamaa apige mianzi huo usiku,so huyo mwanamke akawa analalamika kwa wife kuwa "yaani nimebong'oa kumtega mume kuwa nataka mianzi lkn yeye hajaelewa,yaan kanikera kweli" mwisho wa kunukuu,unaona hayo mazingira,kwahiyo mke anaweza taka sex lkn asikwambie moja kwa moja,haya just imagine leo huelewi kesho huelewi unadhan kesho kutwa mhuni ampi mianzi mkeo?


Mimi wife ni best yangu so hunaiambia mambo mengi,hata huko kwenye magroup yao ya whatsup,wanaelezea changamoto zao mbali mbali katika ndoa na mahusiano yao,kiufupi wanapenda sana mianzi.

Siku moja nilikuwa kariakoo kwenye duka moja la nguo za ndani za kike,nikasikia wadada wawili,mmoja anasema "hii nguo nzur kweli kwa kumtega mume" mwisho wa kunukuu,hapo wanatafuta nguo za kukutega,kwa maana wanatumia code uwapige mianzi,je ni wangapi wanaelewa hizo code?

Ndio maana kwakuwa huwa wana aibu kuomba sex,basi wewe piga mianzi mwanzo mwisho.

Mwisho tembelea youtube katika chanel za mahusiano kisha soma comment za wanawake uone jinsi wanavyolalamika kuhusu kutoguswa na waume zao

Sito comment tena chochote,nitabakia kuwa msomaji

Asante
 
Mkuu mimi nimekuelewa na nakwenda kufanyia kazi haraka sana. Ubarikiwe kwa madini adimu kiasi hiki.
 
Haujaelewa nilichomaanisha., nimeuliza wakati wewe unafanya jitihada zote yeye anafanya jitihada gani? Sex ni kitendo cha kushirikiana. Umekula miogo mibichi, maparachichi, karanga n.k yeye kala nini?

Pesa haita-solve kila kitu lakini angalao ndio kitu sahihi zaidi katika kupunguza kero nyingi. Mwanamke anataka security hayo mengine ni porojo tu.
 
Viongozi wana amua ujinga na wanapiga pesa kirahisi kwasababu wananchi wao wako bize kupambana kuridhisha viumbe vinavyo jichomekea matango yani kubwa zima una amka badala ya kufanya innovation ya jambo la maana wewe unagundua kuchanganya matangawizi ama kweli TZ kichwa cha mwenda wazimu
 
Ila ajabu kungekuwa na somo la "NONGO" kuna watu wangefeli tu. Hakuna uvumbuzi, hakuna ugunduzi vijana kwa wazee na watoto wote wametekwa na uzinzi. Sijuwi vizazi vijavyo watarithi na kujifunza nini. Bora kina Kinjekitile walipigania taifa kuliko kizazi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…